Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nasikia alikuwa ni demu wa chege.
kumHuyu Juma Necha sijui kwa nini tu huwaga nikimwangalia naanza kucheka....
kizuri unakula na ndugu yako
Si aliimba kuwa hataki demu tena?........
Mimi nakumbuka alioa miaka kadhaa nyuma je hiyo ni picha ya zamani au aliachana ndio anaoa tena?au ameoa mke wa pili?nilisikia mkewe anaitwa Pili je ndio huyu?
Nasikia alikuwa ni demu wa Chege.
Aaa,huyu demu si alikuwa wa chege huyu?
ndio hivyo basi,kama chege alikua akimuona wa nini ,J necha alikua akiwaza atampata lini na alivyompata hakufanya ajizi!
here I am preta. njoo uliwe nami pliiiiiizkizuri unakula na ndugu yako
sjui Yego Masika. Ninachokumbuka tu nilipokuwa mdogo, nikisoma cathedral na kuishi Kamunyonge tulikuwa tunaimba wimbo ambao kibwagizo chake kilikuwa nadhani ( sina uhakika) aiyawe magwega wa chiguru. Na huyo magwega sidhani kama alikuwa mtu mzuri, japo nilikuwa sijui kijita nadhani alikuwa akisutumiwa kumpa mimba mtoto wa shule na makosa mengine ya kimajinuni. Kama niekosea nisamehe. Huu wimbo niliufahamu wakati hiyo shule ya mwembeni ilikuwa bado inaitwa cathedral hivyo ni siku nyingi sana.
sjui Yego Masika. Ninachokumbuka tu nilipokuwa mdogo, nikisoma cathedral na kuishi Kamunyonge tulikuwa tunaimba wimbo ambao kibwagizo chake kilikuwa nadhani ( sina uhakika) aiyawe magwega wa chiguru. Na huyo magwega sidhani kama alikuwa mtu mzuri, japo nilikuwa sijui kijita nadhani alikuwa akisutumiwa kumpa mimba mtoto wa shule na makosa mengine ya kimajinuni. Kama niekosea nisamehe. Huu wimbo niliufahamu wakati hiyo shule ya mwembeni ilikuwa bado inaitwa cathedral hivyo ni siku nyingi sana.
here I am preta. njoo uliwe nami pliiiiiiz