Boss, we siku hizi unaguna sana, kulikoni?
ha haaa haa
ukiona nimeguna ujue nimekosa cha kuongeza au sikubaliani na mada...
hii topic kuna kitu kimefichwa,sidhani wanawake wanajali saana kuhusu bei za viatu
but we both know kuna mambo womens hawawezi kusema ukweli hata kama umewashikia bunduki....
Kama yapi?ha haaa haa
ukiona nimeguna ujue nimekosa cha kuongeza au sikubaliani na mada...
hii topic kuna kitu kimefichwa,sidhani wanawake wanajali saana kuhusu bei za viatu
but we both know kuna mambo womens hawawezi kusema ukweli hata kama umewashikia bunduki....
Mkuu unatutisha sisi ambao hatujajaaliwa kuoa
AshaDii. Woga lazima uwepo honestly kuna vitu vingine ukiambiwa ukweli kuhusu yalojificha ndani yake, basi deep down nafsi inaogopaHuna haja ya kuogopa... Mtambuzi kasahau kutumia neno "baadhi"
Kama yapi?
AshaDii. Woga lazima uwepo honestly kuna vitu vingine ukiambiwa ukweli kuhusu yalojificha ndani yake, basi deep down nafsi inaogopa
Umemena ukweliusitishike kabisa
ila kumbuka wewe ulivyokuwa mtoto mdogo
ni mara ngapi uliwadanganya wazazi?????/
utagundua ni karibu mara nyingi mno....
but mwisho wa siku siyo ya kutisha kabisa,pengine ukukimbuka now
na jinsi baba au mama alivyokuweka kiti moto,unabaki unacheka tu
Haya shukran kwa kunitia moyoMambo ya relationships/ndoa sio ya kukalili... unaenda with flow mpaka when you find your own course...
Mambo ya relationships/ndoa sio ya kukalili... unaenda with flow mpaka when you find your own course...
tell him th truth...
he will never get the truth from a woman on these questions...
1.how many guys you had?????
2.am i the best in bed?
3.can you forgive if i cheat?
4.is my tool the right size for you?
5.............
6.......................
Answers...
- Not worth remembering..
- YES.. That is the major reason i am with you...
- Only if i was not around when you did it...
- Of coz - The perfect fit....
- ........
sasa ukitaka kujua zaidi mtongoze shoga yake. Lkn uhakikishe unamega. Ukishindwa inarudi kwa mkeo.
Fahamu kwamba mwanamke uliye naye ana siri nyingi alizoficha zikiwemo chache ambazo hukuwahi kuzifikiria hata mara moja.
Je, ulikuwa unafahamu kuwa kila kitu mwanamke anachonunua kuanzia nguo zake, viatu na hata madawa huwa na gharama halisi ya asilimia 20 zaidi ya ile anayomweleza mwenzi wake? Kwa mfano anaweza kumwambia mwenzi wake kanunua kiatu kwa shilingi 8,000, lakini ukweli halisi wa bei ya kiatu hicho alinunua kwa shilingi 10,000! Mara nyingi wanawake hutaja bei ya chini ya vitu vyao wanavyonunua kwa waume zao ili wasionekane waharibifu wa fedha au kuepuka kuzua zogo bure na wenzi wao.
Je ulikuwa unafahamu kuwa wanawake wanakuwa wawazi zaidi kwa mashoga zao kuliko walivyo kwa wapenzi au waume zao? Kama ulikuwa hufahamu juu ya hilo, basi kwa taarifa yako ni kwamba ni rahisi sana wanawake kuaminiana kiasi cha kuelezana siri zao kama ni marafiki wanaoaminiana sana. Huweza kuwaeleza marafiki zao kuhusu hata mzozo mdogo unaotokea kati yao na wapenzi wao. Kuwaeleza kuhusu vile wanavyotendewa na wakwe na mawifi zao. Kulalamikia jinsi wapenzi wao wanavyoonekana kuthamini zaidi burudani fulani kiasi cha kutumia muda wao wote huko.
Nitaendelea kuweka siri zao nyingi hapa!
mhhhhhhhhh