Siri imefichuka kumbe kifesi amefukuzwa kazi wcb

Akome yy afanye kazi ushaur akashari ndugu zake..MTU mzima tena boss wakeakifanya maamuz hata kama hakuyapenda alitakiwa aheshimu tu baas....
 
Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
 
Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
Nakumbuka alikuwa yupo yupo tu.na alikuwa mtu Wa kujificha ficha. Mpaka mama mtu na yeye akabadilishwa akawa anavaa na kupendeza
 
Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
Ujanja kupata sio kuwahi!
 
Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
Yani tulikuwa hata hatumjui mpaka kapata kiben ten cha kukitunza halafu analeta shobo dundo anajikuta na yeye ni boss WCB[emoji23][emoji23]

Amshukuru sana Zari kamfanya hata kajua kufanya biashara akapata hata na hela za kulea kiben ten

Sent from my SM-N910T using JamiiForums mobile app
 
Sema wote wanamakosa huyo kifes alipoenda kuomba kaz hakutangaza kwenye social media yoyote leo kaacha au kafukuzwa anapeleka mitandaon ilitakiwa wamalize kiofis huko huko na huyo esma nae angekaa kimya asingeleta kihere here chake .
 
Sio mfuatiliaji wa miziki hii, LAKINI nimepita hapa & nimevutiwa na maneno haya.

Maneno ya hekima sana. Yesu Kristo amjalie kukua kiimani kama NIA aliyoonyesha, na aibariki kazi ya mikono yake.

Nafurahi kuona vijana tukiwaza KUTUMIKIA KUSUDI LA MUNGU zaidi.
 
Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
Haaaaah haaaah aiseee we kiboko
 
Huyo esma naye anajikuta wa maana kumbe mpuuzi tu[emoji23][emoji23]

Yani hii familia ya Tandale ni wanafiki wa kiwango cha standard gauge.

Bora kifesi kaamua kumove on.
Kifesi amefukuzwa, hakuamua kumove on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…