rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Duh we jamaa, kwani orbit ni nini Hadi useme imeshikiria Dunia. Yani imeshikilia Dunia kivip?Orbit ndio imeshikilia hii Dunia ,Wala haifanyi Dunia kuzunguka
Nimetambua wapi?Kumbe sasa umeshatambua kuwa Dunia ni tufe,
Kilichobaki kuelewa ni uthibitisho wa kuzunguka ?
Kwani nani mwenye exclusive right ya kubaini umbo la Dunia?Tuachane na Motive ya kudanya dunia ni duara kwasababu HAMJUI
Turejee sasa ni nani waliobaini dunia ni duara? na ni wakati gani walibaini? Na kwanini walibaini?
Kabla hatujaja kwa NASA
Unapokesea ni kungoja wengine wabaini kisha ndiyo msingi wa hoja yako isimamie hapo.Tuachane na Motive ya kudanya dunia ni duara kwasababu HAMJUI
Turejee sasa ni nani waliobaini dunia ni duara? na ni wakati gani walibaini? Na kwanini walibaini?
Kabla hatujaja kwa NASA
Mkuu naamini ukiumwa unakwenda Hospitali..... kwanini?Unapokesea ni kungoja wengine wabaini kisha ndiyo msingi wa hoja yako isimamie hapo.
Hata wewe una akili ya kutosha kubaini umbo la Dunia na whether ina move/not........usikariri kwamba kuna watu specifically wana mandate ya kutambua hivyo vitu.
Hapa [emoji116]Nimetambua wapi?
Baada ya hiyo barafu kuna nini kinafuata..?mwisho wa dunia kuna barafu.
Nje ya Dunia? ......Nje ya Dunia ni wapi?Mkuu naamini ukiumwa unakwenda Hospitali..... kwanini?
Kwenye karne hii YES kuna watu wana MANDATE ya jambo flani kutokana na ujuzi wao na vifaa vya kitaalamu ambavyo vinazidi pale ukomo wa binadamu unapoishia
Ili kujua haya yote inakubidi uende nje ya dunia..... sasa kama wewe HUTAKI kuwatambua wenye uwezo wa kwenda huko unataka kujua haya kwa kutumia akili huku ukiwa umekaa kwenu masaki au ikwiriri hayo yatakua ni matatizo yako binafsi mkuu
Hiyo picha ni ya kitu gani?Hapa [emoji116]View attachment 2965313
Hii ni Dunia ambayo mimi na wewe tunaishi,Hiyo picha ni ya kitu gani?
Weβre not leaving at Ancient World Mkuu........ Tunaishi kwenye dunia ya SAYANSI na TEKNOLOJIANje ya Dunia? ......Nje ya Dunia ni wapi?
Nani huyo aliyewahi kwenda nje ya Dunia?
Kwahiyo wewe umeamua usitumie akili yako kujua kuhusu masuala haya..?
Sisi wengine tumeamua kutumia akili zetu and that's why tunataka uthibitisho toka Kwa hao mliowapa mamlaka ya kufikiria kwa niaba.
NB:- Hata kwenda Hospitali sio njia pekee ya kuponya maradhi yako,..firstly mwili wenyewe una uwezo wa kujitibu na kupambana na maradhi lakini pia kuna njia na dawa mbalimbali za kujitibu hata usipoenda hospitali......SO EVERYTHING IS BOUND TO BE QUESTIONNABLE!
Mimi nashikilia hapa,Nje ya Dunia? ......Nje ya Dunia ni wapi?
Nani huyo aliyewahi kwenda nje ya Dunia?
Kwahiyo wewe umeamua usitumie akili yako kujua kuhusu masuala haya..?
Sisi wengine tumeamua kutumia akili zetu and that's why tunataka uthibitisho toka Kwa hao mliowapa mamlaka ya kufikiria kwa niaba.
NB:- Hata kwenda Hospitali sio njia pekee ya kuponya maradhi yako,..firstly mwili wenyewe una uwezo wa kujitibu na kupambana na maradhi lakini pia kuna njia na dawa mbalimbali za kujitibu hata usipoenda hospitali......SO EVERYTHING IS BOUND TO BE QUESTIONNABLE!
Uliufuta lini? Si ilikushinda ww??Uongo wa gravity tulishaufuta humu,...cha ajabu unaurudisha tena.
Nguvu Gani hizo?Katika Dunia tambarare, jua linazunguka kama coil ya dawa ya mbu. linapokua katikati pembeni ni baridi kali likiwa pembeni katikati baridi kali.. likiwa katikati ndio kina sisi wa ikweta tunakoma na jua la utosi. na ndio maana hizo inchi za katikati ya dunia kuna nyakati huliona jua muda wote mchana anausiku na kuna nyakati inkua kinyume chake.
mwisho wa dunia kuna barafu.
imeshikiliwa na nguvu kama zinazoishikilia dunia mviringo.
Kama tu ukiwa hujui term Reference frame sawa. Na siwezi kubishana naww kama hujui maana ya hicho kitu, nimeshakupa mifano mingi tu mfano upo kwenye basi wewe seat ya nyuma je dereva atakuwa anamove from where you're? Ukielewa hapa utanielewa ila shida yako unashindana.Unajichanganya Sana .. Hoja ya msingi ni kwamba Jua lina move.,...hizo nyingine ni hadithi tu ambazo huna uhakika nazo umeambiwa ukaamini.
Logically ukishasema Jua lina move hutakiwi tena kusema Jua lipo stationary!
Nadhani umeelewa sasa.
Upo sawa kabisa kulingana na fikra na mawazo yako.hapa naomba nijaribu kulijibu swali lako kutokana na fikra na mawazo yangu.
Faida kubwa ya Muongo ni kutaka kuaminika...!! Sijui kama nimekujibu vizuri lakini.?
Point yako hapa ni nn kusema mvua inavyoshesha both side za Dunia at the same time?Uthibitisho wa kwamba Dunia inazunguka au?......hapana sijapewa bado.
Sio kwamba nakataa ilimradi,...Bali kuna sababu za msingi zinazofanya nikatae.
Kwa mfano ushawahi Kujiuliza namna mvua inavyonyesha kwenye both sides of dunia tufe ππΌπ & the same time!
Tukio hilo zito ilipaswa liwe captured hasa kwakuwa kwasasa teknolojia inaruhusu.
Sasa mbona wewe unataka kuaminisha watu kwamba unachohisi Ndiyo kweli?Upo sawa kabisa kulingana na fikra na mawazo yako.
Sasa usitake kuaminisha watu kuwa unachohisi ndo ukweli.
Nitarudi kuhusu hii na nyinginezo...Point yako hapa ni nn kusema mvua inavyoshesha both side za Dunia at the same time?