Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Sawa tunasubiria habari kutoka vyanzo vya habari vyenye kuaminika 'vilivyotukuka' kwa kuwa wewe ni Simba huiombei Mazuri YangaNa bahati nzuri au mbaya hakuna mahala nimeandika kwamba unatakiwa uiamini na humu JF hatuna utaratibu wa kulazimishana tuamini ' mabandiko ' yetu. Kama una namba za Msemaji wa Yanga SC Dismass Ten tafadhali nakuomba umwambie mbona anachelewa kuikanusha au kuikubali hii taarifa? Tatizo nini?
Na mpaka kuelekea tarehe 28 October, 2017 katika ile Mzizima Derby au Dar es Salaam Derby au Ilala Derby au Tanzania's Derby au East and Central Africa Derby ya Simba na Yanga ' tutawateseni ' sana Kisaikolojia wana Yanga SC na kupelekea ' kuchanganyikiwa ' vibaya hatimaye kufungwa magoli mengi na Simba SC yangu. Kuanzia sasa hadi hiyo siku ni ' ' fitna ' tu kwa kwenda mbele. Kwa siku hizi zilizobaki wana Yanga SC ' mtanisamehe ' tu kwani nina ' Jukumu ' kubwa la kuwaharibuni ' Kisaikolojia ' hivyo Kipele kimempata Mkunaji.