Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Wewe hujui maana ya shida.
Kwanza kwanini ulisoma?
Miaka yote hiyo alafu uje kulipwa mill1 kila mwezi?
Kwanza kwanini ulisoma?
Miaka yote hiyo alafu uje kulipwa mill1 kila mwezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu, Bora ningepata hio laki nane, fursa nyingi napata microfinance, na wanataka niwe tayari kuanza na shilingi laki tatu na nusu. Sasa nawaza, maisha ndio yatakuaje? Hio Nile, nipange, niende saloon, nitoe sadaka kha
HahaaaNilisoma hii post ikiwa haina hata reply moja nikasema ngoja niende chap nikachukue popcorns, maana....!!
thank you so much guys, you never dissapoint, my expectations met the reality.! 😂
duuh watu wana mibahati!my ex galfrend ana diploma ya mambo hayo,alinichanganya katafuta kazi wiki 3 tu,kapata bank mshaara laki 9,wakati nna washikaji mwaka wa kumi sasa wanatafuta ajira,.wanawake mna bahati
Sorry kuuliza.Mie ni muhitimu wa Degree ya Kwanza ya Banking na Finance mwaka huu wa 2020 na nimepata GPA kubwa. Kinachonishtua ni ofa zinazo patikana ni mishahara kiduchu mno!
Kiukweli, over my dead body, sipo tayari kwa ajira ambayo take home yake ni chini ya milioni moja.
Hope zinapatikana bila shaka.
Tukwambie ukweli au tukuache [emoji1787][emoji1787]
Kweli mkuuHuyu muache kwanza mpaka miezi 6 ipite, anadhani GPA inafanya kazi
Ila wachina wanaokoa??!! Ache ni tu!Hajui ugumu wa mtaani huyu, wahitimu wengi hua na matumaini makubwa sana kuliko uhalisia na ndio maana wanapata msongo wa mawazo,
Kipindi hicho namaliza chuo rafiki yangu mmoja alisema bila 2m take home hafanyi kazi, ajabu zaidi alianza na laki 8 kwa mchina.
Hakuna ofisi itatoa shilingi 300 kwa siku labda useme ni 3000 kwa siku. Sasa huyo mdogo wako si auze matunda na juice mtaani kuliko kuchomekea ofisini bila malipoDaah! Mwaka Jana tu nimetoka ongea na Mdogo wangu juu ya hizo Ndoto za kujitanua kwa kuwa amemaliza degree so anahitaji salary kubwa ya kuanza nayo but naona Maisha yamemnyoosha Sana hapa nyumbani tumemkatia service muhimu tumeacha apate msosi tu.Nguo, Vijihela vya out na mambo mengine atajijua Mwenyewe, Maisha ni Mwalimu Sana ujue ,so ikabidi ajiongeze atafte par t- time pahala flan pamoja na degree hiyo amekubali wanampa nauli Tsh 300. Sasa wewe na hiyo kadree kako ka makalculations yasiyo na maana endelea kuringa tu,utakuta na wwnzio kwenye interviews wakuwa na CPA,ACCA na ndio wataupata huo Take-home milioni Moja.
nmb.hapahapa dar,nahisi kuna namna alivyopata ajira,maana drama zilianzia hapo,sababu 'nipo busy' tukaachanaduuh watu wana mibahati!
Bank gani mkuu.
😂 😂Tangu nimemaliza chuo hadi leo ni miaka 8 imepita lakini sijawahi kuulizwa una GPA ya ngapi...
ie miaka 6,BSc. With Education (Agricultural Science and Biology) ila sijawahi kuulizwa GPA, tunasubiri jambo la TAMISEMI tu kama fainali ya wananchi! 😂 😂 😂 😂Duh?
Attitude is like a price tag. It shows how valuable you are (Anonymous).
**Kwa attitude hii, hutoboi. Endelea kuangalia tamthilia Hapo kwa shemeji.