JustDoItNow
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 2,967
- 1,511
ahahahhha, du hiyo kaili*Nimekuja kudonate damu hapa...nimemaliza naambiwa biscuit na soda zimeisha...nimeondoka na damu yangu...*
*```Sipendagi ujinga mimi...!!!```*
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahhha, du hiyo kaili*Nimekuja kudonate damu hapa...nimemaliza naambiwa biscuit na soda zimeisha...nimeondoka na damu yangu...*
*```Sipendagi ujinga mimi...!!!```*
Hahaha*Nimekuja kudonate damu hapa...nimemaliza naambiwa biscuit na soda zimeisha...nimeondoka na damu yangu...*
*```Sipendagi ujinga mimi...!!!```*
Ndugu ww ndiyo mjinga maana
0712173610+0758251890=1,497,425,500
Hayo majibu ni ya kiumeNimejichanga weeeee nikafanikiwa kununua ka Vits kangu cha kunisaidia kwenye misele yangu. Siku moja nipo na baba mkwe wangu nampeleka hospitali, tukiwa tunasubiri kuruhusiwa kwenye mataa pembeni kulikuwa na Range Rover anaendesha kijana kama mimi tu. Baba mkwe wangu akaniuliza, *"mkwe!* *umemuona mwanaume huyo?"* Nilishikwa na hasira nikajikuta nimemjibu *"kuwa na baba mkwe tajiri raha sana, jamaa alipewa hiyo gari kama zawadi na baba mkwe wake siku ya harusi yake"* Basi baba mkwe wangu akanyamaza kimya akawa mdooooooogo.
*Pumbavu!* *huwa sipendi dharau mimi*