Nmesema inasemekana ,usini quote vibayaKwamba Kuna mabara mengine tena out ya haya saba?
Kama hakuna aliewahi kwenda huko how come unakubali naww eti Kuna mabara mengine out ya haya tuliyonayo? How do they find out?
Ndio imekaa hewani? Kuna shida?Kwani wewe unahisi Dunia duara imekaa hewani tu?
Samahn lakin simu yangu hai support kufungua au ku download picha jfAngalia hii picha vzr
View attachment 2964382
Angalia hapo centre nilipoonyesha imagine nchi za hapo zitaona Jua kama nchi zilizo karibu na hiyo orbit ya Jua?(Zingatia mishale).
Na zaidi si wataona Jua Lina curve? wakat hicho kitu hakijawah kutokea.
Seriously? Nini kinaifanya iwe hvoNdio imekaa hewani? Kuna shida?
Sasa ndo maana nakwambia hii theory yako ya Dunia flat Ina weaknesses nyingi sana na ndio maana vyote ni vinasemekana kwao, no proof of anything.Nmesema inasemekana ,usini quote vibaya
Nakubali Kuna weakness,hata upande wako wa Dunia duara au tufe , after Antarctica mnasema the same Kuna barafu na hamna binadamu anaeweza ishi huko na hamna evidence ya picha au videoSasa ndo maana nakwambia hii theory yako ya Dunia flat Ina weaknesses nyingi sana na ndio maana vyote ni vinasemekana kwao, no proof of anything.
Sasa hapa sidhani kama tutaelewana. Okay sio kesi, ngoja nikuulize maswali haya.Samahn lakin simu yangu hai support kufungua au ku download picha jf
Kwahy hiyo ndo weakness pekee iliyokufanya uache kuamini Dunia ni duara??Nakubali Kuna weakness,hata upande wako wa Dunia duara au tufe , after Antarctica mnasema the same Kuna barafu na hamna binadamu anaeweza ishi huko na hamna evidence ya picha au video
Na kama Dunia ni duara au tufe hilo bara Antarctica Kwa upande wa pili ilitakiwa ipakane na Europe ,je zimepakana?
Umeambiwa tu , hvo hvo mm pia nmeambiwa Kuna continent nyingine ila tumetenganishwa na ICE WALLKwahy hiyo ndo weakness pekee iliyokufanya uache kuamini Dunia ni duara??
Okay we unaweza survive kwenye baridi Kali? Umeambiwa Kuna barafu na baridi Kali sana na ndio maana hakuna mtu anaishi. Ni reserve kwaajili ya researches tu
Na Kuna picha nyingi tu kutoka Antarctica sema ndo unasema huwezi kufungua picha, ila tafta mtandaoni utaona.Nakubali Kuna weakness,hata upande wako wa Dunia duara au tufe , after Antarctica mnasema the same Kuna barafu na hamna binadamu anaeweza ishi huko na hamna evidence ya picha au video
Na kama Dunia ni duara au tufe hilo bara Antarctica Kwa upande wa pili ilitakiwa ipakane na Europe ,je zimepakana?
Lunar phase ntaelezea nikiwa na muda ,maana natoka online Kwa matatizo binafsi labda kama tutawasiliana offline ,ilaSasa hapa sidhani kama tutaelewana. Okay sio kesi, ngoja nikuulize maswali haya.
1. Elezea lunar phases zinavyotokea kwenye Dunia flat
2. Dunia flat imeshikiliwa na nn?
3. Unaamini Kuna gravity?
4. Elezea solar eclipse
5. Sunrise na sunset
6. Seasons of the year
Mimi ninaushahidi wa picha kuwa Kuna barafu na aina ya wanyama wanaopatikana huko ww unaushahidi Gani?Umeambiwa tu , hvo hvo mm pia nmeambiwa Kuna continent nyingine ila tumetenganishwa na ICE WALL
Kisa Kuna barafu ndio unaamini ni Antarctica? Alafu haujajibu Antarctica imepakana na nini kwenye Dunia duaraNa Kuna picha nyingi tu kutoka Antarctica sema ndo unasema huwezi kufungua picha, ila tafta mtandaoni utaona.
Ukirudi jibu tu usiwe na wasi wasi.Lunar phase ntaelezea nikiwa na muda ,maana natoka online Kwa matatizo binafsi labda kama tutawasiliana offline ,ila
Hakuna gravity
Hivi binadamu anaefanya research akaishi Mars ,anashindwa kweli kuishi Antarctica? Hapo tumia akili tu ya kawaidaMimi ninaushahidi wa picha kuwa Kuna barafu na aina ya wanyama wanaopatikana huko ww unaushahidi Gani?
Na Kuna sababu za kwann huko Kuna barafu na baridi Kali kutokana na umbo la Dunia kuwa Tufe.
Uzito unafanya vitu vije chini , kwani ukichukua puto ukaliwekea upepo litafika chini?Ukirudi jibu tu usiwe na wasi wasi.
Kama hakuna gravity Then unambie ni nn kimeshikilia Dunia Jua na mwezi. Na ni nn kinafanya vitu vidrop[emoji854]
Fuatilia channel za exploration kama NatGeo wanaonesha vzr tu.Kisa Kuna barafu ndio unaamini ni Antarctica? Alafu haujajibu Antarctica imepakana na nini kwenye Dunia duara
Kwahy mars Kuna hali kama ya Antarctica sio?Hivi binadamu anaefanya research akaishi Mars ,anashindwa kweli kuishi Antarctica? Hapo tumia akili tu ya kawaida
Yaani aweze kuishi nje na Dunia ila ashindwe kuish duniani?
Mars na Antarctica ipi Iko mbali zaid na jua ?
Asante ,wewe ndio uniambie jua limeshikiliwa na nini maana umesema Iko stationary, ila Kwa upande wangu jua lipo kwenye orbit kama ilivo Dunia na mwezUkirudi jibu tu usiwe na wasi wasi.
Kama hakuna gravity Then unambie ni nn kimeshikilia Dunia Jua na mwezi. Na ni nn kinafanya vitu vidrop[emoji854]
Kwahy puto halina uzito?Uzito unafanya vitu vije chini , kwani ukichukua puto ukaliwekea upepo litafika chini?View attachment 2964402