Siri imefichuka Wachezaji wa Yanga Nahodha Cannavaro na Kessy wapigana wakigombea posho

Sawa tunasubiria habari kutoka vyanzo vya habari vyenye kuaminika 'vilivyotukuka' kwa kuwa wewe ni Simba huiombei Mazuri Yanga
 
Kwangu huu ni udaku mkuu thibitisha kwanza huwa sijadili udaku bosi.Pia halisaidii ktk maendeleo ya Soka.
 
Simba MNA KAZI kwel kwel
 
Mara paap.. Kitu kitu, kakwepa, kuchukua, piga, chalii

Posho yaleta mtifuano TBR.
 
Kumbe mkuu upo kishabiki zaidi badala ya ukweli wa mambo, ndiyo kusema unavizia nafasi ya kuwa msemaji wa klabu ya simba kuchukua nafasi ya Manara, anayetakiwa kuachia nafasi kutokana maiki atumiazo kuwa na madini ambayo ni hatari kwa watu wenye vimelea vya albinos. Athari zake ni kuzeeka haraka, kuwa chizi, kukojoa wakati wote na kupoteza kumbukumbu. Nawakilisha
 
Umevurugwa wewe umeamua kupoozea kwetu.Ha!ha! pambana na hali yenu Sumba.
 
Mkuu, hukuweza kunusa habari za Mayanja kuwa replaced na Mrundi utaweza kujua habari za Yanga?
By the way, hujanusa kutimuliwa kwa Omog?
 
Wewe jamaa mbona mbeya mbeya ?

Hangaikeni kuitafutia Simbwa ubingwa huu ni mwaka wa tano mtatoka kapa.
 
Hakuna kiumbe muongo Duniani kama mleta mada, alitabili lisu kisha fariki kitambo ila majuzi tumeona picha za lisu.


Huyu mpuuzeni ni Vuvuzela
 

Ulituaminisha kuwa rufaa ya simba imetua FIFA na hili pia huaminiki
 
Reactions: Lee
Yaan Yule kessy aliyekimbia simba ndio kaenda kugombea hela huko
 
Ww ndio uliabdika jengo la yanga litapigwa mnada ndan ya mwez mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…