Siri iliyojificha kwenye mtandao wa Ebay na jinsi ya kutumia Ebay kutengeneza pesa

Unaship kwa kutumia forwarder gani? Mfano seller hatumi bidhaa Africa
 
Hey Siri who is number one in the world [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] eBay

Hey Alexa
Can you check my bank balance and let me know which Apple product I can afford?

Alexa: Apple juice [emoji23][emoji23]
 
Mtu anaweza kuwa na moyo safi wa kujuza wengine akakatishwa tamaa hivi hivi,#fokofu usife moyo bana binafsi nataka kujua zaidi kuna jamaa naona wanapiga hela kweli kweli.
 
Ebay bei ni kubwa mnoo unaweza kununua kitu mara tatu ya bei inayopatikana hapa bongo. Ebay nanunua kitu ambacho nakitafuta na hakipatikani bongo
 
Kwanza ebay vitu ni ghali sana

Pili vitu vingi havitumwi Africa hadi uwe na shipping forward agents wa marekani

Pia vinachukuaga mda mrefu kufika bongo compare to china to tz

Pia shipping cost ni ghali mnoo

Hapo bado kodi kibongobongo
 
Mtu anaweza kuwa na moyo safi wa kujuza wengine akakatishwa tamaa hivi hivi,#fokofu usife moyo bana binafsi nataka kujua zaidi kuna jamaa naona wanapiga hela kweli kweli.
Usijali mkuu hakuna wa kunikatisha tamaa kila mtu kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake kwaiyo siwezi kuzuia mtu kutoa mawazo.
 
Ebay bei ni kubwa mnoo unaweza kununua kitu mara tatu ya bei inayopatikana hapa bongo. Ebay nanunua kitu ambacho nakitafuta na hakipatikani bongo
Kitu gani hiko kinachouzwa mara tatu ya bei ya bongo embu tujuze na sisi tujue.
 
Kwanza ebay vitu ni ghali sana

Pili vitu vingi havitumwi Africa hadi uwe na shipping forward agents wa marekani

Pia vinachukuaga mda mrefu kufika bongo compare to china to tz

Pia shipping cost ni ghali mnoo

Hapo bado kodi kibongobongo
Siyo lazima utumie forwading company kuna agent wanaotuma vitu moja kwa moja kutoka USA na UK tena kwa bei nafuu tu, i can prove it to you, pia usidanganye umma kuwa vitu vya marekani ni ghali kuliko huku bongo sababu hata vinavyouzwa huku bongo vinatoka hukohuko majuu.
 
Ebay bei ni kubwa mnoo unaweza kununua kitu mara tatu ya bei inayopatikana hapa bongo. Ebay nanunua kitu ambacho nakitafuta na hakipatikani bongo
Embu tupe mfano wa kitu ambacho ni ghali mara tatu ya huki bongo, na sisi tujue.
 
eBay ilinishinda ...nipo zangu alixpress na kikuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…