Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710

Mkuu usiseme tumeaminishwa.Ukianza kuwa na majibu ya hivyo na mimi ntasema umeaminishwa hivyo unavyosema.I am giving you facts.

Nnaanza kupata wasiwasi zaidi dhidi ya utafiti wako baada ya kuniambia kuwa hamna proof ya kuizunguka dunia from east to west.Je, unajua kuna flights from US zinahead west (mostly via polar norths for economical reasons)to reach Asia na wakati huo huo zipo flights zinahead east to reach Asia?This proves my point.
 
 
[emoji23] [emoji24] [emoji23] watu tunasonga mbele wewe unataka kuturudisha nyuma
 
Archaic conceptions without mathematical proof....ipo theoretical zaidi bro, mathematics is the language which doesn't lie so ukija na mathematical equations to proof your theory ntakuunga mkono....by the way it is conspiracy theory..
 
asee watu mpo vizuri

nataman huu uzi uwe na endless coment
 
Mkuu hasa wakienda pande hizo si wanajiongea umbali kutokana na point waliyopo ni rhi wao kuelekea up ndio maana wanasayansi wa japan nao wakitaka kwenda angana wanaeleka upward hawaji kwenye point waliyoondokea wamarekani.
 

mkuu je kivuli cha duara kwenye kupata kwa mwezi kinasababishwa na nini? pili kwanini sayari zote angani ziwe za duara dunia pekee iwe tambarare tatua je kwa dunia tambarare kupata kwa mwezi kunatokeaje
 
Ingekuwa tambarare tusingepata usiku na mchana, kuhusu uduara wa dunia vipi picha live zinazopigwa ISS na zile za voyager 1 na 2 na bado satellite kibao zinaonyesha uduara wa dunia
Ndio,duara flat!
 
Mkuu hasa wakienda pande hizo si wanajiongea umbali kutokana na point waliyopo ni rhi wao kuelekea up ndio maana wanasayansi wa japan nao wakitaka kwenda angana wanaeleka upward hawaji kwenye point waliyoondokea wamarekani.
Muelekeo wa upward unaujuaje kuwa huku ni juu ilhali muda huo kunaweza kukawa chini ya wengine. Kwa dunia mviringo kila mtu atakua na juu yake ila kwa dunia tambararevwote tutakua na juu moja.
Pitia picha za mfumo wa jua na sayari zake then utujuze waendso anga za mbali wanaelekea wapi? Kulifuata jua? Au kulikimbia jua?
 
mkuu je kivuli cha duara kwenye kupata kwa mwezi kinasababishwa na nini? pili kwanini sayari zote angani ziwe za duara dunia pekee iwe tambarare tatua je kwa dunia tambarare kupata kwa mwezi kunatokeaje
Maswali yako la kwanza na la tatu yatajibiwa na utakapoelewa kuwa hata dunia tambarare ni ya duara pia. Ila uduara huo unatofautiana kama mpira na sahani vyote vya duara ila kimoja mviringo kingine tambarare yaani ndio hyo flat iongelewayo.
 
Kaka nimereply kwa mara yakwanza kwako maana nadhani ww nimoja ya muelewa kama mimi, kifupi kila swali linaloulizwa humu lilishajibiwa kwenye mada ila uvivu wa kuchanganua ndio uliowajaa wauliza maswali
 
mkuu unasemaje kuhusu tofauti ya saa,kwenye maeneo tofauti ya dunia?
 
Flat earthers mnapotumia internet inayofanikishwa na satellite hizo hizo zinazowapa picha ya dunia iliyo duara mnanifurahisha sana.

Mngeikataa internet nayo kuwa si ya kweli ningewaona watu wa maana zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…