Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Najitahi
Najitahidi kujibu hoja zako, ila zangu hujibu unauliza zako tu.
Du
Duuuh hapo ndo umenielezea?
NimeKuuliza kuhusu lunar phases naona kapaHoja gani sijajibu mkuu? Weka maswali yote hapa niyajibu.
Unisomee nielezee ulivyoelewa. Si umesoma ukaelewa?Majibu yote yapo hapo mkuu unataka nikusomee na bible?
Dunia yako imeshikiliwa na nn?Hoja gani sijajibu mkuu? Weka maswali yote hapa niyajibu.
NimeKuuliza kuhusu lunar phases naona kapa
Nimekuuliza kuhusu eclipses
Picha hizi za Jua kumulika mawingu Kwa chini
View attachment 2860266
iza uliisikiliza tangu mwanzo hiyo hotuba? Kama uliisikiliza naomba nambie alikuwa anaongelea nini.Mkuu kwa umakini ukiangalia hizo rainbow na jua utaona zinaakisi something kutoka juu na pembeni. Na ukweli ni kwamba huko juu tumefunikwa na molten glass, jua na rainbow zina akisi glass ya juu ndomana unaona inafata kabisa shep ya dome.
βHilary Clintonβ alivyosema the highest celling glass alikuwa anamaanisha hio, ila ni vile watu hamuelewi. Fuatilia ile cartoon ya simpon niilituma humu ndani yaan wanacheza na akili zetu ni vile washatukamata watu sio wafuatiliaji wa mambo.
"One thing I really want your generation to embrace is that the Earth is a closed system. We cannot leave the Earth." -Bill Nye
Sawa, na Dunia imeshikiliwa na nn? Au nayo mpk ulete Uzi?Hii nitakujibu ni uzi mrefu kidogo so huwa naandika taratibu maana lazima nikupe na prove, Nita Jitahidi soon niushushe.
flat-Earthism isnβt designed to explain anything. Itβs designed only to reject and mock everyone else, for a variety of motivations that have nothing to do with a search for objective truth.
Sawa, na Dunia imeshikiliwa na nn? Au nayo mpk ulete Uzi?
muulize akwambia kwa hiyo map yake ya flat kwanini new zealand na south africa hazina timezone moja,Sawa, na Dunia imeshikiliwa na nn? Au nayo mpk ulete Uzi?
Mimi Kwa maoni yangu binafsi,. kutokana na observations za kutizama Kwa macho na kushirikisha akili:-muulize akwambia kwa hiyo map yake ya flat kwanini new zealand na south africa hazina timezone moja,
Na pia mwanga wa jua kwenye flat earth yao kwanini haufiki mbali
1. Bado hujajua vzr concept ya gravitational force. Ina act toward the centre of the earth. Sasa huo mfano wa round ball kutoshikilia maji kwani gravitational force yake Ina act toward the centre ya hiyo ball au downward?Mimi Kwa maoni yangu binafsi,. kutokana na observations za kutizama Kwa macho na kushirikisha akili:-
1. Dunia sio round-ball la namna hii π.... Proof{There's no way maji yatastick kwenye round ball, hata gravitational haiwezi kushikilia maji kwenye round-ball}
2. Kwa kutumia Tu usafiri wa nchi kavu na majini(Not necessarily utumie Usafiri wa anga),.. utaweza kusafiri Dunia nzima na kugundua kwamba dunia haina shape ya namna hii β‘οΈπ.
3. Dunia inaweza isiwe flat mstatili Kama meza,..lakini inaweza kuwa flat kama sahani.
4. Mwanga wa Jua kwenye flat earth,.hauwezi kumulika Dunia nzima Kwa wakati mmoja Kwasababu Dunia ni kubwa kuliko Jua......hii inapelekea mwanga wa Jua kuangaza upande fulani wa Dunia kwenye muda husika.(i.e Usiku na Mchana).
5. Dunia haizunguki,.Bali celestial bodies kama mwezi na jua ndiyo zinazunguka,. Dunia ime stick kwenye position Ile Ile...
Haya ni maoni yangu kwa kutumia uoni wa macho,.. without being influenced by anyone.
1. Walio propose theory ya gravitational force wanasema ina act towards center ya hio ball na sio downward,...lakini hiyo theory kiuhalisia hata wewe unahisi ni kweli....? Kwamba maji nayo yameshikiliwa na gravitational force kwenye round-ball like this π? Yani unaona hii emoji β‘οΈπ ilivyo ndiyo gravitational force inavyoshikilia maji according to hiyo theory... unaamini hivyo? {Ushawahi kuchunguza ukaona inawezekana?}1. Bado hujajua vzr concept ya gravitational force. Ina act toward the centre of the earth. Sasa huo mfano wa round ball kutoshikilia maji kwani gravitational force yake Ina act toward the centre ya hiyo ball au downward?
2. Ship visibility pia unaweza kuingumziaje?
3. Sasa hata hiyo sahani inashikiliwa na nini?
4. Sawa, unaweza kuniambia jinsi Gani lunar/solar eclipses na lunar phases zinatokea (yaani mwezi kuonekana nusu au mzima).
1. Sijajua we umeona shida nn hapo?1. Walio propose theory ya gravitational force wanasema ina act towards center ya hio ball na sio downward,...lakini hiyo theory kiuhalisia hata wewe unahisi ni kweli....? Kwamba maji nayo yameshikiliwa na gravitational force kwenye round-ball like this π? Yani unaona hii emoji β‘οΈπ ilivyo ndiyo gravitational force inavyoshikilia maji according to hiyo theory... unaamini hivyo? {Ushawahi kuchunguza ukaona inawezekana?}
2. Kwenye ship visibility,. Kiuhalisia ni kwamba ukomo wa uoni wa macho yetu ndiyo yanafanya tuone kama Meli ina disappear{wengine wanasema hapo unapoona Meli ina disappear kuna curve kabisa kuthibitisha globe., hii si kweli Kwa upande wangu}, Kwasababu uoni wetu na hata vifaa tunavyotumia vina ukomo wa kuona,.. so hatuwezi kutumia Ship visibility kuthibitisha round-ball π.
3. Kwani wewe unahisi Dunia inashikiliwa na nini mkuu?,..{ kwanza weka akilini kwamba sijasema gravitational force haipo Ila nimesema,.Hakuna uthibitisho kwamba gravitational force inaweza kuhold maji kwenye shape ya round-ball namna hii π.....
4. Kuhusu lunar & solar eclipse......ipo hivi:-
Si unajua kwamba Jua na mwezi zinazunguka kwenye orbit? Sasa Jua na mwezi zinapokua kwenye mzunguko wao ikitokea Jua&Mwezi vime intercept kwenye huo mzunguko inapelekea kivuli >Eclipse{Solar/Lunar}π«.......yaani hizi bodies mbili kwenye mzunguko wao zenyewe(orbit π«) ikitokea Mwezi umeblock mwanga wa Jua ndiyo tunapata Solar eclipse....na ikitokea Jua limeblock mwanga wa mwezi ndiyo tunapata Lunar eclipse....so sidhani kama kwa maelezo hayo unaweza ukatumia eclipse(s) kuthibitisha globe Kwa kuwa Dunia yenyewe ipo fixed Bali hizo celestial bodies(Jua&mwezi) zinapofanya movements zikikutana ndiyo zinapelekea eclipse.
Kwa hiyo mlikaa wapi na Elon mpaka akakueleza hayo? Unadhani wewe peke yako ndo umekutana na hizo theory za flat earthers? Wote tumekutana nazo Ila kwa kuwa hatukukariri darasani Ila tulielewa tukagoma kudanganyikaHakuna cha kamba pale mwenye uelewa alielewa clinton alimaanisha nini, na aliongea vile sababu anajua watu hamuelewi. Ukisoma deep hio operation fishbowl ukaja ku link na clinton utapata mwanzo mzuri, sio clinton tu hata Elon anaongea sana.
Au unasubiri yule jamaa wa Twitter Exquisite_255 apost ndo upate maarifa ya kuja kujibu hapa?Hii nitakujibu ni uzi mrefu kidogo so huwa naandika taratibu maana lazima nikupe na prove, Nita Jitahidi soon niushushe.