[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Esma umkumbuke zari maisha yako yote, tangu kadate na bro wako ukajua hadi kuoga ulikua unapost picha insta mchafu mchafu masikini vidole ka tangawizi.....siku hizi hadi wajiita Esma platinum enzi hizo Esma wakuache ulikua wakuache kweli mchafuu
Kristuuuu...Sio mfuatiliaji wa miziki hii, LAKINI nimepita hapa & nimevutiwa na maneno haya.
Maneno ya hekima sana. Yesu Kristo amjalie kukua kiimani kama NIA aliyoonyesha, na aibariki kazi ya mikono yake.
Nafurahi kuona vijana tukiwaza KUTUMIKIA KUSUDI LA MUNGU zaidi.
Huyo dada yke ni mwarabu toleo gani mana hpo naona mwarabu wa maganzoNdo maana hata Rais Magu hapendi ushauri unaopingana na yale atakayo.
Maisha ya Dai hata siku moja hajawah tenganisha kazi na mahusiano ndo maana wachini yake hawaon tofauti yoyote,wakimsifia anachekelea,wakimshauri ndivyo sivyo anakasirika.
Ona sasa hapa esma ana cheo gani WCB mpaka awe msemaji wa sakata la kifesi,si angesubiri uongozi utoe tamko rasmi.
Waafrika ndivyo tulivyo.
Duuuh maneno mazito kma mwili wa le kibamiazZari alipokanyaga tu madale mambo yakabadilika Esma hadi akaijua na make up
Tatizo waswahili original huwa hawataki kumwachia mtu aweze kuanza maisha mapya vizuri kwa kumlinda..huku kwenye ajira huwa tunaharibu lakini ukiacha kazi hata kama hukupenda lakini wanakupa recommendation ya uende kwa amaniEsma hajui kucheza na media.. Ni mara nyingi anatoa exclusives.. Nadhani ana mihemko sana.. Mwingine mwenye tabia hiyo ni Rich Mavoko!
Mavoko simsikii tena sijui washampangusa nae..?!Esma hajui kucheza na media.. Ni mara nyingi anatoa exclusives.. Nadhani ana mihemko sana.. Mwingine mwenye tabia hiyo ni Rich Mavoko!
Huyo dada yke ni mwarabu toleo gani mana hpo naona mwarabu wa maganzo
Hili nalo neno mkùuWCB kila mtu Maarufu ipo siku tutajadili house girl wa diamond hapa
Wewe unaendeshwa Na mihemko Na uteam huwa sihangaiki na watu wa sampuli yako.wivu utawauwa .. kwani ya zari na boss wake yalikuwa yana mhusu
KabisaaaHahahaaaaaaaaaaaaaa ati kiwango cha standard gauge hii hii ya Magu na Kagame[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ndo mnachotaka kusikiaBora kifesi kumuvuzishwa on.
To keep clear record!
Lete ushahidi.Kifesi amefukuzwa, hakuamua kumove on.
Dada yake ChibuEsma ni nan eti
Mtoto mzur Linamo