Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
NOTE; Hii pia ina disprove gravity theory inayosema kwamba "The force of gravity acting on an object depends on its mass. Objects with larger mass are pulled with greater force by gravity compared to objects with smaller mass."
Hapa hauji sawa!! Kuvutwa Kwa nguvu Kubwa(force) haimaanishi ndio itasababisha kitu ki accelerate Kwa rate Kubwa. Utanielewa tu.

Mfano: ukibeba ndoo mbili ya litre 10 mkono mwingine litre 20. Utatumia nguvu Kubwa kwenye ndoo ya litre 20 kuliko ya litre 10, lkn zote utazinyanyua Kwa pamoja.

F = Ma
acceleration = change in velocity/Time.

So hakuna uhusiano wa acceleration na mass Kwa namna unayosema wewe.
 
Hahh sasa kama hiyo ni kweli,.. Jiulize Je, in real life experience kitu unachovuta kwa nguvu kubwa na kitu unachovuta kwa nguvu ndogo kipi kitafika pale unapovutia (let's say chini) kwa haraka zaidi?? Je vitu vitu vyote viwili vita accelerate at the same rate wakati nguvu uliyotumia kuvuta ni tofauti??
Vitafika Kwa pamoja 🤣, maybe utumie nguvu sawa Kwa vyote(yaani chenye uzito mkubwa na mdogo) hapo chenye uzito mdogo ndo kitaanza kufika lkn ukitumia nguvu Kubwa kwenye chenye uzito mkubwa na ndogo chenye uzito mdogo probability Kubwa ni vitafika Kwa pamoja.
 
Vitafika Kwa pamoja 🤣, maybe utumie nguvu sawa Kwa vyote(yaani chenye uzito mkubwa na mdogo) hapo chenye uzito mdogo ndo kitaanza kufika lkn ukitumia nguvu Kubwa kwenye chenye uzito mkubwa na ndogo chenye uzito mdogo probability Kubwa ni vitafika Kwa pamoja.
Kumbe ni probability tu? nikajua ni hakika 100%, so that means unadhania tu.
 
Kumbe ni probability tu? nikajua ni hakika 100%, so that means unadhania tu.
Ndio, maana inadepend na nguvu uliyotumia. Kama umetumia nguvu Kubwa zaidi kupita kiasi unategemea nini??

Ili vifike Kwa pamoja, ni lazima kuwe na uwiano sawa. Mfano:

Uzito 1: 20kg force: 2 Newton
Uzito 2: 10 kg force: 1 Newton

So, Acceleration= 2/20 = 1/10= 0.1 m/s².

Lkn imagine:

Uzito 1: 20 kg force: 3 Newton
Uzito 2: 10 kg. Force: 1 Newton

So, Acceleration= 3/20= 0.15 m/s²
# 1/10 = 0.1 m/s².
 
Ndio, maana inadepend na nguvu uliyotumia. Kama umetumia nguvu Kubwa zaidi kupita kiasi unategemea nini??

Ili vifike Kwa pamoja, ni lazima kuwe na uwiano sawa. Mfano:

Uzito 1: 20kg force: 2 Newton
Uzito 2: 10 kg force: 1 Newton

So, Acceleration= 2/20 = 1/10= 0.1 m/s².

Lkn imagine:

Uzito 1: 20 kg force: 3 Newton
Uzito 2: 10 kg. Force: 1 Newton

So, Acceleration= 3/20= 0.15 m/s²
# 1/10 = 0.1 m/s².
Haya tuambie gravity inavuta kitu chenye mass kubwa na ndogo kwa acceleration ya ngapi mpaka vyote vinafika chini kwa pamoja?

Kumbuka umefundishwa kwamba,. Objects with larger mass are pulled with greater force by gravity compared to objects with smaller mass."
 
Haya tuambie gravity inavuta kitu chenye mass kubwa na ndogo kwa acceleration ya ngapi mpaka vyote vinafika chini kwa pamoja?

Kumbuka umefundishwa kwamba,. Objects with larger mass are pulled with greater force by gravity compared to objects with smaller mass."
Formula ya F=ma => F=mg
Inachojaribu kusema ni kuwa ukiwa na vitu viwili sehemu moja
1) Utatumia force kubwa kwenye kunyanyua kitu kizito kuliko force utayoitumia kwenye kunyanyua kitu kidogo (a ni constant hapa 'g', so Force is directly proportional to Mass.)
2) Kama vyote vilianza safari ya kuanguka pamoja, utatumia nguvu kubwa kuzuia kitu kizito kuliko kile chepesi, yani kile kizito kitafika na force kubwa kuliko kile chepesi.

Formula ya F=G*MEarth*mass/r2
Pia inakupa story hiyo hiyo kwa vitu vyote ambavyo vipo karibu na dunia.
Ambapo G ni constant
MEarth => Uzito wa dunia ni mkubwa sana kuliko uzito wavitu vilivyopo duniani
r2 => Umbali kati ya centre ya dunia na object, radius ya dunia ni kubwa sana kuliko height ya kitu chochote kilichopo duniani.

Kwa lugha nyingine hiyo formula unaweza kuiarrange

F = mass*(G*MEarth/r2) = mass* (acceleration)

Kwa lugha nyepesi
Acceleration ya freefall = G*MEarth/r2

Gravitational constant G, na mass ya Earth haviwezi kubadilika, kitu pekee kinachoweza kubadilika hapo ni 'r'.
Kwa vitu vyote vilivyo karibu na dunia na ukubwa wake huwezi fananisha na ukubwa wa dunia, acceleration due to gravity ni constant, na kama vitaanza pamoja na vikawa na acceleration sawa basi vitafika pamoja.

Pia muhimu kujua kuwa force inayozungumziwa kwenye F=ma ni 'net force' kama kuna force nyingine yoyote ile hapo inahusika net force ni summation ya vector ya hizo forces husika.

Kila la kheri mkuu kwenye kubishana na uhalisia
 
Formula ya F=ma => F=mg
Inachojaribu kusema ni kuwa ukiwa na vitu viwili sehemu moja
1) Utatumia force kubwa kwenye kunyanyua kitu kizito kuliko force utayoitumia kwenye kunyanyua kitu kidogo (a ni constant hapa 'g', so Force is directly proportional to Mass.)
2) Kama vyote vilianza safari ya kuanguka pamoja, utatumia nguvu kubwa kuzuia kitu kizito kuliko kile chepesi, yani kile kizito kitafika na force kubwa kuliko kile chepesi.

Formula ya F=G*MEarth*mass/r2
Pia inakupa story hiyo hiyo kwa vitu vyote ambavyo vipo karibu na dunia.
Ambapo G ni constant
MEarth => Uzito wa dunia ni mkubwa sana kuliko uzito wavitu vilivyopo duniani
r2 => Umbali kati ya centre ya dunia na object, radius ya dunia ni kubwa sana kuliko height ya kitu chochote kilichopo duniani.

Kwa lugha nyingine hiyo formula unaweza kuiarrange

F = mass*(G*MEarth/r2) = mass* (acceleration)

Kwa lugha nyepesi
Acceleration ya freefall = G*MEarth/r2

Gravitational constant G, na mass ya Earth haviwezi kubadilika, kitu pekee kinachoweza kubadilika hapo ni 'r'.
Kwa vitu vyote vilivyo karibu na dunia na ukubwa wake huwezi fananisha na ukubwa wa dunia, acceleration due to gravity ni constant, na kama vitaanza pamoja na vikawa na acceleration sawa basi vitafika pamoja.

Pia muhimu kujua kuwa force inayozungumziwa kwenye F=ma ni 'net force' kama kuna force nyingine yoyote ile hapo inahusika net force ni summation ya vector ya hizo forces husika.

Kila la kheri mkuu kwenye kubishana na uhalisia




How come it isn’t dipping its nose downward in order to follow the globe curvature and not fly off into space?
 
Formula ya F=ma => F=mg
Inachojaribu kusema ni kuwa ukiwa na vitu viwili sehemu moja
1) Utatumia force kubwa kwenye kunyanyua kitu kizito kuliko force utayoitumia kwenye kunyanyua kitu kidogo (a ni constant hapa 'g', so Force is directly proportional to Mass.)
2) Kama vyote vilianza safari ya kuanguka pamoja, utatumia nguvu kubwa kuzuia kitu kizito kuliko kile chepesi, yani kile kizito kitafika na force kubwa kuliko kile chepesi.

Formula ya F=G*MEarth*mass/r2
Pia inakupa story hiyo hiyo kwa vitu vyote ambavyo vipo karibu na dunia.
Ambapo G ni constant
MEarth => Uzito wa dunia ni mkubwa sana kuliko uzito wavitu vilivyopo duniani
r2 => Umbali kati ya centre ya dunia na object, radius ya dunia ni kubwa sana kuliko height ya kitu chochote kilichopo duniani.

Kwa lugha nyingine hiyo formula unaweza kuiarrange

F = mass*(G*MEarth/r2) = mass* (acceleration)

Kwa lugha nyepesi
Acceleration ya freefall = G*MEarth/r2

Gravitational constant G, na mass ya Earth haviwezi kubadilika, kitu pekee kinachoweza kubadilika hapo ni 'r'.
Kwa vitu vyote vilivyo karibu na dunia na ukubwa wake huwezi fananisha na ukubwa wa dunia, acceleration due to gravity ni constant, na kama vitaanza pamoja na vikawa na acceleration sawa basi vitafika pamoja.

Pia muhimu kujua kuwa force inayozungumziwa kwenye F=ma ni 'net force' kama kuna force nyingine yoyote ile hapo inahusika net force ni summation ya vector ya hizo forces husika.

Kila la kheri mkuu kwenye kubishana na uhalisia
Sibishani na uhalisia,.. ngoja nikuulize swali, Je kwenye uhalisia kwa kuwa wewe una sense organs,. ukiwa unavutwa utahisi au la?
 
Sibishani na uhalisia,.. ngoja nikuulize swali, Je kwenye uhalisia kwa kuwa wewe una sense organs,. ukiwa unavutwa utahisi au la?
Mwili unasense mabadiliko mkuu.
Ili sensor iwezekufanya kazi lazima pawe na reference point, huwezi kusema joto ni kali au limepungua bila kuwa na reference.
Ni sawa na mapigo yako ya moyo muda wote yapo, ila huya sense, ila pale yatapoanza kwenda kwa kasi utajua tu.

Ubaya wa formula za gravity zina physical application kwenye kujua ni energy kiasi gani unahitaji kupandisha kitu husika juu au kushusha chini.
Na formula za power/energy hazidanganyi ikikwambia unahitaji atleast watts kadhaa, kama source yako haiwezi kufika hapo hiko kitu husika hakitafika sehemu husika regardless ni source ipi umetumia.

Pia hata wewe ukiwa unapanda kwenye muinuko kwa miguu yako utasense tu energy ya ziada unayoitumia, wakati wa kushuka unaweza kushuka bila kutumia energy yoyote.

Ndo sababu nasema endelea kubishana na uhalisia.
 
Mwili unasense mabadiliko mkuu.
Ili sensor iwezekufanya kazi lazima pawe na reference point, huwezi kusema joto ni kali au limepungua bila kuwa na reference.
Ni sawa na mapigo yako ya moyo muda wote yapo, ila huya sense, ila pale yatapoanza kwenda kwa kasi utajua tu.

Ubaya wa formula za gravity zina physical application kwenye kujua ni energy kiasi gani unahitaji kupandisha kitu husika juu au kushusha chini.
Na formula za power/energy hazidanganyi ikikwambia unahitaji atleast watts kadhaa, kama source yako haiwezi kufika hapo hiko kitu husika hakitafika sehemu husika regardless ni source ipi umetumia.

Pia hata wewe ukiwa unapanda kwenye muinuko kwa miguu yako utasense tu energy ya ziada unayoitumia, wakati wa kushuka unaweza kushuka bila kutumia energy yoyote.

Ndo sababu nasema endelea kubishana na uhalisia.
Mimi sibishi,.. nimeuliza tu kwamba,. ukiwa unavutwa utahisi au la?


Na kama hakuna Binadamu yoyote aliyewahi kuhisi kuvutwa,.. ni kipimo gani kilitumika kujua kama tunavutwa even though hatuhisi kuvutwa?


Sio kwamba nabisha hoja yako,.. bali nauliza ili mambo yawe clear zaidi ikiwezekana.
 
Mimi sibishi,.. nimeuliza tu kwamba,. ukiwa unavutwa utahisi au la?


Na kama hakuna Binadamu yoyote aliyewahi kuhisi kuvutwa,.. ni kipimo gani kilitumika kujua kama tunavutwa even though hatuhisi kuvutwa?


Sio kwamba nabisha hoja yako,.. bali nauliza ili mambo yawe clear zaidi ikiwezekana.
Mkuu tafuta tawi la mti lililo juu uruke uning'inie kwa kutumia mikono yako, sensor zako za mwili zinasema unavutwa au hauvutwi?

1739531717066.png

Rudia tena, safari hii uwe umesimama juu ya tawi, je unavutwa au hauvutwi?
1739531790037.png

Overall, nafikiri majibu yote yapo kwenye post zangu zilizopita
 
Mkuu tafuta tawi la mti lililo juu uruke uning'inie kwa kutumia mikono yako, sensor zako za mwili zinasema unavutwa au hauvutwi?

View attachment 3236281
Rudia tena, safari hii uwe umesimama juu ya tawi, je unavutwa au hauvutwi?
View attachment 3236283
Overall, nafikiri majibu yote yapo kwenye post zangu zilizopita
Kuna tofauti ya unachohisi ukiwa una vutwa na ukiwa unaning'inia,..

Unachohisi ukiwa umeshikia kwenye tawi la mti ni matokeo ya kuning'iniza viungo vya mwili wako.

Kwa ufupi kwenye picha zote mbili hapo,. hakuna scenario itakayofanya uhisi unavutwa., labda kama kuvutwa kuna maana nyingine mpya ukiachana na inayofahamika.
 
Kuna tofauti ya unachohisi ukiwa una vutwa na ukiwa unaning'inia,..

Unachohisi ukiwa umeshikia kwenye tawi la mti ni matokeo ya kuning'iniza viungo vya mwili wako.

Kwa ufupi kwenye picha zote mbili hapo,. hakuna scenario itakayofanya uhisi unavutwa., labda kama kuvutwa kuna maana nyingine mpya ukiachana na inayofahamika.
Utofauti upo wapi?
Hiyo misuli yako inakwambia nini?
Hilo tawi likiwa jembamba sana unafikiri ni nini nitatokea na kwa nini?
Kwa kutumia mahesabu, unafikiri mtu hawezi kujua tawi au structure iliyopo inaweza kusupport uzito gani?
Unafikiri kwenye madaraja wanapokwambia usipitishe uzito juu wa kiwango fulani, unafikiri wanatumia fomula zipi?

a. Unafikiri kitu ambacho kimetulia sehemu tambalale kinaweza kuanza kutembea bila force yoyote kuwa applied?
b. Kati ya kitu chepesi na kizito unafikiri kipi utatumia nguvu kubwa kusukuma?
c. Ukitumia nguvu uliyotumia kusukuma kitu kizito kwenye chepesi ni kipi kitaenda kwa kasi? (Kizito au chepesi)
Unafikiri a, b, c inakwambia nini hapo? ukichukua a, b, c unaweza kusummarize kwa formula ipi?
Kama hiyo formula inafanya kazi kwa cases zote za uelekeo wapembeni, kwa nini isifanye kazi kwenda juu au chini?
Na kama inafanya kazi kwenda juu au chini, kwa nini ukikiachilia kitu juu kinaanza motion bila force yoyote kuwa applied?

Kabla ya kudiscredit kazi za watu ambazo zimetumika miaka kwenye kuendeleza hii dunia, ni vyema ukachukua muda kuzielewa na sio kubishana na uhalisia bila sababu za msingi.
Ni vyema ukaja na kitu ambacho tunaweza kukitumia kutengeneza vitu ambavyo vinarahisisha maisha yetu na sio kubishana na vitu ambavyo tayari vinatumika kurahisisha maisha yako.
 
Back
Top Bottom