*Mke:* Naelekea london, nikuletee zawadi gani?
*Mume:* kitu gani unaweza niletea wewe?
*Mke:* we omba Alafu utaona.
*Mume:* Niletee msichana wa kizungu.
*Mke:* (mke akaendaLondon na kurudi)
*Mume:* zawadi yangu iko wapi?
* Mke:* Subiri ndani ya miezi 9!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji85]
*Pia Wamama hawapendi ujinga*