Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Mfa maji hakosi kutapatapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linamchwea... The sun is going down to ChioluMsanii wa filamu, Wema Sepetu ameibuka na kudai kwamba yeye si mwanamke anayependa wanaume wenye uwezo mkubwa kama tuhuma dhidi yake zinavyoeleza.
“Mimi napenda mwanaume anayejielewa,mwenye upendo na mchapakazi, ikitokea ana fedha itakuwa imetokea,lakini si mwanamke ninayependa pesa kuliko utu na mapenzi ya kweli,”alijinadi Wema Sepetu na kuongeza;
“Unajua pesa sio kikwazo katika maisha yangu, kwa sababu najua kuitafuta hivyo siwezi kubweteka kwa kutaka mwanaume mwenye pesa, hilo kwangu halipo, ninachotaka awe na upendo na thamani kwangu awe mfariji na si maumivu.”
Hata hivyo, Wema alisema hatoacha kuomba kila kukicha Mwenyezi Mungu ampatie mwanaume mwenye sifa anazotaka ili roho yake isuuzike.
Kupata kitu ni majaaliwa yake mungu alafu Sio kila mtu ndio anaota kuwa na nyumba wapo wanaoota ndoto tofauti na hiyoHuyu naye hakui tu
Umiss uliisha kitambo
Pesa mbona ameshindwa hata kujenga kibanda pyuuuu
Ajikusanye aanze safari upya jua linazama
kwa hiyo wema nae ni mwanaharakati?Inasemekana wanawake wanaharakati, mara nyingi huwa hawaolewi, na hata wakiolewa kwenye ndoa huwa hawadumu!!
Kutawaza tawaza kwingi, mwishowe asije jipakaza kinyesi
Hivi mkuu, wale mbwa wake bado wanavaa viatu? Maana madame si wa spoti spoti ati!..Alishindwa kutumia kichwa alipokuwa miss na still hot in town. Akaamua shortcut ya kudanga, nako pia alishindwa kujiweka vizuri.
Zile trip za Dubai na Clement, kukaa 5*hotel na kununua viatu vya $3,000 sasa ni Hadith