Abadani?Ndo unachoweza kusema ila kusema kwann ni chai huwezi abadani.
Maswali gan nimeingia mitini? Kati ya mm naww nan hajajibu maswali ya mwenzie? Au nirudie kukuuliza?Abadani?
Sasa mbona maswali na hoja nzito za msingi unazikimbia na kuingia mitini.
Nijibu hujawahi kukiri kuwa;Sikuiona hii....
Umeamua kujipa majibu.
Hahaha hiii akili ya namna gani,Twende Beach tukodi drone,...then tuchukue video Kwa kutumia drone ifike mpaka point unayosema kuna curvature.
Je, tutaona hiyo curvature unayosema?
Upo tayari Kwa tafiti hiyo? Au unaogopa?
Swali zuri, na ni vyema atujibu asiskip kama anavyoskip maswali mengineKama sio kweli basi nambie curvature kwenye mpira Iko sehem gan
Unasema me naingia mitini, wewe nakuuliza maswali hujibu,Nimekuuliza nimekudanganya wapi? Hujanambia, flight path always ni curve, na ndio sabab ya ndege ku adjust altitude. Ingekuwa flat kusingekuwa na sabab ya adjustment
HapaSijakosea kwani haiwezekani watu wawili kuwa kwenye gari Moja(dereva na abiria?)
Unasema mm nakimbia maswali nambie umejibu swali gan kati ya haya? Alafu nambie mm sijajibu lako lipi?hateeb10 nkumbison
Wakati upo hapa unakazana kubishana Dunia ni flat, Kuna mainjinia huko wanadesign barabara water supply, etc. wanatumia latitude na longitude kwenye design. Sasa kwenye Dunia flat hakuna latitude Wala longitude.
Na maswali yangu hayajawahi kujibiwa na mengine yalijibiwa kihuni huni tu. Mfano haya maswali👇👇,
1. Different Night skies:
Constellations zinazokuwa observed at northern pole during Night ni tofauti na zinazokuwa observed at northern pole. Kama Dunia ingekuwa flat basi wote tungekuwa tunaobserve same night sky.
2. Lunar eclipse:
Hii nimeshauliza sana humu majibu yenu ni hekaya tu,
3. Flight paths:
Kama Dunia ingekuwa flat ndege zisingehitaji ku-adjust altitude as they're moving, hii inathibitisha curvature ya dunia.
Hapa najua hateeb10 hatoelewa maana haujui maana ya altitude yeye anajua altitude ni level😀.
4. Curiolis effect:
Hii hutokea pale vitu vinavyomove angani vina experience deflection due to Earth's rotation, Sasa naomba mnambie nyie kama Dunia hairorate ni nn kinasababisha.
5. Day and night length variations:
Length ya day and night inachange throughout the year.
6. Seasons of the year,
Na lastly nyie mnaoamini Dunia ni flat mnatofautiana sana hoja zenu, mfano tu mwingne ananambia Jua linazunguka kama coil nkumbison ,😀
Hamna hoja zenu zinazojitegemea
Haya mzigo huo hapo ndugu!Nliuliza hivi,
Anieleze kupatwa kwa jua ikiambatana na mchoro wa picha au animation ikielezea hatua kwa hatua hadi jua linapatwa ( kwa nadharia ya Flat Earth )
Daaaah😀😀, mwingne huyu hapa yaani Hawa watu hata wao tu wanatofautiana.Haya mzigo huo hapo ndugu!
Mnatupa tabu sana nyinyi, Tunatamani mtoke huko gizaniHujajibu swali.......👇🏼
Unaweza ukaniambia exactly street/Country ambapo Mkunjo wa Dunia unaanzia?
Àkili za Watu wa Dunia Tufe linalozunguka........Mnatupa tabu sana nyinyi, Tunatamani mtoke huko gizani
Kwenye uhalisia Juu mawinguni kupo,....ila kwenye nadharia na katuni ndiyo hakuna.Kwahiyo hakuna mambo ya juu mawinguni , mbinguni ?
Mwenzako Kikojr, Ametuma picha ya Dunia ikielezea kupatwa kwa Jua, una kubaliana na ile picha na je umeielewa ?Kwenye uhalisia Juu mawinguni kupo,....ila kwenye nadharia na katuni ndiyo hakuna.
Hapana siamini kwenye picha hiyo.... Ni maoni yake yaheshimiwe..Mwenzako Kikojr, Ametuma picha ya Dunia ikielezea kupatwa kwa Jua, una kubaliana na ile picha na je umeielewa ?
Sisi hatuhitaji maoni humu, Tunahitaji uthibitisho wa tunayoyajadiliHapana siamini kwenye picha hiyo.... Ni maoni yake yaheshimiwe..
Hahahahaha..umeniacha njia pandaKwenye uhalisia Juu mawinguni kupo,....ila kwenye nadharia na katuni ndiyo hakuna.
Sisi hatuhitaji maoni humu, Tunahitaji uthibitisho wa tunayoyajadili
Vipi umeshakuja na uthibitisho wa Dunia tambarare ?