Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Kama unasema Kuna milima na mabonde hiyo ni tambarare Gani unayoongelea? Na Hilo Duara tambarare umelithibitisha vipi? Uliona wapi? Picha yake hata CGI tu, ukifika mwisho wake? Au kama umeambiwa au kusoma unauthibiitisho Gani?

2. We umejuaje Jua ndio linamove na sio Dunia ndio inamove? Kama unaona Jua linamove naomba record video leta hapa tuone Jua linamove.

Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.

Chosen Rich Mayu

Your browser is not able to display this video.
 
Sasa mbona wewe unataka kuaminisha watu kwamba unachohisi Ndiyo kweli?

Yani unaamua tu kuaminisha watu kwamba Dunia ni Tufe na inazunguka,...bila uthibitisho wowote na unataka uaminike.
Sio Mimi pekee naesema hivi, sio fikra zangu binafsi ni utafiti umefanyika umethibitisha hivo. Huoni tofaut hapo?
 
hateeb10 nkumbison

Kama Dunia ingekuwa flat hivi vitu visingewezekana, kama vinawezekana mtanambia ni Kwa namna Gani.

1. Different Night skies:
Constellations zinazokuwa observed at northern pole during Night ni tofauti na zinazokuwa observed at northern pole. Kama Dunia ingekuwa flat basi wote tungekuwa tunaobserve same night sky.

2. Lunar eclipse:
Hii nimeshauliza sana humu majibu yenu ni hekaya tu,

3. Flight paths:
Kama Dunia ingekuwa flat ndege zisingehitaji ku-adjust altitude as they're moving, hii inathibitisha curvature ya dunia.
Hapa najua hateeb10 hatoelewa maana haujui maana ya altitude yeye anajua altitude ni level😀.

4. Curiolis effect:
Hii hutokea pale vitu vinavyomove angani vina experience deflection due to Earth's rotation, Sasa naomba mnambie nyie kama Dunia hairorate ni nn kinasababisha.

5. Day and night length variations:
Length ya day and night inachange throughout the year.

6. Seasons of the year,

Na lastly nyie mnaoamini Dunia ni flat mnatofautiana sana hoja zenu, mfano tu mwingne ananambia Jua linazunguka kama coil,
 
Unapokesea ni kungoja wengine wabaini kisha ndiyo msingi wa hoja yako isimamie hapo.

Hata wewe una akili ya kutosha kubaini umbo la Dunia na whether ina move/not........usikariri kwamba kuna watu specifically wana mandate ya kutambua hivyo vitu.
Sawa tunapaswa kutumia akili zetu lakn Kuna vitu lazima kuheshimu.

1. Uchunguzi wa kibinafsi:
Ni kweli tunaweza kutumia akili zetu kuona baadhi ya mambo kuhusu umbo la Dunia. Kwa mfano, tunaweza kuona meli zinazopotea kwenye upeo wa macho, jambo ambalo halingewezekana kama Dunia ingekuwa tambarare. Tunaweza pia kuona mabadiliko ya mwezi wakati wa mwezi kamili, jambo ambalo linatokana na mwezi kuzunguka Dunia.

Hata hivyo, uchunguzi wa kibinafsi una mapungufu. Hatuwezi kuona Dunia yote kwa wakati mmoja, na hatuwezi kusafiri angani kuiangalia moja kwa moja. Kwa hivyo, tunategemea ushahidi kutoka kwa vyanzo vingine ili kuthibitisha umbo la Dunia.

2. Umuhimu wa wataalamu:
Ni kweli kwamba kuna watu wenye mamlaka ya kutambua mambo fulani, kama vile umbo la Dunia. Wataalamu hawa ni wanasayansi ambao wamesoma kwa kina kuhusu mada hii na wamekusanya ushahidi mwingi unaothibitisha kwamba Dunia ni duara. Ushahidi huu unajumuisha picha kutoka angani na vipimo vya kijiometri.

Ingawa ni muhimu kuwa na akili ya kukosoa na kufikiria kwa kujitegemea, pia ni muhimu kuheshimu utaalamu wa wale ambao wamejitolea kusoma na kuelewa mada fulani kwa kina. Wanadamu wamepata maendeleo makubwa kwa kushirikiana na kubadilishana maarifa, na kupuuza maarifa ya wataalamu kunaweza kutupotosha.
 
Kwani nani mwenye exclusive right ya kubaini umbo la Dunia?

Ulimwengu wa kisayansi unategemea mbinu madhubuti ya uchunguzi na uchambuzi wa data. Wanadamu wamekuwa wakitazama na kujifunza kuhusu Dunia kwa karne nyingi, na kwa kutumia mbinu hizi, tumeweza kukusanya ushahidi mwingi unaothibitisha bila shaka kuwa Dunia ni duara.

Ushahidi kama vile;

1. Picha za Dunia kutoka anga:
Satelaiti na wanaanga wanaochukua picha za Dunia kutoka anga za juu huonyesha waziwazi kuwa ni duara.

2. Mwezi unaopofunika Jua( solar eclipses🌑):
Wakati wa mwezi kamili Mwezi unapoingia mbele ya Jua, hutupa kivuli cha duara kwenye uso wa Jua. Hii ni ushahidi mwingine kwamba Dunia ni duara.

3. Kupima mzingo wa Dunia: Wanasayansi wameweza kupima mzingo wa Dunia kwa usahihi wa juu kwa kutumia mbinu mbalimbali, kama vile jiometria na uchunguzi wa nyota.


Kwa kumalizia, hakuna mtu anaye "exclusive right" ya kubaini umbo la Dunia. Umbo la Dunia ni suala la ukweli wa kisayansi linalotegemea ushahidi mwingi unaokusanywa kwa kutumia mbinu madhubuti za uchunguzi na uchambuzi wa data.
 

Nimekuuliza nje ya Dunia ni wapi? .....Nani aliwahi kwenda nje ya Dunia?

......NAONA HUJAJIBU


Tafadhali,.. Nini maana ya Hospitali?
 
Mimi nashikilia hapa,

Una matatizo yako binafsi

Na hayo matatizo yako binafsi hayawezi kubadilisha ukweli, Unaishi kwenye Dunia tufe inayojizungusha yenyewe huku inazunguka Jua.
Sasa.., hapo Mimi na wewe nani mwenye matatizo binafsi?

Unasema unaishi kwenye dunia Tufe inayojizungusha....ukiambiwa ulete uthibitisho huna, sasa huoni kama una matatizo?
 
Point yako hapa ni nn kusema mvua inavyoshesha both side za Dunia at the same time?
Nimeuliza hivyo Kwa mantiki kwamba,...ikiwa Dunia ni Tufe la namna hii ➡️ 🌍., Je, scenario ya mvua kunyesha in both sides of Tufe & at the same time,..lishawahi kuwa recorded?

Na kama jibu ni hapana..... huoni kwamba tukio kama hilo likiwa recorded itapelekea kuondoa doubts zote kuhusu umbo la Dunia?
 
Sio Mimi pekee naesema hivi, sio fikra zangu binafsi ni utafiti umefanyika umethibitisha hivo. Huoni tofaut hapo?
Hata Mimi sio fikra zangu ni utafiti yakinifu kabisa.

Unasema utafiti umethibitisha.....mbona ukiambiwa ulete huo uthibitisho huwezi?
 
Kitu ambacho hakipo kinanishinda vipi sasa?

"Gravity sio force,"...na hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya Einstein....maana nikisema mimi utaanza ubishi.
Ila ila gravity ipo sio? Yeye alisema gravity sio pull ila akaielezea gravity we unasema haipo halafu unamtumia Einstein kama ushahidi wakat hajawah kusema gravity haipo. Kuwa serious kidg.
 
Kuwa recorded kivipi? Video? Au records Gani unataka?
 
Hii ni artificial intelligence(AI) bila shaka,..si ndiyo?

Kitu kizuri ni kwamba AI imeamua kuanza na "UCHUNGUZI WA KIBINAFSI" .....kitu ambacho kiuhalisia kila binadamu anatakiwa awe na uchunguzi binafsi kabla ya kufuata Indoctrinations.
 
Sahihi kabisa..., AI inasema kwamba hakuna mwenye exclusive right ya kubaini umbo la Dunia.

Hiyo inatosha.
 
Hii ni artificial intelligence(AI) bila shaka,..si ndiyo?

Kitu kizuri ni kwamba AI imeamua kuanza na "UCHUNGUZI WA KIBINAFSI" .....kitu ambacho kiuhalisia kila binadamu anatakiwa awe na uchunguzi binafsi kabla ya kufuata Indoctrinations.
Haya yalikuwa maelezo nimetoka sehem nikatranslate tu,

Sawa uchunguzi binafsi unaruhusiwa lakini je unaelimu ya kutosha kuhusu Anga? Je unavifaa vya kitaalamu kukuwezesha kufanya hivyo?
So mpaka hapo unaona uchunguzi binafsi unakuwa limited at some point.
 
Kwahiyo unakiri kwamba uelewa wako juu ya umbo la Dunia,...ni kutokana na ideas za wengine na sio uchunguzi binafsi Kwa kuhusisha akili yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…