Siri gani ambayo imefichwa na Mungu katika damu ya binadamu na wanyama?

Siri gani ambayo imefichwa na Mungu katika damu ya binadamu na wanyama?

mkuu Kaunara , nikianza kwny kuchanjw chale damu yko inatumika kuwek mkatab ni kam sahihi yako kwenye ulimwengu wa kiroho, damu yako ni uniq so kma unatak jambo lifanyike esp yale mazito au makubwa ya rohoni unatakiwa uthibitishe kwa kutoa damu kama ishara ya kulidhia.

tukija kwenye kuagizwa damu za viumbe, kma ilivyo damu ni uhai na uhai una energy n energy hii ndiyo price inayokuwa requested na roho (jini,mzim n.k) ili iweze kufanya kazi yako.

kuna kazi zingine ni ngumu , kubwa hapo hizo roho uhitj energy kubw kukamilisha hivyo price huwa kubwa pia.
mshana jr kazia hapo.


Mtaniwia radhi kwa uhandishi

Mulemule merengo90 kama unakumbuka zile ajali za Feb na March mwaka huu ilikuwa ni kwa ajili ya matambiko viapo na maagano, halafu hakuna hata mmoja atakayekupa maelezo ya kuyakinika kwanini ziliisha ghafla
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom