Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Au nimekosea mkuu[emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] we jamaa mbona hivyo!! Ndugu zake wote wanatumia jina la kisuraNi shoga ?
Yani Zari kamtoa tongotongo halafu Leo anamnafiki.Enzi hizo haujui wanja hata kiben ten hakitulii nyumbani kila siku kiko na wema utadhani kivulana kilichobalehe kumbe mme na familia, sikuwahi kumuona hata akitoka na mkewe kila mtoko yupo na wema, sahivi Esma anavihela na anaoga wanashona vitenge sare na kwenye shughuli wapo wote mambo niiiiii motooo
Ha ha ha Esma platnum vs Esma wakuacheYani Zari kamtoa tongotongo halafu Leo anamnafiki.
Nikimkumbuka esma yule wa Diamond na Wema si Esma huyu wa Diamond na Zari alikuwa mshamba wa kiwango cha lami.
Hongera kwa kupata cheo cha msemaji wa WCBAhahaaaah...
Yaani WCB waone aibu Kifesi kuondoka..!?
Huyo Kifesi anaihitaji WCB kuliko WCB inavyomuhitaji..!
Kama kakutuma au ndio wewe mwenyewe Kifesi kaa kimya tu,usizidi kuchekesha watu..!
Wewe unaanzaje kumwambia boss wako hana akili kisa kakubali kuachwa na mzazi mwenzie,tena haumwambii uso kwa uso,unamwambia kwa kupost Instagram..!
Fanya kazi mahusiano/ndoa ya boss wako sio sehemu ya kazi yako..!
Kwa hiyo umeona Zari ni wa kuliwa liwa tu kama tikiti maji?Ningekuwa huyo Kifesi ningemgeukia Zari nimle
Shenzitaipu
Ahsante..!Hongera kwa kupata cheo cha msemaji wa WCB
Zari mwenyewe alikuwa mpori mpori tu mpk alipokuwa introduced bongo na domo na kuanza kuvaa mawigi ya luluz hair.Siku hizi hadi photoshoot anafanya Esma dangote, Esma platnum, Esma Khan sio yule esma wakuache alokua hajui hata wanja.... Wamshukuru sana Zari
Mbona mama dangote bado yuko poa tu na zariFamilia hii ni wanafiki sijapata kuona
Leo zari hana thamani na ukiwa upande wake unakua adui wao
Nafuta kauli mkuu[emoji23] [emoji23] we jamaa mbona hivyo!! Ndugu zake wote wanatumia jina la kisura
Unaongea na simu auKWATAARIFAAYAKOO ALIEKUTUMA KACHEMKA DOGO KASAMBAZA MSG ZA KUACHA KAZI HATA CHIBU AELEWI..ALIPOMSHTUA DOGO AKAMPA MAKAVUU WAKASHINDWA KUELEWANA ..NDIPO AIBU ZA KUONDOKA ZIKAWASHTUA WANASAMBAZA KAFUKUZWA KAZI. SOMA ALICHOANDIKA DOGOO KUNAMAMBO MAKUBWA YANAYOMZUIA KWENDA MBINGUNI AKAONA HAONI FAIDA KUFURAHIA MAISHA YA DUNIAN ATA UWE TAJIRI NA MBINGU UKAIKOSAA..HUYU N KIFU
MWACHENI DOGO KAONA NURU MBINGU IIMEMKUBALI NAHAKIKA HATOOENDA JEHANUM KAMWE
Eti introduced Bongo, angalia hata picha zake za enzi hizo hatumjui zari ni nani still alikua fire, huwezi mlinganisha na ma vampire wa tandale/madaleZari mwenyewe alikuwa mpori mpori tu mpk alipokuwa introduced bongo na domo na kuanza kuvaa mawigi ya luluz hair.
Kimbelembele.Eti anataka kumpendeza Mungu...hivi uzinzi unampendeza Mungu?Huyu Kifesi anampenda zari eti kisa anapata madili ya pesa eti ndio anaona baraka,jamani penda utu pia usichamgulie mtu mwanamke wala kuingilia
Exactly BabeEti introduced Bongo, angalia hata picha zake za enzi hizo hatumjui zari ni nani still alikua fire, huwezi mlinganisha na ma vampire wa tandale/madale
ni zee lakini linafaa kwa matumizi.
Hakuajiriwa kwa Barua Mkuu,Sasa huyo ESMA ndo nani hapo wcb?
halafu mbona hakuna baua lolote aliloandika huyo kifesi?