Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kabla sijakujibu, wewe unahoja Gani kuhusu umbo la Dunia? Maana mwanzo umekuja na hoja kuwa ni tambarare lakini umeshindwa kuitolea maelezo.

Kuhusu gravity, unataka niprove vipi katika uhalisia? Ni sawa naww nikuulize unaweza kuprove uwepo wa electrons, lakini application yake unaiona hata kwenye umeme unawaka lakini huwezi kunionyesha hizo electrons sivyo?
Lakini pia gravity ina-apply sehemu mbalimbali kama vile kwenye geophysical survey( identify rock type and water and mine exploration) pia kwenye trajectory hata kurusha nuclear bombs.

Kuhusu maji kustick kwenye tufe linalozunguka ni lazima nitumie uwepo wa gravity Kwa sababu ndio kitu kimojawapo (sa sijajua kwanini unataka nisitumie uhalisia uliopo maybe tuanze na mada ya gravity kwanza).
Unachotakiwa ujue gravity ina-act towards the centre of the earth kwahy maji yanastick hapo. kuhusu Dunia kuspin na maji yanaendelea kustick kumbuka rotation inatokea kwenye whole earth including atmosphere yake kwahy hata maji nayo yanaspin Kwa speed Ile Ile, mfano chukulia upo kwenye gari alafu rusha kitu juu kitarudi pale pale ulipo, kwann kisirudi nyuma? Nadhani mpaka hapo utakuwa umepata kitu kama Kuna mahali Bado panashida sema.

2.Pembe ya mhimili wa dunia ina pembe ya takriban 23.5∘ kutoka kwenye obiti yake - hiyo ina maana katika hatua moja ya mwaka ncha ya Kaskazini (yaani, ambapo mhimili wa mzunguko unakutana na uso wa sayari katika ulimwengu wa Kaskazini) umeelekezwa kuelekea Jua, na kisha. mwishoni mwa mwaka Ncha ya Kusini imeelekezwa kwenye Jua.






Maana yake ni kwamba kwa muda katika mwaka kuna eneo la sayari (yaani kati ya nguzo na latitudo 66.5∘) ambapo jua huwa juu ya upeo wa macho kila mara, na vile vile kuna kipindi katika mwaka ambapo jua kamwe usije juu ya upeo wa macho. Vile vile hufanyika kwenye nguzo nyingine - lakini kwa nyakati tofauti za mwaka. Pete hii inayozunguka nguzo hadi latitudo 66.5∘ ni mduara wa Aktiki au Antaktika (kulingana na nguzo gani unayozingatia). Kwa hivyo katika mduara wa Aktiki kwa karibu miezi mitatu karibu na Majira ya joto ya Kaskazini (Juni 21) jua halitawahi kutua, na kwa kipindi hicho hicho katika mzunguko wa Antarctic jua halitawahi kuchomoza.

Tena kama utafatilia Kwa makini kuhusu hii midnight sun utaona nayo ni Moja ya proof ya kuwa Dunia ni tufe.

 
Sawa., Yaani kwamba hata mtu akiwa Duniani anaweza kutumia object fulani Ku block mwanga wa Jua,. ili tupate full solar eclipse?
The Sun is completely blocked in a solar eclipse because the Moon passes between Earth and the Sun. Even though the Moon is much smaller than the Sun, because it is just the right distance away from Earth, the Moon can fully blocks the Sun’s light from Earth’s perspective.



During a total solar eclipse, the Moon passes between Earth and the Sun. This completely blocks out the Sun's light. However, the Moon is about 400 times smaller than the Sun. How can it block all of that light?


It all has to do with the distance between Earth and the Sun and Earth and the Moon.
an illustration of the Moon blocking the Sun's light during the August 2017 eclipse
An illustration showing the Earth, Moon, and Sun during the August 21, 2017 eclipse.

When objects are closer to us, they appear to be bigger than objects that are far away. For example, most stars in the night sky look like tiny white dots of light. In reality, many of those stars are larger than our Sunβ€”they are just much farther away from Earth!

Even though the Moon is 400 times smaller than the Sun, it's also about 400 times closer to Earth than the Sun is. This means that from Earth, the Moon and the Sun appear to be roughly the same size in the sky.



So, when the Moon comes between Earth and the Sun during a total solar eclipse, the Moon appears to completely cover up the light from the Sun.
 
Yap vitu ni complicated Kwa kiasi fulani,...na ndiyo maana maswali hayo unayosema umenibana Mimi....nikikugeuzia maswali hayo uelezee occurrence yake kwenye Dunia Tufe lnayolizunguka Jua,. sidhani kama utatoboa.
Hudhani ? Nlikwambia toka mwanzo kama haujui ni bora ukasema haujui ili uelekezwe ( Usijumuishe wote kuwa hatutakua na majibu, Kama umeshindwa kujibu kuhusu hoja zako tuambie na uanze kutuuliza maswali tukueleweshe kwanini dunia ni tufe )

Hoja yako umeshindwa kuitetea sasa sijui uliweza vipi kuthibitisha dunia ni flat.
 
Hoja yangu kuhusu umbo la Dunia ni kwamba,..Dunia haina umbo la tufe la namna hii ➑️🌍,..Bali DUNIA Ina umbo lenye flat-surface umbo ambalo linaweza kuwa round kama SAHANI, round kama YAI au vyovyote vile lakini ni flat.,

Sitaki niandike sana ngoja nikuulize swali dogo Tu la kutumia akili..,

Je, unadhani as we are progressing technologically& financially, inawezekana kuwa na Railway line inayoweza kuunganisha mabara yote(Continents To continents) ?

Je, Idea hiyo inaweza kufanikiwa kwenye dunia yenye umbo la Tufe 🌍?
 
Utofauti wangu Mimi na wewe ni kwamba wewe umekariri ulichofundishwa,...Mimi najaribu kutumia na akili yangu pia.

Mimi nilichofundishwa najaribu Ku question ili nipate majibu ambayo yatashibisha akili yangu,.... Unahisi kwanini Mimi sitaki kuhitimisha Tu kwamba Dunia ni Tufe? Kwani Mimi sijasoma hivyo?

Ukitaka ujue umekariri,..ukiulizwa kwanini maji yanastick kwenye Tufe,utasema gravity ndiyo inasababisha,....ukiambiwa uthibitishe how yanastick huwezi, kwa kuwa umekariri tu gravity basi.

NB:- Flatness ya Dunia sio mpaka Mimi nikuthibitishie maana unaiona Kwa macho yako,. Wewe ndiyo inabidi uthibitishe umbo la Tufe Kwasababu,ukiachana na kuliona kwenye picha na videos ambazo zinasadikika kuwa ni CGI generated,...Hujawahi kushuhudia Tufe hilo kwa macho yako.
 
1. Kwanza hujarudisha mrejesho kuhusu maeleozo niliyotoq kuhusu maswali yako Ili nijue kama tumeelewana kwanza ndio tuendelee na kitu kingne, maana ukiruka ruka hivi hatutafukia suluhisho.

2. Ni vitu Gani vinavyokufanya uamini Dunia Inaumbo kama la sahani? Maana hujaja na uthibitisho wowote ule Bali umeleta challenges kuhusu Dunia kuwa tufe.

3. Awali nilikuuliza kuhusu eclipses ukasema solar eclipse inawezekana hata kwenye flat earth ( Kwa maana kuwa umekubaliana nami kuwa kwenye round earth inawezekana pia) lakn hukueleza ni kivipi inawezekana, sijajua kwann. Lakini ukashindwa kueleza lunar eclipse na lunar phases ila ukaja na hoja ya ajabu ambayo umejitungia eti labda ni other object inapita really? Embu tuwe serious kama kweli upo serious na huu mjadala.

4. Kuhusu swali lako la railways kuunganisha mabara yote sijajua point yako imelenga nini, lakini majibu yangu ni kwamba 1) inawezekana 2) haiwezekani.

1) inawezekana, ikiwa tu hakutakuwa na bahari maana mabara yametenganishwa na bahari.
2) haiwezekani, Kwa maana ya awali kuwa mabara yametenganishwa na bahari , sa sijajua ulilenga nini kwenye swali lako.
 
Kwahy kufundishwa ni kukaririshwa? Au we unadhani pia sisi hatujawahi kukutana na hizi hoja za flat earth? Ni vile tuliona hazithibitishi chochote kuhusu uflat wa hiyo Dunia, kwanini hao flat eathers wasitengeze hizo videos ambazo ni CGI generated pia? Na kwann watengeneze videos?
Kuna application nyingi sana zina-operates Kwa kutumia concepts za kuwa umbo la Dunia ni ellipsoidal, mfano tu Kwa watu wa design ya za maji safi au taka, sewerGem, ArcGIS na nyingne nyingi tu.

NB: usiniambie tu kuwa naww ni mmoja wa wanaoamini kuwa tunadanganywa, maana haitowezekana kuelewana, maelezo yoyote ntakayotoa hata kama yanamake sense utasema tunadanganywa.
 
Nimekariri ❌

Nmefundishwa, Nkatumia uwezo wangu wa kufikiri pamoja na tafiti zangu binafsi kujiridhisha hilo,

So kwa ufikiri wangu na uwezo wangu wa kudadavua mambo, Kuhusu dunia ina shape gani nlishahitimisha muda mrefu pasipo shaka yeyote ( DUNIA ni TUFE )


Alafu kwanini unakua na maswali ambayo unajihakikishia hutojibiwa ??

Nadhani unajitengenezea defence ya kutokukubaliana na majibu utakayopewa, kwasababu haupo tayari kuelewa tofauti na unavyoelewa kuhusu hizo DHANA zako.
 
Na nikuulize pia, unaamini ramani za mabara ya Dunia? Kama unaamini zilitengenezwa vipi au tunadanganywa pia πŸ˜„πŸ˜„?
 
Nikuulize pia, hiyo Dunia ambayo ni sahani umeshikiliwa na nn? Jua na mwezi vimeshikiliwa na nini? ( Unaamini hakuna gravity).
 
Hoja zenu nimeziona,Nitarudi ,..wazee wa Dunia Tufe andaeni Popcorn 🍿 🀝


anthony_art & Experience now


Nakuacheni na hii statement,naamini itawafaa na kufikirisha ➑️ Water seeks its own level, finding equilibrium within a CONTAINER, a testament/evidence to the unyielding principle of fluid confinement.
 
Nami nikupe na picha ya siku mtu wa Dunia tambarareπŸ˜„
 
Naomba nijibu hizi hoja zako hapa,....
1. Hoja yangu kuhusu umbo la Dunia ni kwamba,..Dunia haina umbo la tufe la namna hii ➑️🌍,..Bali DUNIA Ina umbo lenye flat-surface umbo ambalo linaweza kuwa round kama SAHANI, round kama YAI au vyovyote vile lakini ni flattened.,

2. Majibu yako juu ya ishu ya Alaska,..umecopy sehemu lakini Yana contradict theories za Dunia tufe,. nasema hivyo Kwasababu......Kwa mujibu wa nadharia za Dunia Tufe ni kwamba Dunia inatumia saa 24 kukamilisha mzunguko wake mmoja(kulizunguka Jua)....

Hapo tunapata majibu mawili kwamba maelezo uliyocopy jamaa wameshindwa kutatua hiyo puzzle Kwa kuwa:-
-Kinadharia ya Dunia Tufe,....kila mzunguko mmoja wa Dunia ukikamilika "NDIYO TUNAPATA USIKU/MCHANA,. Hivyo hakuna namna tutapata situation ya Alaska kwenye nadharia ya dunia Tufe linalozunguka Jua kila siku Kwa saa24..

Jiulize mwenyewe Dunia inakamilisha kulizunguka Jua Kila baada ya saa 24,. Je kwa huo mzunguko wa Dunia inawezekana vipi Alaska na maeneo mengine yana experience midnight sun Kwa zaidi ya mwezi mmoja, wakati kila siku Dunia inakamilisha mzunguko wake?

NB:- Kumbuka Jua, kwenye nadharia ya dunia Tufe lipo static halifanyi movement yoyote.

Sasa unaposema kuna kipindi katika mwaka Jua linakua Juu ya upeo wa macho kila mara huoni una contradict nadharia ya kwamba Jua hali move? Yani Kwa mantiki hiyo ili uthibitishe madai yako ilipaswa eneo hilo la Alaska lishuhudie Jua likiwaka mwaka mzima(Usiku na Mchana )kwenye eneo Lao Kwa kuwa Jua lipo fixed kwenye upeo wao wa macho kwenye eneo hilo....

3. Kuhusu gravity,.ngoja nikuulize swali...unahisi kitu chochote kikirushwa juu kinarudi chini Kwasababu gravity inarudisha kila kitu kwenye center ya Dunia?.....Mimi nasema hivi "ukirusha kitu kwa nguvu ya kutosha hakuna force yoyote itakayofanya kitu hicho kirudi chini....kitu kinarudi chini kwa kuwa nguvu iliyotumika ni ndogo kukifanya kitu hicho kiendelee muelekeo uliokusudiwa hivyo kinadondoka chini."
 
Dunia inatumia saa 24 kukamilisha mzunguko wake mmoja(kulizunguka Jua)....
Seriously?????? Rekebisha kabla sijakujibu
 
Sijajua either ni hujui au umekosea bahati mbaya,
Dunia haizunguki Jua Kwa saa 24, Bali hutumia siku 365 kuzunguka Jua, hizo saa 24 ni kujizungusha kwenye muhimili wake yenyewe. Sijajua kama umesoma maelezo niliyokuwa japo ni kweli nimecopy kama yalivyo Ili uelewe. Kesho ntakucholea mwenyewe model uelewe zaidi.
 
Hoja yangu ya Railway nimelenga kukuonyesha kwamba tunaweza kuwa na Railway line inayo connect mabara Kwa kuwa kuna flat surface Dunia nzima.

1. Inawezekana.,kwa kuwa railway line zinaweza kupita juu ya bahari fresh kabisa, so bahari hazizuii reli kupita.

2. Inawezekana,. Kwa kuwa mabara kutenganishwa na bahari hakuzuii railway line kupita.

Na hata miaka ya zamani hii idea ya Railway line inayoweza kuunganisha mabara ilishafikiriwa na wadau mbalimbali..πŸ‘‡πŸΌ

Past Visionaries:
a. William Gilpin: In 1890, he proposed the "Cosmopolitan Railway," connecting all continents except Antarctica. Some elements like the English Channel Tunnel were realized, but not the broader vision.

b. Others: Throughout history, various individuals have entertained this idea, including visionary engineers and authors like Jules Verne in "Around the World in Eighty Days."

Sasa kwenye dunia Tufe idea hii ni kitu kisichowezekana,...ila Kwa kuwa ni flat kama tunavyoshuhudia Kwa macho yetu,idea hii inawezekana.
 
Point number 2 dunia aizunguki jua kwa masaa 24, inatumia siku 365 (mwaka) kuzunguka jua kwa kufuata orbit yake.

Jua siku zote lipo kama lilivyo, unapata usiku na mchana kwa sababu dunia pia wakati inazunguka kwenye orbit ya jua na yenyewe inazunguka katika mhimili wake ndio maana upande usiopigwa na jua unakuwa giza.

Si uangalie ramani ya dunia, halafu umpigie video call mtu ambae yupo upande wa pili ya dunia na ulipo uthibitishe mwenyewe wakati wewe kwako giza kwake mchana.

Point 3 unadhani ni wewe mwenyewe unafahamu hiko kitu ya kuwa ukitumia nguvu kubwa kurusha kitu juu akirudi chini (provided kinavuka 21 km from earth surface ambapo gravity ni weak), iyo ndio kanuni ya rocket science wanayotumia kurusha vyombo nje ya earth atmosphere mpaka kufika space kwenye somewhat zero gravity.
 
Hata mimi kanishangaza hapo
 
Sawa Nitarudi,...
 
Sawa nitarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…