McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Unaitwa kama jana nature ft jide
Ukishindwa kuupata nijuze niku-watsaap swahiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwa kama jana nature ft jide
Thanx bro ninao mkubwaUkishindwa kuupata nijuze niku-watsaap swahiba
AY kaomba po?Unamaanisha nn
Juma nature katika song lake jipya aliomshirikisha Lady Jaydee amemdiss Diamond kwa kumuita dada mond. Juma Nature amesema hayo katika wimbo mpya aliouachia unaitwa kama jana.
Umenena vema mkuu,na pia aliondoka nao hajafanya jitihada zozote nao watoke nazan wanajutia maamuzi yao ya kuondoka na nature,all in all nature alitakiwa aoneshe utuuzima dawa na sio kwa kumuimba vbaya mwenziekwanza nataka nijue, ni nini kilmsukuma necha hadi akam-dis dogo. unajua kama umepitwa kimaendeleo ni vizuri ukafurahi kuona mwenzako amefikia pale ambapo wewe ulishindwa. kitendo cha yeye kum-diss dogo kimetu-show jinsi gani upeo wa necha ulivyo finyu. hii ishu inanikumbusha miaka fulani lile kundi lao lilipovunjika, walipojitenga na wenzao wakaanza kuwaimbia nyimbo za kuwasema. nilipokuwa nasikiliza facts zao za kujitoa kule kwenye kundi walisema said fella alikuwa anawanyonya ndo maana wakaondoka. sasa nikawa najiuliza sasa kama aliyekuwa anawanyonya alikuwa ni boss wenu inangia vipi akilini mlipoondoka na kuanza kuwasema wenzenu waliobaki na kuanza kutuletea mipashu kwenye hip hip. yaani ni kama mimi niache kazi kampuni fulani kwa sababu naona nalipwa kidogo halafu baada ya kuondoka eti nianze kuwaponda wenzangu waliobaki kwenye ile kampuni eti kwa nini hawakutoka ka mie. ndo maana unaona hakuvuma kama ile miaka ya 2004 si yeye hata wale alioondoka nao wapo kimya. ila kina chege na temba bado tunawasikia wakitoa nyimbo zao on air. so we juma nature linda heshima yako. kama akikata kiuno ni yeye na fans wake, nyie mbona mnajipinda na mapanga yenu. utaishia kumponda ila yeye anaingiza dooh, JIPANGE
Diamond forever.....
shine bright like...
duh umesisitiza kabisa kwa kuweka herufi kubwa...shine bright like a DIAMOND!!!!!!!!
wimbo nimeusikia bob,,natamani ungekuwa wa jide peke yake..mbibo ndio kafanya vizuri umo ndani km kawaida yake mbibo uwa aharibu kazi.
Wabongo bana, hivi Diamond hana ya kupongezwa.....kwa mfano mbona asije na mstari wa kumpongeza kwa alivyomuenzi mkongwe a.k.a the legendary mzee MAALIM GURUMO.....
...............UBINADAMU KAZI............
Wanajitahidi sana kupata attention ya almasi lakini cha ajabu sijawahi kumsikia Diamond akipambana nao back.