Huko pm ukijachanganya tu unapigwa katafunua!Huko pm unataka kuwaliza watu
TMT, jangid plazaghafla umenikumbusha ule uzi wa "....hakuna benki yoyote inayotaka ujue"
Hey Siri who is number one in the world [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] eBayNa wewe mleta mada ndiyo unazidi kuificha siri zaidi
Hey Siri who is number one in the world [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38] eBay
KweliEbay bei ni kubwa mnoo unaweza kununua kitu mara tatu ya bei inayopatikana hapa bongo. Ebay nanunua kitu ambacho nakitafuta na hakipatikani bongo
Usijali mkuu hakuna wa kunikatisha tamaa kila mtu kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake kwaiyo siwezi kuzuia mtu kutoa mawazo.Mtu anaweza kuwa na moyo safi wa kujuza wengine akakatishwa tamaa hivi hivi,#fokofu usife moyo bana binafsi nataka kujua zaidi kuna jamaa naona wanapiga hela kweli kweli.
Siyo lazima utumie forwading company kuna agent wanaotuma vitu moja kwa moja kutoka USA na UK tena kwa bei nafuu tu, i can prove it to you, pia usidanganye umma kuwa vitu vya marekani ni ghali kuliko huku bongo sababu hata vinavyouzwa huku bongo vinatoka hukohuko majuu.Kwanza ebay vitu ni ghali sana
Pili vitu vingi havitumwi Africa hadi uwe na shipping forward agents wa marekani
Pia vinachukuaga mda mrefu kufika bongo compare to china to tz
Pia shipping cost ni ghali mnoo
Hapo bado kodi kibongobongo