rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Ooh good, wenzako wanaishia tu mwanzoni hawaendi mbele zaidi, wanaoneshwa penguine wanarudi[emoji23]. Fanya research why antartica treaty? kitu kingine Antartica so bara kama tunavyodanganywa ni ICE WALLS surrounding our earth, na angle zote za kuingilia zinalindwa kwa ulinzi mkali wa NASA.
Kwenye basic physics ya O'level nadhani unakupunga Cohesive and adhesive forces, Kuna maada zina kani kubwa ya uvutano kati ya molecules zake ,hiyo kani inaitwa cohesive force mfano ni Zebaki/mercury ndiyo yatumika katika thermometer sababu hailoweshi kiooKama Dunia ni Tufe,...
1. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball Kisiwe included kwenye Seven wonders of the world?
2. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball upside down kisiwe kama kivutio cha utalii ambapo watu wanaenda na kufanya observation Kwa kulipia?
Karibu greater than tuchangamshe akili na kujichunguza kama Sisi ni wajinga juu ya umbo la Dunia ama la.
So now NASA wanahusika na ulinzi, hivi jamani mpitie hata maana ya hiyo NASA na kujua kazi zake...Jiheshimu
Speed ya dunia ni dunia ina move pamoja na anga lake yaani atmosphere lake mpaka kwenye Space ndipo hapazunguuki so ukiwa Duniani huwezi his iyo movements kwasababu wewe unakuwa ndani ya hio movement na hakuna kitu ambacho kinakuwa kipo kinyume na hio movement ndio kiwe sababi ya wewe kuohisi hio movement Mfano hapo ulipokaa gari likija kukugonga kwa speed hio speed una experience kwasababu wewe ulikuwa static na eneo na vitu vilivyozunguka vyote static that way umeihisi speed ya gari.66,700 m/hr bado kuna 1,000 mph usihisi chochote?
1.Enhe,haya kwanini watudanganye, Haya wakitudanganya Luna faida ipi kwao...?Kama Dunia ni Tufe,...
1. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball Kisiwe included kwenye Seven wonders of the world?
2. Kwanini kitendo cha maji kustick kwenye round-ball upside down kisiwe kama kivutio cha utalii ambapo watu wanaenda na kufanya observation Kwa kulipia?
Karibu greater than tuchangamshe akili na kujichunguza kama Sisi ni wajinga juu ya umbo la Dunia ama la.
Hata pyramids of Giza ni miongoni mwa seven wonders of the world,..uajabu wake ni upi?Kwenye basic physics ya O'level nadhani unakupunga Cohesive and adhesive forces, Kuna maada zina kani kubwa ya uvutano kati ya molecules zake ,hiyo kani inaitwa cohesive force mfano ni Zebaki/mercury ndiyo yatumika katika thermometer sababu hailoweshi kioo
Adhesive forces ni pale kani ya uvutano kati ya molecules za element tofauti zinakuwa kubwa, mfano ni alcohol au maji,,,ndiyo mana maji yanalowanisha kioo na vitu vyengine kama tufe.
Lakini uzito wa molecules za maji unapoongezeka, zinavutwa na kani ya gravity na kudondoka chini...
Nikukumbushe tu, kadri mana inavyopungua ukubwa na kufika level za Atom ndipo zinapoacha kufuata sheria za basic physics na kuanza kufuata sheria za Quantam Physics...
Sasa hapo huajabu wake ni upi mpaka iwe moja ya seven wonders
Kwani wewe binafsi huwezi kutafiti na kujua umbo la Dunia,..mpaka unasema kwanini watudanganye? yaani kwamba kuna watu specific ndiyo wana mamlaka ya kusema kwamba Dunia ina umbo gani?1.Enhe,haya kwanini watudanganye, Haya wakitudanganya Luna faida ipi kwao...?
Kwanini unaamini ni lazima Dunia iwe na ncha? What if it's enclosed infinity system....yaani ipo hivi 👉🏼 kutoona ncha ya Dunia haiifanyi Dunia kuwa tufe.2.So huko kwenye cha ya dunia, ukifika ukajirusha utaanguka...
Kwani,..unavyoona Dunia, Jua, Mwezi na Nyota nyingine zipo sawa?! Huoni kama Dunia ipo tofauti kabisa na Jua, Mwezi na Nyota nyingine.....Kwa mfano nenda kapande Mahindi au kaanzishe makazi kwenye Jua/mwezi then utaona hivyo vitu wala havifanani,.3.Kwahiyo ni dunia tu ndiyo tambarare, celestial bodies nyingine zote kama nyota na Sayari ni tambarare.
Naona hujanipata bado,.ngoja nijaribu kuweka sawa.... kwenye mtazamo wa Einstein juu ya motion of the earth nilikua concerned na hapo aliposema "Whether the Earth is considered to be at rest and other celestial bodies move around it,.or the earth moves while other bodies are at rest is a matter of choice of reference frame...."Albert Einstein never directly said that the Earth is not spinning/rotating in its axis. No object in the sky can be considered stationary, and we can observe this by the rising and setting of the Sun, the Moon, the stars, and other planets.
What Einstein did, was formulate the theory of relativity. With this theory, gravity and the Earth's rotation can be considered relative. For example, if we are standing on the North Pole looking at the sky we can see the celestial bodies spinning all around us, but have a position that might cause us to question if it is the sky that is revolving around the Earth or the Earth that is spinning (it's the Earth that's spinning on its axis).
Kwanini mfano wako umeutolea kwa Einstein pekee ? Na unadhani angekuwepo asingeleta majibu ya uhakika mpaka sasa ?Naona hujanipata bado,.ngoja nijaribu kuweka sawa.... kwenye mtazamo wa Einstein juu ya motion of the earth nilikua concerned na hapo aliposema "Whether the Earth is considered to be at rest and other celestial bodies move around it,.or the earth moves while other bodies are at rest is a matter of choice of reference frame...."
Sasa nilikua najiuliza kwahiyo hata Einstein alikua hana uhakika kama Dunia ipo at rest or inazunguka?!
Kama Mwanasayansi nguli Einstein alikua hana uhakika wewe Chosen Rich uhakika kwamba Dunia ipo kwenye motion umeutolea wapi? Hahh
Ndege inakimbia speed kali sana angani, Lakini huwezi kuhisi chochote ukiwa ndani.
So now NASA wanahusika na ulinzi, hivi jamani mpitie hata maana ya hiyo NASA na kujua kazi zake...
Hata katika nchi za kwanza kufika North na South poles,marekani hawapo.
So hata KIM naye anahusika kutudanganya...?
Speed ya dunia ni dunia ina move pamoja na anga lake yaani atmosphere lake mpaka kwenye Space ndipo hapazunguuki so ukiwa Duniani huwezi his iyo movements kwasababu wewe unakuwa ndani ya hio movement na hakuna kitu ambacho kinakuwa kipo kinyume na hio movement ndio kiwe sababi ya wewe kuohisi hio movement Mfano hapo ulipokaa gari likija kukugonga kwa speed hio speed una experience kwasababu wewe ulikuwa static na eneo na vitu vilivyozunguka vyote static that way umeihisi speed ya gari.
Speed ya dunia ungeihisi endapo dunia inge move yenyewe tu bila anga lake upepo mkari ungekupiga na kupeperushwa kabisa kutokomea ila hilo anga nalo una move nalo within...sijui umeelewa
Hata pyramids of Giza ni miongoni mwa seven wonders of the world,..uajabu wake ni upi?
Maji kustick kwenye round-ball ingekua ni fact,.. basi ingejumuishwa miongoni mwa seven wonders na watu wangeenda kushangaa results ya kitendo husika(kuyaona tu jinsi Maji yanavyostick kwenye round-ball) na sio process yake kama unavyojaribu kuhusisha the so called forces.
Anyways, Kaka mkubwa Elon Musk karusha Starlink zake na zimeonekana anga la Dar es laam masaa kadhaa yaliyopita vipi umeziona ??
Na je jamii ya Flat Earth mna mpango gani kuhusu project zinazohusu anga ?
Wapi nimeandika Dunia ina move na Space yake, kwani dunia ina space....kumbe kuootezeana muda humu.Dunia ina move na space yake [emoji23][emoji23][emoji23]. Kwaakili zako na wewe unaamini huu uongo?? Hata mtoto wa lakwanza hawezi kukubali huu uongo cha ajabu mtu mzima unaona sawa.
Toka nje usiku saa8 huu ni muda ambao umetulia sana, utaweza kupata mwanga wa ukweli wa hii Dunia.
Kwa this kind of comment,niwie radhi ila sidhani kama unaijua physics, yan hapo umegewa simple concepts za physics ambazo katila maisha ya kila siku unaziishi...usiweke philosophy kwenye physics.Hata pyramids of Giza ni miongoni mwa seven wonders of the world,..uajabu wake ni upi?
Maji kustick kwenye round-ball ingekua ni fact,.. basi ingejumuishwa miongoni mwa seven wonders na watu wangeenda kushangaa results ya kitendo husika(kuyaona tu jinsi Maji yanavyostick kwenye round-ball) na sio process yake kama unavyojaribu kuhusisha the so called forces.
Sawa,... Kwa kuwa unaijua vizuri Physics tafadhali tuambie,....Kwa this kind of comment,niwie radhi ila sidhani kama unaijua physics, yan hapo umegewa simple concepts za physics ambazo katila maisha ya kila siku unaziishi...usiweke philosophy kwenye physics.
Yan hapa naona wewe utakuwa ulisoma Arts unaleta sanaa kwenye Sayansi.
1.Sasa mimi nitumie mda wangu kufanya kwenye kila jambo duniani?Kwani wewe binafsi huwezi kutafiti na kujua umbo la Dunia,..mpaka unasema kwanini watudanganye? yaani kwamba kuna watu specific ndiyo wana mamlaka ya kusema kwamba Dunia ina umbo gani?
Kwanini unaamini ni lazima Dunia iwe na ncha? What if it's enclosed infinity system....yaani ipo hivi 👉🏼 kutoona ncha ya Dunia haiifanyi Dunia kuwa tufe.
Kwani,..unavyoona Dunia, Jua, Mwezi na Nyota nyingine zipo sawa?! Huoni kama Dunia ipo tofauti kabisa na Jua, Mwezi na Nyota nyingine.....Kwa mfano nenda kapande Mahindi au kaanzishe makazi kwenye Jua/mwezi then utaona hivyo vitu wala havifanani,.
Tatizo imani ikizidi kichwani,.hata macho yanaingiwa na upofu,. Watu wapo tayari kuitupa mbali logic ili tu wabaki na walichoaminishwa tokea wanapata akili.Wanaita “SEA LEVEL” sasa unawezaje kupata level kwenye Ball?