Instead, it moves further away from one side of the Earth to the other, causing day and night to occur...Then you must take into consideration that the Earth is so large that the Sun cannot light up the entire Earth at once.“The sun doesn’t actually set and rise” instead?
Sawasawa....mpaka Leo hujawahi kuona maji jinsi yanavyokua hold-up kwenye dunia Tufe linalozunguka umeamua tu kuamini based on ignorance.......Watu wa Flat earth mpo stone age bado,
Instead, it moves further away from one side of the Earth to the other, causing day and night to occur...Then you must take into consideration that the Earth is so large that the Sun cannot light up the entire Earth at once.
Dunia ni kubwa kiasi ambacho Jua haliwezi kuangazia kila sehemu ya Dunia at once na ndiyo maana utaona sehemu nyingine ni mchana & vice versa.The concept of the midnight sun disproves the narrative that the earth is constantly spinning. If the earth were constantly spinning, it would be impossible for the midnight sun scenario to occur,..SO THE MIDNIGHT SUN SCENARIO, SUPPORTS OUR SENSES THAT EARTH IS STATIONARY PLANE......
what is a midnight sun? Umeshawahi kushuhudia?
Kama dunia ni flat/plane kukiwa giza jua linakuwa wapi? Je inawezekama sehema moja ya dunia jua halizami (more accurately the rotation doesn’t hide the sun) na sehemu nyingine kuna giza kwa wakati huohuo kama dunia ni flat/plane?
Kwasababu logically jua lisipoonekana kila sehemu hakuna mwanga na jua likionekama kila sehemu kuna mwanga (according to your flat earth ideology)
Ushahidi nmeshakupa kitambo, unataka ushahidi gani mwingineSawasawa....mpaka Leo hujawahi kuona maji jinsi yanavyokua hold-up kwenye dunia Tufe linalozunguka umeamua tu kuamini based on ignorance.......
Ukibisha lete ushahidi wa Maji jinsi yanavyoshikiliwa kwenye dunia Tufe.....
Oooh kumbe hujui maana ya "midnight sun?Okay.. so the midnight sun mean the sun stucks at one particular region for a bit longer?
Kwamba ushawahi kuleta ushahidi wa Maji yanavyo work kwenye dunia Tufe linalozunguka?Ushahidi nmeshakupa kitambo, unataka ushahidi gani mwingine
Huoni wewe ndio umeamua kung'ang'ania ujinga ?
Yes... correctlyOkay.. so the midnight sun mean the sun stucks at one particular region for a bit longer?
Angalia tukio la starship, Sina ushahidi mwingine zaidi ya huo kwa sasa,Kwamba ushawahi kuleta ushahidi wa Maji yanavyo work kwenye dunia Tufe linalozunguka?
Hujawahi mtaalamu,....ukiuleta sasa hivi nitaamini kweli Dunia ni Tufe linalozunguka.
Naomba unisaidie niondokane na ujinga sasa.... kwenye tukio la starship sijaona hiki ninachokuomba.Angalia tukio la starship, Sina ushahidi mwingine zaidi ya huo kwa sasa,
Kama umedhamiria kuwa kichwa ngumu endelea kuwa kichwa ngumu.
Yes... correctly
Unatakiwa kuelewa concept ya shape. Hili swali usingeuliza. Jiulize basi hata ni nini kimesababisha ardhi ishikane mpaka kuweza kushikilia maji. Kwanini isiachane vipande vipande? Nini kinashikilia ardhi kuwa sehemu moja na maji yakachukua shape ya eneo yanaposhikiliwa? Au ndo mambo ya water has no shape? HahahaKwamba ushawahi kuleta ushahidi wa Maji yanavyo work kwenye dunia Tufe linalozunguka?
Hujawahi mtaalamu,....ukiuleta sasa hivi nitaamini kweli Dunia ni Tufe linalozunguka.
Unatakiwa kuelewa concept ya shape. Hili swali usingeuliza. Jiulize basi hata ni nini kimesababisha ardhi ishikane mpaka kuweza kushikilia maji. Kwanini isiachane vipande vipande? Nini kinashikilia ardhi kuwa sehemu moja na maji yakachukua shape ya eneo yanaposhikiliwa? Au ndo mambo ya water has no shape? Hahaha
Inategemea,.. mfano Alaska sun can stay for about 82 days.Okay.. so the sun can stuck for how long?
Wenzangu kina nani?Wenzako hawaamini Kama ardhi ndiyo Inashikilia Maji wewe huoni una contradict nao?
Huwa Nakupuza boss, unashindwa kuchunguza hata maswali ninayokuuliza ukagundua hilo? wewe si mtu wa kuzungumza nae vitu serious kwa nia ya kuelimishana sababu huna hiyo nia. Unafaa kupoteza muda mtu ukiwa unapumzika au huna la kifanya. Muda sasa nimekutumia kwa namna hiyo.NB:- Nakumbuka ulishindwa kutuambia maji yana shape gani....What's wrong?
Kwamfano wewe unayedai binadamu amewahi kufika mwezini una proof yoyote au una uhakika %100 au uliamini tu kitu usichojua ukweli wake? Vipi kama mtu alishuti muvi akiwa maeneo ya siri kama AREA 51 huko Marekani halafu akakuambia kwamba hapo ndiyomwezini? Utabisha? Ko hata wewe unayedai binadamu amewahi kukanyaga mwezini huenda na wewe ulilishwa matango pori tu!Interesting...!! hapana asee mtu anakwambia hamna aliyefika mwezini huyo sio mwana science hata kama ni mwana science anaichanganya na imani hapo ndio hutokea confusion
Una uhakika gani kwamba saizi kukiwa mchana kuna nchi zingine ni usiku? Unaweza ukanipa PROOF.Kitu kinachonifanya niendelee kuamini kuwa dunia ni duara ni usiku na mchana, yaani huku kukiwa usiku nchi zingine kunakuwa mchana........kama dunia ingekuwa flat au nusu duara, jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana lakini hiki ktu hakiwezekani lazima kwingine kuwe usiku kwingne mchana, halafu UN bendera yao waliitoa hivo ili mabara yote yaonekane vizuri (yaani picha imechukuliwa juu ya dunia na sio pembeni kama picha zingine zinavyoonesha)
Simu yako inakusaidia nini? Shika simu yako nenda upande wa app ya Saa. Utaona miji mbalimbali katika dunia hii na mda wake.Una uhakika gani kwamba saizi kukiwa mchana kuna nchi zingine ni usiku? Unaweza ukanipa PROOF.
Duh! Kwepa aibu ndogo ndogo kama hizi basiUna uhakika gani kwamba saizi kukiwa mchana kuna nchi zingine ni usiku? Unaweza ukanipa PROOF.
Sina cha kukuelewesha brother.Naomba unisaidie niondokane na ujinga sasa.... kwenye tukio la starship sijaona hiki ninachokuomba.
Mbona ni kitu kidogo sana?(Just maji yanavyo work kwenye dunia Tufe linalozunguka [emoji1371][emoji288])....fanya hivyo usiwe mchoyo wa maarifa.
NB: Naamini hata wewe unatamani siku moja uone jinsi maji yanavyo behave kwenye dunia Tufe linalozunguka....nipo sahihi?