Sipendi wanaohalalisha Infidelity

Hahahaha unajua komredi wanawake huwa wanajichanganya wenyewe kwa wanaume waroho huku na huku anajikuta yupo bed na jamaa.

Hommie ni kweli kabisa; na si kweli kuwa imetokea kwa bahati mbaya no! Akishaona kuna mwenzie pale anapewa kila kitu naye huanza kujipendekeza akidhani kuwa she will enjoy the benefits; ndo hao wamenunuliwa RAV 4 hapo mjini!
 
na mwanaume yoyote anaempenda na kumuheshimu mkewe atafanya juu chini huu upuuzi usijuulikane, atatumia akili zake zote za kuzaliwa...ni kuomba mungu tu, mie ckanii nafc ya mtu kabisa.

Ndivyo tunavyofanya na ndio maana ndoa zetu zinadumu
Ndivyo tunavyofanya na ndio maana wake zetu wanatuamini,
Ndivyo tunavyofanya ndio maana kina Carmel wanaapa hatuna mahawara.

Ni vile tu kina Carmel bado hawajajua huwa tunafanya hivyo. Otherwise ndoa nyingi zinazoitwa ndoa madhubuti na imara zingekuwa historia.
 
na mwanaume yoyote anaempenda na kumuheshimu mkewe atafanya juu chini huu upuuzi usijuulikane, atatumia akili zake zote za kuzaliwa...ni kuomba mungu tu, mie ckanii nafc ya mtu kabisa.

Ni kweli Nyamayao mie hata siusemei moyo alivyoimba dada Jide.Lakini sipendi nasema sipendi tabia ya usaliti.
 
infidelity kuhalalishwa ni vibaya sana, actually the whole thing stinks kama kweli wewe unampenda na kumjali mwenzio, i have seen girls getting married just to live 'the tanzanian dream ' unajua kufanyiwa kitchen party, sendoff and harusi that is to some women 'a tanzanian dream' sasa ukishaingia ukakuta ndivyo sivyo, na hizi harusi zetu siku hizi unajikamua ukirudi kuanza maisha mnaanza na madeni, bibie anatafuta poozeo, kwa wanaume mimi nasema ni uchu pia, dont know why, some likes to explore variety and variety... anyways mimi niko kwenye ndoa na i keep thanking God for this man i call my husband and hoping that we both realize our value for each other and the love that we share grows deep enough to enable us to pass the trials and tribulations za infidelity
mbarikiwe mpaka mshangae !!
 

Chrispin,
Na wewe utakuwa tayari kuacha kwenda barber shop zenye wahudumu wa kike wanaokumasaj na kukutekenya shingo kwa kisingizio cha kukuosha? Maana by that time ushanyolewa hizo mbwembwe za ziada za nini? Mbona zamani haya mambo hayakuwepo?
 

Huyu Lazima mmewe kamwambia akate nywele ahahahaha
 
wanaotoka nje ya ndoa wana sababu zao,kama mumeo hana,usitake kuassume na waume wa wenzio pia HAWANA...!..

AND HEELL NO,KWA NINI NIMLAUMU DA SOPPHY,WKT NI MUME WANGU ALIYESAHAU KIAPO CHETU NA KUMFUATA?
Hakuna kitu hapo!

Tunajidanganya sana tunapo halalisha kuwa TUNAZO SABABU ZA KUTOKA NJE YA NDOA!

Nasema nikiwa nimepita huko!

Am telling you at the end of the game unakujatambua kuwa YOU ARE THE BIGGEST LOOSER ! Kama you take a moment kudigest what you have done na una akili timamu huwezi kuufeel PRIDE na ulicho kifanya; Wote tunajua experience ya mtoto aliyedokoa sukari! Mama kila akikuita wewe roho lazima ikupae! Unajua ohoooooooo tayari kimeshadasuka! It is the same sasa afadhali kwa mtoto ni rahisi kusahau; Mtu mzima unakosa usingizi wiki nzima!

UNLESS you are SELFISH and a PIG!

Mwenye kufurahia hilo ni yule tu asiyejijua yupo hapa duniani kufanya nini! Na wale ma sadist !
 

yaani ni kweli Nyamayao
 
Chrispin,
Na wewe utakuwa tayari kuacha kwenda barber shop zenye wahudumu wa kike wanaokumasaj na kukutekenya shingo kwa kisingizio cha kukuosha? Maana by that time ushanyolewa hizo mbwembwe za ziada za nini? Mbona zamani haya mambo hayakuwepo?

Hahahahaha! No comment!
 
Chrispin,
Na wewe utakuwa tayari kuacha kwenda barber shop zenye wahudumu wa kike wanaokumasaj na kukutekenya shingo kwa kisingizio cha kukuosha? Maana by that time ushanyolewa hizo mbwembwe za ziada za nini? Mbona zamani haya mambo hayakuwepo?
hapo umenena Caren tena wanapenda kweli kwenda zenye wahudumu wa kike
 

Mpwa kinachofanya hizo ndoa imara zidumu ni upendo wa dhati wa mmoja wao; kwani anapenda na kusamehe makosa ya mwenzake; lakini hii isiwe tiketi yetu kufanya huko nje kama kamata kamata ya city! Nilishawahi kusema kwenye thread moja the So called playas are actually playing to loose; kuliko wanvyodhani wana Win.
 

Nah! Kinachozifanya zidumu ni kuaminiana. Mmoja anamuamini mwenzie kwakuwa tu hajajua kuwa anacheat!!

Mimi sijui kama mke wangu ana cheat, siwezi kuprove na wala simtilii mashaka. Hali kadhalika yeye hajui kama mimi nacheat. Hana mashaka.
Na hii ndoa nayoisemea hapa ina miaka kumi sasa. Yaani wife anaamini kabisa ndani ya miaka kumi sijawahi kugonga nje (Ambavyo obvious si kweli). Nami naamini hajawahi kucheat (Eee Mungu, naomba iwe kweli jamani)......... LOLZ!

Na maisha yanasonga mbele, raha mustarehe!
 

usiwasemee watu(wanaume wenzio)...kama hukuwa na sababu ya kutoka nje ya ndoa ni wewe!

i agree kuna wanaotoka kwa uchu tu,but i bliv wengi hufata kile kinachokosekana ndani ya ndoa zao....

na nimeona wengi tu wana PRIDE ya hii kitu,hata ndani ya mada hii si umemuona hapo PASCO???if you felt different then you are one in a million!

being selfish and saddist,didnt you realize this in the first place???yaaani umekuja gundua this baada ya probably kumjengea tayari nyumba da sopphy?lol

its unfortunate hukupata ulichokifata nje ya ndoa,ama uliona huko hupati zaidi ya unachopata nyumbani...otherwise tungekuwa tunaongea mengine!... yes,akina da sopphy wataendelea kuwepo!so long as there is a'demand'

MJ,ningekuelewa zaidi kama usingekuwa kny hio statitistics za wanaume ambao wamewahi kucheat,LOL..
 

Roselyne1 hebu twende PM kidogo. Haiwezekani ukawa unaongea point namna hii afu nikuache hivi hivi na kiu. Unatumia bia gani vile?
 

hapa nimekuelewa 'beyond reasonable doubt!!!
 
Roselyne1 hebu twende PM kidogo. Haiwezekani ukawa unaongea point namna hii afu nikuache hivi hivi na kiu. Unatumia bia gani vile?

Ndovu baridi,....

PM mwenzio naogopa,naskia kuna siafu na mbu...LOL
 
The Following 2 Users Say Thank You to roselyne1 For This Useful Post:
bht (Today), Chrispin (Today)

The Following User Says Thank You to bht For This Useful Post:

Chrispin (Today)


Leo nawagongeeni tu. Manake mayuziful posti ya kufa mtu haya.

 

leo kitufe hakina hiyana!!!
ila huyu mamaa ya 'rehab' huyu kajivuta weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee cheki alivomalizia l ali-utirio la nguvu hapo!!!

mweeh mi sitaki kuusemea moyo wa mwingine, ngoja niendeelee kuishi kwa matumaini tu in my own imaginary world that B will never cheat on me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…