Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

Nilipoona mshindani niliona ni pumba tupu maana hakuna sehemu zabuni imetangazwa
 
Enyi wazanzibari kubuni hoja za wanaopinga mkataba wa aibu sio kuzusha u
 
hata aibu hamna.
 
Tenda ilitangazwa lini na katika vyombo gani vya habari?
 
Hivi vilaza na wendewazimu kama wewe hao Wana CCM wanawapaje connection za uchawa majinga kama nyinyi
 
Usichokijua ni mkataba wa kimangungo wa DP World ni chukizo kwa Watanganyika wote wala siyo la Chadema peke yake
 
Shida iko wapi kama watafuata utaratibu.... Was kuwekeza
 
Basi hao Belg ni watu wema sana
 
Wewe ni topolo na umebeba ujinga.
Kama.unajua kusoma na kuelewq nenda kasome huo mkataba utakuja hapa kukana uliyoandika.
Wewe umenunuliwa na kulipwa kiasi gani kuleta uzi chonganishi na puuzi.
 
stupid
 
Nenda ofisi za CHADEMA utapata
Nilifikiri wewe unayo mana umeiandika hapo juu kama unayo vile kumbe yakusadikika auna ushaidi wa document ambayo ilipaswa kuwa wazi kabisa utawezaje kuwa na ushaidi wa ongo ambazo zinafichwa fichwa
 
Utadhani mikataba yote tunayopigwa huko walisaini CHADEMA. Hebu acha upuuzi wako.
 
Mikataba yote mibaya imeingiwa na serikali ya ccm, chadema haiongozi nchi wala kusaini mkataba povu nini
 
Weka ushahidi, maana CCM wamepokea $2 bilioni toka DPWorld. Wabunge na wapambe wengine wa DPWORLD wanaelea kwenye $200 milioni ukiacha ufadhili wa zawadi kama magari na majumba.

Ni wajinga wa aina yenu mnajificha kwenye propaganda mfu.
 
Mtaandika kila kitu ila sisi hatuutaki mkataba wa DP world. Ila tunaihitaji DP world kwa mkataba mzur
 
Kijani wote ni misukule ya mama, hata ikitokea akawaambia wakazwe, watakubali na wataandamana kumpongeza
 
Wewe dada tulia lini kulikua na tender iliyotangazwa...ficha upumbavu wako dp wamepewa mkataba dubai expo 2022 bila tender yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…