Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Nilifanya experiment hii mwaka 2016, nikapata majibu yake Yale. Lakn pia tumekuwa tukifanya experiment tangu o level, majibu ni Yale Yale, vitu vyote vina accelerate the same 9.81.
Ukiangusha karatasi na Jiwe,.. rate ya kuanguka itakua sawa?
 
Kwahy unapingana na flat earthers Hawa? Kwahy umeona ni kiasi Gani Dunia haiwezi kuwa flat, na umejua kwann nakataa hii Nadharia sasa?? Mimi sio mjinga, mpaka Sasa umeshaona mapungufu makubwa kwenye Nadharia ya flat earth,

1. Ni mzunguko wa jua
2. Ni acceration ya Dunia(kwamba Dunia Ina accelerate upwards at 9.81🤣🤣).

Naww umeona ni upumbavu ndio maana hukubaliani nayo.

Tukija kwako, Sina haja tena ya kuendelea kubishana naww kuhusu umbo la Dunia Kwa sababu

1. Huna Nadharia iliyokamilika kuhusu umbo la Dunia yako.
a) hujui mzunguko wa jua kwenye Dunia yako flat
b) hujui baadhi ya observations zinavyotokea( solar and lunar eclipses, moon phases pamoja na kwann tunaweza kuona Jua na mwezi Kwa pamoja) huna majibu na hujui. N.k N.k

2. Umekubaliana namimi kuwa Nadharia ya flat earth inamapungufu sio tu mengi Bali makubwa.

3. Umekiri mwenyewe kuwa Dunia Ina curvature👇👇


4. Umeshindwa kuelezea mambo mengi ambayo nimekuhoji, mfano:
a) great circle route
b) perspective according to you kama unavyosema ndo sabab ya kuona sunset na sunrise.
Hii inadhihirisha ni Kwa kiasi Gani huna point za muhimu kuendelea ku argue.
Wewe aliyekuambia mimi nipo hapa ku argue nani?,.. wewe huna uthibitisho wa madai yako ndiyo maana unaona tupo kwenye argument hapa.

NOTE: Sipo hapa kufanya argument,.. nipo hapa kuomba uthibitisho usio acha maswali yoyote, kwamba 100% Dunia ni tufe na inazunguka,. kama huna uthibitisho endelea ku argue.
 
Kwahy unapingana na flat earthers Hawa? Kwahy umeona ni kiasi Gani Dunia haiwezi kuwa flat, na umejua kwann nakataa hii Nadharia sasa?? Mimi sio mjinga, mpaka Sasa umeshaona mapungufu makubwa kwenye Nadharia ya flat earth,

1. Ni mzunguko wa jua
2. Ni acceration ya Dunia(kwamba Dunia Ina accelerate upwards at 9.81🤣🤣).

Naww umeona ni upumbavu ndio maana hukubaliani nayo.

Tukija kwako, Sina haja tena ya kuendelea kubishana naww kuhusu umbo la Dunia Kwa sababu

1. Huna Nadharia iliyokamilika kuhusu umbo la Dunia yako.
a) hujui mzunguko wa jua kwenye Dunia yako flat
b) hujui baadhi ya observations zinavyotokea( solar and lunar eclipses, moon phases pamoja na kwann tunaweza kuona Jua na mwezi Kwa pamoja) huna majibu na hujui. N.k N.k

2. Umekubaliana namimi kuwa Nadharia ya flat earth inamapungufu sio tu mengi Bali makubwa.

3. Umekiri mwenyewe kuwa Dunia Ina curvature👇👇


4. Umeshindwa kuelezea mambo mengi ambayo nimekuhoji, mfano:
a) great circle route
b) perspective according to you kama unavyosema ndo sabab ya kuona sunset na sunrise.
Hii inadhihirisha ni Kwa kiasi Gani huna point za muhimu kuendelea ku argue.

Kitu unachopenda kukimbilia ni nimekaririshwa, picha nazokupa unasema ni katuni kwahy Dunia, watu wote nzima ifanye kazi ya kutengeneza katuni Ili kukuaminisha ww kuwa Dunia ni duara??
Haya na hii sema ni katuni👇👇
View attachment 3209821

Ukitaka tuendelee humu, njoo na comeback kwenye hayo maeneo nilihainisha hapo juu.
Huwezi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..then unasema nije na comeback?

Eti nimekiri kwamba Dunia ina curvature,.. basi sawa tuseme nimekiri,. Then how can i prove kwamba curvature kweli ipo? wewe unaweza ku prove?
 
Wewe aliyekuambia mimi nipo hapa ku argue nani?,.. wewe huna uthibitisho wa madai yako ndiyo maana unaona tupo kwenye argument hapa.
Uthibitisho nimeshakupa wa kutosha🤣, na uzuri umekiri mwenyewe. Lakin ww umeshindwa kutetea hoja zako.
NOTE: Sipo hapa kufanya argument,.. nipo hapa kuomba uthibitisho usio acha maswali yoyote, kwamba 100% Dunia ni tufe na inazunguka,. kama huna uthibitisho endelea ku argue.
Haupo hapa kuomba uthibitisho, upo hapa kutetea Uzi(rejea mada ya Uzi) na umeshindwa vibaya kabisa.

Uzi: Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare
So wewe unamuunga mkono mleta Uzi. Lakin umeshindwa kutetea hoja zako.
 
Huwezi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..then unasema nije na comeback?
Sijashindwa siwezi kukushikia mtutu Ili ukubali. Ila hoja zako zinadhihirisha kiasi Gani umeelewa Sasa kuwa Dunia ni duara.
Eti nimekiri kwamba Dunia ina curvature,.. basi sawa tuseme nimekiri,. Then how can i prove kwamba curvature kweli ipo? wewe unaweza ku prove?
Hapa👇
main-qimg-9015193ad5e202bf3460742c8ae01209-lq.jpeg
 
Eti nimekiri kwamba Dunia ina curvature,.. basi sawa tuseme nimekiri,. Then how can i prove kwamba curvature kweli ipo? wewe unaweza ku prove?
Kama unaona Bado una hoja, jibu hoja zangu nilizo ainisha hapo juu. Simple tu.
 
hateeb10
Ngoja kwanza, je tunakubaliana kuwa flat earth model(ambayo ipo published) Ina mapungufu sio tu mengi Bali makubwa pia?

Na kwamba hukubaliani nayo Kwa namna Moja ama nyingine?
 
hateeb10
Ngoja kwanza, je tunakubaliana kuwa flat earth model(ambayo ipo published) Ina mapungufu sio tu mengi Bali makubwa pia?

Na kwamba hukubaliani nayo Kwa namna Moja ama nyingine
Hujajibu swali,.. nimeuliza Karatasi na Jiwe ukirusha vitaanguka at the same rate?

Jibu ndiyo au hapana.,,
Jibu: Ndio( condition hakuna air resistance)
Naww, coin ya 200 na jiwe la 1 kg ukiangusha Kwa pamoja je vitaanguka at the same rate, and same time????
 
Hujajibu swali,.. nimeuliza Karatasi na Jiwe ukirusha vitaanguka at the same rate?

Jibu ndiyo au hapana.,,
Jifunze acha ujinga!!! Nimekupa video ya experiment iliyofanyika, je hujaona?? Au nayo ni katuni???🤣🤣
 
Uthibitisho nimeshakupa wa kutosha🤣, na uzuri umekiri mwenyewe. Lakin ww umeshindwa kutetea hoja zako.

Haupo hapa kuomba uthibitisho, upo hapa kutetea Uzi(rejea mada ya Uzi) na umeshindwa vibaya kabisa
Umenipa uthibitisho gani?

Hata wewe deep down unajua kwamba huwezi kutumia hizo katuni kuthibitisha 100% kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..
 
hateeb10
Ngoja kwanza, je tunakubaliana kuwa flat earth model(ambayo ipo published) Ina mapungufu sio tu mengi Bali makubwa pia?

Na kwamba hukubaliani nayo Kwa namna Moja ama nyingine

Jibu: Ndio( condition hakuna air resistance)
Naww, coin ya 200 na jiwe la 1 kg ukiangusha Kwa pamoja je vitaanguka at the same rate, and same time????
Mimi ili kujua kwamba whether Dunia ni flat/tufe sihitaji model yoyote,.. i have senses to observe and decide,. unless proven otherwise.
Unasema condition iwe hakuna air resistance? kwanini object mojawapo iwe affected zaidi na air resistance kuliko object nyingine?
 
Jifunze acha ujinga!!! Nimekupa video ya experiment iliyofanyika, je hujaona?? Au nayo ni katuni???🤣🤣
Sasa experiment ambayo mimi mwenyewe naweza kuifanya unataka mpaka nifanye reference kwa mtu mwingine,.. sidhani kama kuna ulazima huo.
 
Naww, coin ya 200 na jiwe la 1 kg ukiangusha Kwa pamoja je vitaanguka at the same rate, and same time????
Kuanguka at the same rate and time itategemea density ya object hizo mbili (Coin ya 200 na Jiwe la Kg1) compared to air. na of course kama hakuna hewa zitaanguka kwa wakati mmoja since hakuna chochote kinachoweza ku resist.

NOTE; Hii pia ina disprove gravity theory inayosema kwamba "The force of gravity acting on an object depends on its mass. Objects with larger mass are pulled with greater force by gravity compared to objects with smaller mass."


Hahh sasa kama hiyo ni kweli,.. Jiulize Je, in real life experience kitu unachovuta kwa nguvu kubwa na kitu unachovuta kwa nguvu ndogo kipi kitafika pale unapovutia (let's say chini) kwa haraka zaidi?? Je vitu vitu vyote viwili vita accelerate at the same rate wakati nguvu uliyotumia kuvuta ni tofauti??


Tufikirie tu pole pole,.. nipo nasubiri majibu hapa.
 
Mimi ili kujua kwamba whether Dunia ni flat/tufe sihitaji model yoyote,.. i have senses to observe and decide,. unless proven otherwise.
Unasema condition iwe hakuna air resistance? kwanini object mojawapo iwe affected zaidi na air resistance kuliko object nyingine?
Your senses have limits!! Sasa endelea kukaa na sense zako hivo hivo!! Mbn huamini kama ruler inapinda ukizamisha kwenye maji, mbona unaamini illusion kwenye kuzama Kwa Jua?? Acha uongo na ujinga
 
Umenipa uthibitisho gani?

Hata wewe deep down unajua kwamba huwezi kutumia hizo katuni kuthibitisha 100% kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,..
🤣🤣🤣🤣 Umeishiwa sasa?? Umeshamaliza Kila kitu, umesema Dunia Ina curvature. Hukubaliani models za flat earth, huna unachojua chochote kuhusu umbo la Dunia so huna chochote Cha kuendelea kusema humu, labda utetee hoja nilizoanisha
 
na of course kama hakuna hewa zitaanguka kwa wakati mmoja since hakuna chochote kinachoweza ku resist.
Asanteee!!! Umemaliza yoteee!!
Sasa akili zumeanza kukukaa sawa.

Kwahy unajua wazi fika Kasi(accelaration) ya vitu kuanguka haitegemei uzito wa kitu Kwa maana ipo constant,(Rate). Hii inamaana kwamba vitu vyote vina accelerate kwenda chini kwa the same rate,(at free fall), sasa ulishawahi au unaweza kujiuliza ni kwanini??

It means Kuna factor nyingine ipo inavyosababisha. Good!! A good start🌎
 
Back
Top Bottom