Sipendi wanawake ambao Makalio yao hayatikisiki

Sipendi wanawake ambao Makalio yao hayatikisiki

Unakuta mwanamke hata akivaa khanga moja tako hata halitikisiki. Sijui inasababishwa na nini ila mimi sipendi tako unakuta limeganda tuu kama la mwanaume.

Pia hiki kimekua chanzo cha kuachana na Mchumba wangu wa zamani kila nikikaa naye au kutembea naye maeneo naona naingiwa tamaa za kuwatazama wanawake wenye makalio yanaotikisika.

Nilienda kwa Daktari akaniambia ni swala la kisaikolojia na kwa sasa bora tu nitizimize matakwa ya moyo wangu.


HUYU NDO JEMBE LA UVCCM ANAWAZA MATAKO YANAYOTIKISIKA TU.

Hizi shutuma za mange kunakaukweli ndani,
 
Aise wakiwa na matako magumu safi sana, inamaanisha mapaja magumu na naniihii yenye misuli yenye nguvu, shupavu na haijalegea! Kweli ukilalamika twakushangaa sana sana mkuu..🙂😉
 
Nilikuwa naorodhesha idadi ya waliotajwa. Povu walilotoa siyo la nchi hii. Mada imewagusa pabaya wenye makalio ya zege.
 
Watu kama Hawa ambao bila makalio maisha hayaendii hawakupenda
Ni mwili waoo unaendeshwa na uwezo mdogo kifikraaa
Mnaojielewa jitaidini kumpa sapoti ya kisaikolojiaa ili mwenzetu asiwe na tabia io na wengne Kama yeye piaa waelewe mana tamaa ya mwili ikihamia kwenye kichwa cha katikati ya mapaja Hakuna utalombadili zaidi ya kumsaidia aweze kufikiriaa kwa kichwa cha juu ya shingo
 
Post kama hiz bila picha ni sawa na Mwalimu kuingia darasani bila zana za kufundishia na kujfunzia
 
Back
Top Bottom