Shenzi sana, hamna mwanamke ambaye atasema kaliwa na Coaster mbili. Jibu pendwa ni wawili tu na wewe ndio wa tatu πππHahahaha hapo kwenye idadi mkiulizaga jibu ni kama sheria "mwanaume mmoja na wewe ndio wapili".
Ni kupima tu level ya uaminifu wako tu. Ukisema 10 sikuachi ila ukisema wawili tu navaa ndomπSasa mbona wakijibiwa hawasepi? Wengi mnauliza sababu za wivu tu kutaka kujua hayo mauno mnayopewa ni wangapi walishayafaidi.
Na mnauliza mkiomba Mungu idadi isizidi moja hata kama ni kwa kudanganywa. Chezea papuchi wewe.
Hahahahahah kwamba story zimekata ndio mnaanza hii maswala.Heee wewe kweli mchanga kwenye hii field. Wewe unadhani huwa mnauliza kipindi ambacho bado hamjaanza kufanya?
Unakuta mmeshagegedana mpaka mahusiano yamekaa hadi mnaishiwa story ndio hayo maswali ya ajabu ajabu yanakuja.
Akikuambia wewe ni wa tatu ameokoka huyo. Yaani unasemaje wawili kwa mfano?Shenzi sana, hamna mwanamke ambaye atasema kaliwa na Coaster mbili. Jibu pendwa ni wawili tu na wewe ndio wa tatu [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahahahah na boya anapiga goti kabisa will you marry me? π€£ π€£ π€£Akikuambia wewe ni wa tatu ameokoka huyo. Yaani unasemaje wawili kwa mfano?
Ni mmoja, nilidumu nae muda mrefu sana tukaachana nikaumia sana ndio maana sikuingia kwenye mahusiano tena until I met you.
Hahahahha vaa ndom ila idadi haiwezi kuzidi hapoNi kupima tu level ya uaminifu wako tu. Ukisema 10 sikuachi ila ukisema wawili tu navaa ndom[emoji3]
Ewaaaaaaahhh. Story zikiisha ndio maswali ya ajabu ajabu yanaanzaHahahahahah kwamba story zimekata ndio mnaanza hii maswala.
Haa ataachaje sasa.Hahahahahah na boya anapiga goti kabisa will you marry me? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kama hujamkuta Bikra USIOE...Sio Kila point ya JITU BANDIA NI BANDIA!
Wahunii!.... Niaaje!
Siku hizi mazee ndoa nyingi zinaishia kuvunjika tu kimasihara...msemo wa rickyboy... kutokana na sababu shazi tu ( nyingi), hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Japo haipaswi kuwa siri kiviile baina ya wanandoa, lakini kuna baadhi ya vitu kuntu ambavyo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza wake, hata kama wanapendana kiasi gani!
Upoo hapo Eeenh!,
Katika jamii yetu hii wakulungwa...
Kuna kamsemo ketu flani hivi..., masikio yasiposikia , moyo hauwezi kukasirika.
Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu..
..na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo.
Hizi ni nondo 5 za mambo ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza/mtarajiwa....
wake taka usitake! Penda usipende!... Ni nyongo mzeeiya...
1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuonana na mtu wako
Hupaswi kumtonya mpenzi/ kitu chako! Mtu wako wa kiume au mume wako ni wanaume wangapi ulikutana nao kimwili kabla ya kuishi naye.
Sababu ni kwamba unaweza kufikiri hautamkosea mume wako siku sijazo. Na kama idadi ya wanaume uliyomwambia ni wengi anaweza kufikiri wewe ni kahaba au mzinzi na mdangaji! Kuntu!
Kwahiyo, iwapo atakuuliza ni wanaume wangapi ulishawahi kukutana nao kimwili, we cheka tu! Wangu, na umwambie: ''Ebu acha, bana.... tuanachane na hayo, lakini suala la ni wangapi halihusiani na safari ya mapenzi. ".
2. Kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mume wako wakati mmoja...ni jau
Ukiulizwa maswali kumuhusu mwanaume, mjibu machache
Usiseme mambo ambayo yanaweza kumfanya mume au mpenzi wako ahisi kwamba sio bora, au ajihisi kuwa mtu mbaya
Usizungumzie kuhusu -ungependa kuwa na uhusiano na mwanaume tajiri kiasi fulani, mwenye uwezo wa kingono kiasi gani, na ni kwa vipi ungependa ampende mke wake..
3. Usimwambie mtu wako kwamba unampenda sana rafiki yako au shemeji yako
Kiana wote tunafahamu kuwa inawezekana kwa rafiki au shemeji kutaka kukuoa.
Lakini, ni hatari kumwambia mume wako kuhusu wazo hili
Shida ni kwamba mtu wako anaweza kuanza kuwa na mashaka kuhusu tabia zake na vitendo vyako kumuhusu mwanaume huyo, jambo linaloweza kusambaratisha mahusiano yenu kimasihara tu......
4. Usijaribu kumwambia kuwa unamchukia mama yake au familia yake
Hata kama bi mdashi wake...i mean....
mama mkwe hata awe ni mtu mbaya kiasi gani, usimwambie mtu wako kuwa unamchukia......
Au unaichukia familia yake. Hata kama umekasirika kiasi gani, usijaribu kusema mambo mabaya kuwahusu, au kumuona mtu wako sawa na familia yake....
Kama haupatani na yeyote katika familia ya mume wako, elezea kwa utulivu, ukiwa na matumaini kuwa ataelewa ni kwanini haupatani nao.....
Mume wako pia ataweza kukusaidia kutatua tatizo, na pia itazuwia matatizo mengine ambayo yanaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi.
5. Usimtishe mtu wako kuwa utakuja kuachana naye..nomas!
Siku ukijiroga ukamwambia mtu wako kuwa utaachana naye wakati mnazozana, jua ndio mwanzo wa malumbano...
Nakutonya....
Mahusiano yenu mdogo mdoogo....yataanza kukumbwa na misukosuko, wasi wasi na kutoaminiana.
moyo wa imani katika ndoa utakuwa haupo tena na kuona umuhimu wako tena.....
JITU BANDIA... Dribbler [emoji459]
Hahahaha hapo kwenye idadi mkiulizaga jibu ni kama sheria "mwanaume mmoja na wewe ndio wapili".
Kweli mbombo ngafuHaa ataachaje sasa.
Na hapo tunasema ni mmoja kwa sababu unakuta bikira haipo. Pangekuwa hamna ushahidi wa kuwepo ama kutokuwepo kwa bikra jibu lingekuwa "wewe ndio wa kwanza".
Hii mbona ndio kali! Kushinda hizo zoote.... Bomu la atomic! Hili DuuOngeza namba 6
Usije ukamwmbia kua wewe mwanamke kwenu hawamkubari (mwanaume) Ila wewe upo nae tu ndio hivyo utafanyaje,
Hii inaniumiza mwanaume kuliko unavyoelewa,
Utakaa milele bila kuoaKama hujamkuta Bikra USIOE...
Mambo ya kusema sema siri zangu kwa mpenzi ya kazi gani.Sio Kila point ya JITU BANDIA NI BANDIA!
Wahunii!.... Niaaje!
Siku hizi mazee ndoa nyingi zinaishia kuvunjika tu kimasihara...msemo wa rickyboy... kutokana na sababu shazi tu ( nyingi), hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Japo haipaswi kuwa siri kiviile baina ya wanandoa, lakini kuna baadhi ya vitu kuntu ambavyo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza wake, hata kama wanapendana kiasi gani!
Upoo hapo Eeenh!,
Katika jamii yetu hii wakulungwa...
Kuna kamsemo ketu flani hivi..., masikio yasiposikia , moyo hauwezi kukasirika.
Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu..
..na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo.
Hizi ni nondo 5 za mambo ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza/mtarajiwa....
wake taka usitake! Penda usipende!... Ni nyongo mzeeiya...
1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuonana na mtu wako
Hupaswi kumtonya mpenzi/ kitu chako! Mtu wako wa kiume au mume wako ni wanaume wangapi ulikutana nao kimwili kabla ya kuishi naye.
Sababu ni kwamba unaweza kufikiri hautamkosea mume wako siku sijazo. Na kama idadi ya wanaume uliyomwambia ni wengi anaweza kufikiri wewe ni kahaba au mzinzi na mdangaji! Kuntu!
Kwahiyo, iwapo atakuuliza ni wanaume wangapi ulishawahi kukutana nao kimwili, we cheka tu! Wangu, na umwambie: ''Ebu acha, bana.... tuanachane na hayo, lakini suala la ni wangapi halihusiani na safari ya mapenzi. ".
2. Kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mume wako wakati mmoja...ni jau
Ukiulizwa maswali kumuhusu mwanaume, mjibu machache
Usiseme mambo ambayo yanaweza kumfanya mume au mpenzi wako ahisi kwamba sio bora, au ajihisi kuwa mtu mbaya
Usizungumzie kuhusu -ungependa kuwa na uhusiano na mwanaume tajiri kiasi fulani, mwenye uwezo wa kingono kiasi gani, na ni kwa vipi ungependa ampende mke wake..
3. Usimwambie mtu wako kwamba unampenda sana rafiki yako au shemeji yako
Kiana wote tunafahamu kuwa inawezekana kwa rafiki au shemeji kutaka kukuoa.
Lakini, ni hatari kumwambia mume wako kuhusu wazo hili
Shida ni kwamba mtu wako anaweza kuanza kuwa na mashaka kuhusu tabia zake na vitendo vyako kumuhusu mwanaume huyo, jambo linaloweza kusambaratisha mahusiano yenu kimasihara tu......
4. Usijaribu kumwambia kuwa unamchukia mama yake au familia yake
Hata kama bi mdashi wake...i mean....
mama mkwe hata awe ni mtu mbaya kiasi gani, usimwambie mtu wako kuwa unamchukia......
Au unaichukia familia yake. Hata kama umekasirika kiasi gani, usijaribu kusema mambo mabaya kuwahusu, au kumuona mtu wako sawa na familia yake....
Kama haupatani na yeyote katika familia ya mume wako, elezea kwa utulivu, ukiwa na matumaini kuwa ataelewa ni kwanini haupatani nao.....
Mume wako pia ataweza kukusaidia kutatua tatizo, na pia itazuwia matatizo mengine ambayo yanaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi.
5. Usimtishe mtu wako kuwa utakuja kuachana naye..nomas!
Siku ukijiroga ukamwambia mtu wako kuwa utaachana naye wakati mnazozana, jua ndio mwanzo wa malumbano...
Nakutonya....
Mahusiano yenu mdogo mdoogo....yataanza kukumbwa na misukosuko, wasi wasi na kutoaminiana.
moyo wa imani katika ndoa utakuwa haupo tena na kuona umuhimu wako tena.....
JITU BANDIA... Dribbler π
Sasa sista[emoji23][emoji23], umekuwa na mahusiano na ukalala na wanaume zaidi ya watatu na yote yakavunjika, yaani wewe ndio constant factor hapo, halafu ndio unataka nikuoe. [emoji23][emoji23][emoji23] to hell, wakati mimi mwenyewe tunaoitwa mbwa sijafika huko. Yaani kwa hesabu za haraka wewe ndio variable iliyopo constant katika kila mahusiano uliyoyavunja, basi ujue unashida.Sawa mnajua ila mnakuwa mnauliza hilo swali kutafuta nini?
Tuseme kumi? Watano? Watatu? Oooh no, ni mmoja aliyenibikiri wa pili ni wewe broh!
Nani kakwambia ukweli unafichika[emoji23][emoji23][emoji23], yaani ni vema useme yote sasaivi na kwaukweli maana nitajitafakari nakuweka maamuzi kuwa nimekupenda wewe kama wewe nasijali lolote. Sasa ficha yajeyaibuke kwenye stage mbaya za safari ya maisha ndio utajua kwanini ndoa nyingi huvunjika baada ya muda mfupi. Kila mtu asimnyime haki mwenziwe, mwanamke anakuwa interested na future ya mwanaume basi usiifiche na in real sense huwezi kuficha your future ila mwanaume anakuwa interested na the past ya mwanamke, sasa utadhani yanafichika ila yanazuka kama mzimu uko mbele ndio utajua trust ikivunjwa haiwezi kujengwa kama mwanzo kamwe. Hii inaapply kwa point zako ulizozitaja isipokuwa hizo za starehe kama mlifurahishanaje na huyo ex wako. Ila idadi ya maex, huonyesha ukomavu wakuhandle matamaa yako ya mwili. Kwani nani alikuhakikishia mwanaume kuwa hutaweza kuwa ex wakati mwenzako bado anamatamaa yamemtawala kichwani asijue kutofautisha kutunza familia na mastarehe yake. Truth hurts, ila mwanaume umeumbiwa mateso, yajue yote ndio ufanye maamuzi sahihi ya kuoa au muachane. Nahuyo mwanamke chuki hazifichiki na maigizo yanamwisho, utaigiza kumpenda mama mkwe kila siku wakati humpendi. Sema yote, ili tujue tunatatua vipi au tuachane. Kwani mwanaume yupo mmoja duniani.Sio Kila point ya JITU BANDIA NI BANDIA!
Wahunii!.... Niaaje!
Siku hizi mazee ndoa nyingi zinaishia kuvunjika tu kimasihara...msemo wa rickyboy... kutokana na sababu shazi tu ( nyingi), hususan kutokana na ugomvi ndani baina ya wanandoa.
Japo haipaswi kuwa siri kiviile baina ya wanandoa, lakini kuna baadhi ya vitu kuntu ambavyo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza wake, hata kama wanapendana kiasi gani!
Upoo hapo Eeenh!,
Katika jamii yetu hii wakulungwa...
Kuna kamsemo ketu flani hivi..., masikio yasiposikia , moyo hauwezi kukasirika.
Na kama tunataka amani ndani ya familia lazima kutakuwa na matukio magumu..
..na mwanamke anapaswa kusaidia katika utatuzi wa mambo hayo.
Hizi ni nondo 5 za mambo ambayo mwanamke hapaswi kumwambia mume/mwenza/mtarajiwa....
wake taka usitake! Penda usipende!... Ni nyongo mzeeiya...
1. Idadi ya wanaume uliojamiiana nao kabla ya kuonana na mtu wako
Hupaswi kumtonya mpenzi/ kitu chako! Mtu wako wa kiume au mume wako ni wanaume wangapi ulikutana nao kimwili kabla ya kuishi naye.
Sababu ni kwamba unaweza kufikiri hautamkosea mume wako siku sijazo. Na kama idadi ya wanaume uliyomwambia ni wengi anaweza kufikiri wewe ni kahaba au mzinzi na mdangaji! Kuntu!
Kwahiyo, iwapo atakuuliza ni wanaume wangapi ulishawahi kukutana nao kimwili, we cheka tu! Wangu, na umwambie: ''Ebu acha, bana.... tuanachane na hayo, lakini suala la ni wangapi halihusiani na safari ya mapenzi. ".
2. Kusema siri za mpenzi wako wa kiume au mume wako wakati mmoja...ni jau
Ukiulizwa maswali kumuhusu mwanaume, mjibu machache
Usiseme mambo ambayo yanaweza kumfanya mume au mpenzi wako ahisi kwamba sio bora, au ajihisi kuwa mtu mbaya
Usizungumzie kuhusu -ungependa kuwa na uhusiano na mwanaume tajiri kiasi fulani, mwenye uwezo wa kingono kiasi gani, na ni kwa vipi ungependa ampende mke wake..
3. Usimwambie mtu wako kwamba unampenda sana rafiki yako au shemeji yako
Kiana wote tunafahamu kuwa inawezekana kwa rafiki au shemeji kutaka kukuoa.
Lakini, ni hatari kumwambia mume wako kuhusu wazo hili
Shida ni kwamba mtu wako anaweza kuanza kuwa na mashaka kuhusu tabia zake na vitendo vyako kumuhusu mwanaume huyo, jambo linaloweza kusambaratisha mahusiano yenu kimasihara tu......
4. Usijaribu kumwambia kuwa unamchukia mama yake au familia yake
Hata kama bi mdashi wake...i mean....
mama mkwe hata awe ni mtu mbaya kiasi gani, usimwambie mtu wako kuwa unamchukia......
Au unaichukia familia yake. Hata kama umekasirika kiasi gani, usijaribu kusema mambo mabaya kuwahusu, au kumuona mtu wako sawa na familia yake....
Kama haupatani na yeyote katika familia ya mume wako, elezea kwa utulivu, ukiwa na matumaini kuwa ataelewa ni kwanini haupatani nao.....
Mume wako pia ataweza kukusaidia kutatua tatizo, na pia itazuwia matatizo mengine ambayo yanaweza kusababisha matatizo makubwa zaidi.
5. Usimtishe mtu wako kuwa utakuja kuachana naye..nomas!
Siku ukijiroga ukamwambia mtu wako kuwa utaachana naye wakati mnazozana, jua ndio mwanzo wa malumbano...
Nakutonya....
Mahusiano yenu mdogo mdoogo....yataanza kukumbwa na misukosuko, wasi wasi na kutoaminiana.
moyo wa imani katika ndoa utakuwa haupo tena na kuona umuhimu wako tena.....
JITU BANDIA... Dribbler [emoji459]