Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

Waislamu acheni udini.
 
 
Si uweke hata link ya "leaks" basi ili walau propaganda zako zieleweke kiasi?
 
in interesting 😜
 
Acheni kurukaruka, hatuwakatai hao DP world, tunatakataa vifungu vilivyomo kwenye mkataba.Kwanini mnakuwa wabishi kwenye kuvitoa au kuvibadilisha hivyo vifungu?Mnaanza kutuletea propaganda za enzi hizo tena za kina Mahita na mapanga ya kuwasingizia CUF.
 
Hiyo picha ndiyo ankara ya malipo waliyopewa Chadema! Safi sana.
 
This is social media rubbish
 

hypocrisy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…