Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Mimi sikubaliani na curvature nimekwambia according to NASA na bado hizo prove zao hazifiti. Siamini kwenye curvature maana najua dunia ni flat hakuna curvture zozote mkuu.

Hivi unavyoongea haviwezi kufanya kazi kwenye globe mkuu mbona simple tu.
Umerudia hii, nijibu lastest question twende sawa😄
 
Alafu hakuna uthibitisho wowote wa kuprove Dunia ni flat zaidi ya kutumia weakness za Dunia kuwa Duara na uelewa mdogo kuhusu dhana hiyo.
Labda naomba majibu ya vitu vifuatavyo Kwa nadharia ya flat earth.

1. Jinsi usiku na mchana unavyotokea
2. Jinsi Kupatwa Kwa mwezi na Jua hutokea
3.jinsi Jua linavyoweza kuelea angani ( Kwa ambayo hawaamini force of gravity)
4. Jinsi satellite zinavyoweza ku-operate angani.
 
Hapo ndo nilikuwa nakusubiria[emoji1],
Kama hakuna gravity, Jua limeshikiliwa na kitu gani? Na linazunguka vipi? Na je, ni la Duara au? Na zinaweza vipi ku-alternate na mwezi? Swali la pili, unaamini Kuna satellites?

Nakujibu kama ifuatavyo.

1. Tuanze na JUA

Genesis 1: 14 KJV

14 And God said, Let there be lights in the firmament of the heaven to divide the day from the night; and let them be for signs, and for seasons, and for days, and years:
15 And let them be for lights in the firmament of the heaven to give light upon the earth: and it was so.
16 And God made two great lights; the greater light to rule the day (sun), and the lesser light to rule the night (moon), he made the stars also.
17 And God set them in the firmament of the heaven to give light upon the earth,
18 And to rule over the day and over the night, and to divide the light from the darkness: and God saw that it was good.

[emoji1314]Hapa tunaona SIR GOD aliumba Jua na mwezi kisha akaziweka ndani ya Firmament. Firmament ni kama molten glass ambayo imeifunika Dunia so hakuna anayeweza kutoka wala kuingia.

Sasa tuendelee mbele ni nini kimeshikilia jua?

PSALM 19:04 KJV
“In them hath he set a tabernacle for the sun, 5 Which is as a bridegroom coming out of his chamber, and rejoiceth as a strong man to run a race.”
[emoji1314]Hapo anaamaanisha kuwa Jua lina circuit yake ambayo linazunguka kama uwanja kisha linarudi tena linaanza upya. Sasa hapa tushaoana kuwa Mungu alitengeneza circuit/njia ya jua.

Hili hata Pilots wameprove kwa video. Na hivi ndo jinsi tunavyopata usiku na mchana, jua na mwezi viko kwenye circuit moja,[emoji116]


View: https://x.com/banx05347637/status/1643911903360499712?s=46

2. Ndio satellite’s zipo mkuu.
 
Na hiyo flat earth imeshikiliwa na nini?
 
Na according to hii video inaonesha Dunia ipo curved, sasa tukirudi kwenye swali lako la mto Nile utasema nn hapo? Na pia video yako inaonesha Dunia ni part ndogo kwenye kitu yaan inaonyesha still unaendelea, huko kwingne Kuna nn? Na chote kiujumla kimeshikiliwa na nn? Alafu pia umetumia biblia which ni maneno and beliefs, how hakuna proof yoyote Ile. Kwahy hapa tutakesha tu maana unatumia Imani.
 
Kwahiyo flat earthers hizo kingo za kuthobiti maji yasimwagike zipo wapi
FROM THE BIBLE
Mithali 8:27-29, Mithali 30:4, Ufunuo 7:1 (Zinaelezea dunia ina miisho yake EDGES)

Kwanza kabisa kabla sjakujibu soma Ufunuo 7:1 "Kisha baada ya hayo nikaona malaika wa 4 wamesimama katika pembe 4 za nchi wakizizuia pepo nne za nchi zisivume juu ya nchi, bahari wala mti wowote"

Sasa nikuulize kwenye GLOBE hizo PEMBE 4 zinatoka wapi?

Antarctica sio Bara! Hapo chini nimekuwekea ramani ambazo ziko proved both scientifically and practically, ndio raman ambayo kila Pilot wa ndege anatumia. Sasa Huo weupe unaouona unaozunguka 360° ni kitu kinaitwa ICE WALLS. Ziliumbwa na MUNGU mwenyewe kwaajili ya kukeep yale maji yote ya bahari yalio kwenye Flat Earth ili yasifall kwenye edges! Hilo walipoligundua wakaficha na wakabadilisha wakaitwa Bara la Antarctica! Tukadanganywa.

Ushahidi wa Kibiblia about Ice walls 👇
(Methali 8:27-29 "Alipozithibitisha mbingu nalikuwako, alipopiga DUARA KATIKA USO WA BAHARI. Alipoipa bahari mpaka wake kwamba maji yake yasiasi amri yake alipoiagiza misingi ya nchi") Ukitumia ya kingereza itakua vizuri zaidi!

Ukienda Kule Antarctica huruhusiwi kuvuka behind the walls! Kuna ulinzi mkali sana tena maalum wa special forces wa NASA. Wanaruhusu researchers wao tu na labda tourist nao huwa wanapelekwa maeneo ya hapo mbele tu na wanakua wamethibitishwa sana ili kwenda. Mataifa yote yamesign makubaliano ya kutokwenda kule hata Tanzania.

Kwanini? Sababu behind Ice walls is where exact the Earths edges are and probably the firmament is settling down the ground level. Lakini pia uwezekano upo kwamba Mungu alificha firmament to the ground level kama alivoficha bustan ya Eden na vitu vingine baada ya dhambi kuingia, maana alijua haya yote tungejaribu kuanza kuidestroy kama wanavotuma rocket kupasua ile ya juu.

Lakini the fact is that, behind the ice walls there's something, ni uhakika ndio edges zilipo na there's a lot of land behind the walls ambayo huwenda firmament to the ground level ipo haijafuchwa na MUNGU.

Kwanini wanafanya ulinzi mkali huko? Jiulize ni nini wanatuhide?? Ni nini hawataki tukijue??, fanya Research mkuu.

So edges zipo ni vile tuko limited na ANTICHRIST tuone, tuskie, wanatuamlia tufatilie wanachotaka wao tu n.k

Angalia hata United Nations official Logo mekuekea hapo, ina raman ya Flat Earth na lile lilozunguka ndio Ice Walls zenyewe. Na wanajua ukweli ila sisi ndio tunadanganywa.

Insert

Tunaishi kwenye Dunia Flat iliofunikwa na Firmament. Mungu hajawah ficha kitu, yote yameelezewa kwenye Biblia, na hata scientifically tunaweza kuyaprove. Good luck
 
Hakuna curve hapo hio juu ni molten glass firmament ambayo imeifunika dunia na juu ni maji. Soma vizuri genesis, mkuu mimi natumia bible na pia hata scientifically viko proved labda wewe useme dunia ilitokea wapi? Pamoja na jua na mwezi kama huamini bible. Mimi naamini Mungu yupo na ndo muumba wa hii dunia, kma wewe unaamini science prove Dunia ilikotokea.
 
hivi ndo flat earth ilivyo, hiyo juu ni molten glass na iko muundo wa Dome. Kuna vitu havihitaji ubishi sana angalia hizi picha ni reflection ya jua kwenye firmament ambayo ni glass. Double rainbow 🌈 mmoja halisi, mwongine ni reflection ya ule halisi umereflect kwenye Firmament na umetengeneza shape ya dome. Vitu vinaonesha uhalisia kabisa, hivi vitu mlivyomezeshwa na NASA ni hatari sana, MATRIX imefanikiwa kuwadanganya sana.
 
Kama ingekuwa ndogo na karibu kiasi hiko tungeweza kunotice jinsi inavyomove Kwa urahisi,
Mimi sijataja kiasi.

Wewe unasema "kiasi hiko" neno "KIASI HIKO" ni la kwako na maana ya maneno hayo unayajua mwenyewe.

Hakikisha unajenga hoja kwa maneno yangu ambayo nimeyasema na sio kwa maneno ambayo umeyasema wewe alafu unalazimisha yawe nimesema mimi mkuu😀
 
Kuhusu UN kutumia ile ramani wameeleza kwanini wanaweka vile, hivi ukisema tunadanganywa hata satelite za kina kiduku wa korea north kim jong un, russia , china waungane na west kutuhujumu kweli,


Sasa hapo mkuu umeweka maandiko , hiyo ni mambo ya imani hiyo miisho ya dunia kaprove nani maana sayansi ni kuprove facts
 
Mkuu hakuna kitu kinachoitwa Space ni hoax hao akina Russia, China, NK na US nknk hao lao ni moja tu. Satellites zinashikiliwa na ballons huko juu na ziko kwenye high altitude ambayo wewe ni ngumu kuona. Hakuna anayeweza kuvuka Van allen belt, na hizi satellites zinaanguka sana zikiwa na maballon hili liko wazi kabisa hadi videos zipo huko youtube kama ukitaka naweza kukupa link uzione.

Hakuna kitu kinachoitwa ISIS hakuna aliyewahi kuvuka hii dunia akatoka nje wala kuingia. Mwaka 1961 US waliconduct operation inaitwa “fishbowl” series za nuclear rockets zilitumwa kujaribu kuona kama wanaeza ivunja firmament wakatoka nje ya Dunia lakini walishindwa.

Lakini bado wanaendelea kutuma Rockets zao kila siku kuiharibu firmament ya juu na hii kazi now ipo under Elon.

Haya ni maneno ya Hillary clinton “"Although we weren't able to shatter that highest, hardest glass ceiling this time, thanks to you, it's got about 18 million cracks in it and the light is shining through like never before, filling us all with the hope and the sure knowledge that the path will be a little easier next time," Clinton said in 2008.

Nakutumia video ya Hillary clinton akiongea. Wanajua ukweli kuhusu hii Dunia .

View: https://x.com/exquisite_255/status/1719717108009914836?s=46
Hii ni katuni ya Simpson wanaonesha wana crack ile high glass ceilling, they’re mocking us ndo hivyo akili zetu zimeshiliwa hatuwezi kukaa chini na kufikiria uumbaji wa Mungu.


View: https://youtu.be/ymVgF1ipQ-k?si=02kZyXR7sHqS8TBs
 
Kila la kheri ndugu
 
Kaka usituone si vilaza umechukua kipande Cha hotuba nzima😄 hapa ndo nimekuona we muongo muongo sana, Katika hotuba hii ya mwaka 2008, Hillary Clinton anakiri kwamba hakufanikiwa kuvunja "sakafu ya glasi iliyokuwa ngumu zaidi na ya juu zaidi" kwa kushinda uteuzi wa urais. Hata hivyo, anatumia mfano wa glasi hiyo kuwa na "mipasuko milioni 18" kumaanisha uungwaji mkono na kura alizopata wakati wa uchaguzi wa awali. Licha ya kutoshinda, anadokeza kwamba maendeleo yaliyofikiwa na uungwaji mkono wanavyowakilisha mabadiliko chanya, na kumaanisha tumaini kupitia mwanya wa kisiasa. Clinton anaelezea matumaini kwamba kuvunja "sakafu ya glasi" kutakuwa rahisi zaidi kwa wanawake katika siasa hapo baadaye.
 
HIVI HUU UZI KWANINI UMEWEKWA NA HAWA MAZUZU WA BWANA MERO KWENYE JUKWAA LA INTELLIGENT.....KWANINI WASINGE ANZISHA JUKWAA LA STUPID INTELLIGENT PEOPLE NDIYO WAWEKE HUU UZI MAANA KWA HUU UZI KUWA HAPA UMEHARIBU MANTIKI NZIMA YA ILI JUKWAA
 
Hii cartoon unaeza dharau lkn hapa kuna kitu wameonesha ,cha kufikirika km dunia ni duara au flat ...unaeza kupuuza lkn unaeza jiuliza Mhaya
 

Attachments

  • 1703506141826.jpg
    32.3 KB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…