Sheikh mkuu wa darNimepotea tundu
Hilo guu kwenye avatar ni lakwakoEsma anakiherehere kama kojo la asubuhi.
Watanzania logic hamna ...Sasa huyo ESMA ndo nani hapo wcb?
halafu mbona hakuna baua lolote aliloandika huyo kifesi?
Amna siyo kama kojo. Ni kama bao la kwanza.Esma anakiherehere kama kojo la asubuhi.
Hii ni kweli kabisa.Nakumbuka kitambo sana kwenye interview moja diamond aliwahi kusema kuwa hata mamanager wake alishawambia wasimuingilie kwenye mapenzi yake maana mwisho wa siku watagombana na watamuona mbaya.
Akatoa mfano anaweza gombana na mpenzi wake ukamshauri yule msichana hakufai na ni mbaya na yeye akakubari kabisa kuwa hafai na hatorudiana naye ila baada ya siku ukasikia wamerudiana utajisikia vibaya umkasirikie...
Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye maisha ukisha yapitia. Ila kama hujawahi kupitia, lazima utaogopa sana...Ndo mnachotaka kusikia
Ahahaaaah...AIBU ZA KUONDOKA ZIKAWASHTUA WANASAMBAZA KAFUKUZWA KAZI.
Kifesi hana akili..!KIFE ANA AKILI
HATOMJIBU HUYUDADAA MAANA ANAJUA MENGI NA SIRI NYINGI..AENDELEE NA HEKIMA HIOHIOO
Umenifundisha kitu..thanxx.penda utu pia.Huyu Kifesi anampenda zari eti kisa anapata madili ya pesa eti ndio anaona baraka,jamani penda utu pia usichamgulie mtu mwanamke wala kuingilia
Umenifundisha kitu.Huyu Kifesi anampenda zari eti kisa anapata madili ya pesa eti ndio anaona baraka,jamani penda utu pia usichamgulie mtu mwanamke wala kuingilia
AsanteeUmenifundisha kitu..thanxx.penda utu pia.
Kumbe huyu kifesi ni mwanaume..doohNingekuwa huyo Kifesi ningemgeukia Zari nimle
Shenzitaipu
Enzi hizo haujui wanja hata kiben ten hakitulii nyumbani kila siku kiko na wema utadhani kivulana kilichobalehe kumbe mme na familia, sikuwahi kumuona hata akitoka na mkewe kila mtoko yupo na wema, sahivi Esma anavihela na anaoga wanashona vitenge sare na kwenye shughuli wapo wote mambo niiiiii motoooYani tulikuwa hata hatumjui mpaka kapata kiben ten cha kukitunza halafu analeta shobo dundo anajikuta na yeye ni boss WCB[emoji23][emoji23]
Amshukuru sana Zari kamfanya hata kajua kufanya biashara akapata hata na hela za kulea kiben ten
Sent from my SM-N910T using JamiiForums mobile app
Siku hizi hadi photoshoot anafanya Esma dangote, Esma platnum, Esma Khan sio yule esma wakuache alokua hajui hata wanja.... Wamshukuru sana ZariKikwapa sugu sikuhizi ananukia utuli
ha ha ha ha ha le kokobangaDuuuh maneno mazito kma mwili wa le kibamiaz
[emoji23][emoji23]Amna siyo kama kojo. Ni kama bao la kwanza.