Siri 6 za Ali Kiba kumuoa Mkenya hizi hapa

Uliyoyasema kweli kaka. Nilisoma na huyu mrembo chuo cha United States International University (USIU) pale Nairobi darasa moja. Yupo vzr sana. Secondary alisoma star of the sea pale mombasa-shule ya wanawake watupu. Namkumbuka upole wake darasani
Mbona hukumchombeza? Au ndo domo zege? Hiv Wolpa amefika hata darasa la 7?
 
UMESAHAU SIFA YA 7 wanawake wa MOMBASA,,,, kutoa KITUNGUU..8 ...HAWATAWALIKI na MUME,,,NA HUPENDA KUWA JUU YA WAUME ZAO,,,,pia wabinafsi hawapendi NDUGU WA MUME....time will tell,,,,Mimi ni mzaliwa wa TANGA,,,na HATUOI MOMBASA,,NI KWELI WANAJUWA KUPIKA MAPOCHOPOCHO,,wana NYAMA TAMU YA ULIMI,,,WANAJIWA MAHABA,,,,,lakini wanawake wa MOMBASA NI MCHARUKO ZAIDI ya DADA ZETU WA BONGO,,,ukidanganyika na NYAMA YA ULIMI WAO,,,,na MAHABA YAO,,,hakika UMEPOTEA...
 
Nilijua kuna wachambuzi wa mambo ya soka tu kumbe hata mambo ya uoaji kuna wachambuzi.
 
Kama shule Jokate ana masters na alikuwa bright sana darasani. Sema labda utulivu ndio zero, na ile kuchezewa na watu kama Diamond kulishusha thamani yake kabisa
Jokate hiyo masters kapata wapi zaidi ya ile degree yake ya sociology?[emoji33][emoji33]
 
Jokate hiyo masters kapata wapi zaidi ya ile degree yake ya sociology?[emoji33][emoji33]
Sorry kwa kujaribu kuwadanganya, sina chochote nnachojua juu ya Jokate zaidi ya ile product yake ya malapa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tatizo ni kwamba mnaangalia wanawake wa kwenye social medias na celebrities halafu mnageneralise.
Shida hata huyo ambae sio maarufu nae akisha olewa na supa staa atataka nae kujionyesha ujue
 


Mhanga mwingine huyu wa kukataliwa na Wanawake sasa amegeuka adui wa dada zetu wa Kitanzania, beef your game labda next time utafanikiwa kupata Mwanamke atakaye kukubali, acha kutafuta Mchawi Wanawake Dunia nzima wako sawa, kama hauna game hauwakukubali ni rahisi kihivyo tu!
 
Vipi chumbani anajua kukata mauno? Maana mmemchambua kama dagaa
 
Wa Mombasa sio mchezo...Bibi yangu alitoka huko na kuolewa Bongo....Alikuwa moto wa kuotewa mbali...ndugu za babu hawakukanyanga kwake....Ila alijua sana biashara na alisisitiza sana elimu...Babu hakudhubutu kuoa mwingine...
 
mwambiyeni kibakuli eti Jokate ameshakuwa mheshimiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…