Siri kubwa ya kuwa smart ni kusoma vitabu

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Wazungu wanapenda saana kusoma vitabu ndio maana wana akili sana.

Kuna siri kubwa katika kusoma.

Lakini mtu mweusi ukimpa kitabu alafu ukamwambia kitabu hiki kinaweza kufanya uwe tajiri mkubwa
Anakuuliza swali je aliye andika kitabu hiki yeye ni tajiri.

Ukisema apana ndugu yangu apo ana kupotezea bila kujua kuwa amedharau maarifa.

Kumbuka hata Mwalimu aliye mfundisha Bill gate jinsi ya kutumia computer yeye hakuwa tajiri kama Bill Gate.

Jifunze kusoma vitabu sana utanishuru.
 
Ukisema apana ndugu yangu apo ana kupotezea bila kujua kuwa amedharau maarifa

Kumbuka hata Mwalimu aliye mfundisha Bill gate jinsi ya kutumia computer yeye hakuwa tajiri kama bill gate
Jifunze kusoma vitabu saana utanishuru
Mkuu, apo=hapo
apana= Hapana

Inaonekana na wewe pia husomagi vitabu. Yani sisi wamatumbi kwa kunyosheana vidole tu kwa wengine.

Sasa mtu unashindia viporo vya kande iliyochacha na kuoga na kunywa maji ya jumvi gizani utapata wapi muda wa kusoma vitabu?

Asubuhi na mchana nzi, usiku unang'atwa na mbu.

Bora ngono tu na mkono kwenda kinywani baas ukisubiria kufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…