Siri 5 ambazo hupaswi kumwambia mwenza wako/mume ama anaetarajia kuwa mwenza wako hata iweje

Siri 5 ambazo hupaswi kumwambia mwenza wako/mume ama anaetarajia kuwa mwenza wako hata iweje

NB: Kwa wanaume, usije ukakiri ulitembea na mwanamke mwingine pembeni. Hata kama akikumata "red-handed" kataa tafuta sababu hata ya kijinga isiyokuwa na maana semaaa!! Yaani usikubali kabisa ulichepuka hata kama hizo habari kapewa na mama ake bishaa mpaka akikuangalia akose la kusema!!
 
Mwanamke Kama Hana bikra usitoe hela ili akupe uchi . Pia usitoe mahari kwa Mwanamke ambaye Hana bikra hasa kwa sisi vijana watakatifu tunaopenda kukaa kanisani 24/7
 
Hahahaha hapo kwenye idadi mkiulizaga jibu ni kama sheria "mwanaume mmoja na wewe ndio wapili".
Sisi Tunachapa tu hata ukituambia Wa Kumi..!

Watu tunakula DAda poa Tukiwa sisi ni wa 1578 alafu Haina kesi na wakitufurahisha Tunawaambia nataka nikuoe Mchumba..

Hilo swali kama mimi hua nauliza visichana vya miaka 17mpaka 22 kutaka kujua mzigo uko sealed au!!
Lakini sio Bibi la miaka 27 huko.
 
Sasa sista[emoji23][emoji23], umekuwa na mahusiano na ukalala na wanaume zaidi ya watatu na yote yakavunjika, yaani wewe ndio constant factor hapo, halafu ndio unataka nikuoe. [emoji23][emoji23][emoji23] to hell, wakati mimi mwenyewe tunaoitwa mbwa sijafika huko. Yaani kwa hesabu za haraka wewe ndio variable iliyopo constant katika kila mahusiano uliyoyavunja, basi ujue unashida.
Ha ha ha blah blah blah tu ila mnaoa.
 
Mambo yote 5 mamaj keshaniambia na Bado anashangaa kwann simuoi
 
Back
Top Bottom