Siri imefichuka, kumbe WEMA ni mke wa mtu..

Siri imefichuka, kumbe WEMA ni mke wa mtu..

Kaolewa huyo tena ndoa kabisa na yusuph jumbe mwaka 2009 mwezi wa pili anajibaraguza tu arudi kwa mumewe uko au kwa kuwa mumewe sio staa na hana pesa?

Wabongo kwa kufatilia Maisha ya watu sasa kama aliolewa ww inakuhusu nini? au inazuia kitu gani kwenye Maisha yako ya kila cku?
 
Siri imefichuka ,kumbe staa wa filamu nchini na aliyekuwa miss tanzania 2006, wema isaac sepetu anadaiwa kuwa mke wa mtu, inasemekana staa huyo alifunga ndoa na mjasiriamali aitwaye yusuph jumbe mwezi wa pili mwaka 2009.

Hata hivyo inadaiwa ndoa hiyo haikufika hata mwezi wanandoa hao wakashindwana na bado haijajulikana kama waliachana kwa talaka au lah.

Staa huyo (wema) ambaye yupo kwenye mahaba niue na staa mwenzie diamond platnum, ambapo ivi karibuni wanadaiwa kutaka kufunga ndoa ambayo kwa mwanadada wema itakuwa ndoa yake ya pili.

Sasa haijajulikana kama dini yake inamruhusu kuolewa mara mbili kama ilivyo kwa wanaume wanavyoruhusiwa kuoa wake hadi wanne au lah.

Wabongo kwa kufatilia Maisha ya
watu sasa kama aliolewa ww
inakuhusu nini? au inazuia kitu gani
kwenye Maisha yako ya kila cku?
 
Sasa anataka mtu wa kumuoa wakati ni mke wa mtu tayari
 
wema anapenda sana kuingiliwa kinyume na maumbile,na apenda sana sana kusagana
 
Back
Top Bottom