Siri kumi(10) za dunia hizi hapa

HAKUNA SIRI YOYOTE HAPO ...
Kuhusu hiyo ya mbinguni na kuzimu, hayo yote hayapo. Amini kwamba hakuna kufa bal kuna kubadilisha mfumo tu. Sisi ni nishati, na nishati haiwezi kuharibiwa bali tu kubadilishwa.
Nani alikwambia hayo? Hayo umeyajuaje?
 
(hili sio chimbo la Mshana Jr )...kwa hiyo siri nyingi zimekua zikitamanisha kuzifahamu nikaona nisiwe mchoyo [emoji23]
 
Mbinu 1000 zinazotumiwa na CCM kupata ushindi kila Uchaguzi Mkuu unapoitishwa Tanzania ni SIRI inayolindwa sana pale Chimwaga Dodoma!
 
UKIMWI chanzo chake ni maabara maana yake ni kitu cha kutengenezwa (biological weapon) huu ni mradi watu wanapiga pesa hakuna ugonjwa hapa!
 
Freemason mwenye degree za juu hii ndio makitu zao make ukijiunga masonic unaoneshwa kabisa Maisha yataendeleaje baada ya uwepo wako
 
Watanzania wengi hawapendi mafunzo kabisa 😂😂basi nendeni kwenye comment za wenzetu abroad people wants exsperience but you guys ni kukosoana hamna maelekezo mazuri kwani mkisema na mnayoyajuwa nyie tukajuwa, tukashare idea, tukacheka kidogo, whats wrong with it😂
 
Siyo " adisia"× ni adithia✓
 
HAKUNA SIRI YOYOTE HAPO ...
Kuhusu hiyo ya mbinguni na kuzimu, hayo yote hayapo. Amini kwamba hakuna kufa bal kuna kubadilisha mfumo tu. Sisi ni nishati, na nishati haiwezi kuharibiwa bali tu kubadilishwa.
Juzi niliskia mtu kafu sema ni alipoteza fahamu tu,,alivyo zinduka akasema alikua kwenye mwanga mweupe kila maali incase kwamba hata kivuli akipati nafasi kwa jinsi mwanga ulivyo mkali..

Mwanga mweupe ni kitu cha kwanza mtu ku experience akipoteza fahamu au akifa.

And baada ya hapo mabayo uliyo wafanyia watu ndo yanapo anza kuambatana na wewe maana we always think
 
HAKUNA SIRI YOYOTE HAPO ...
Kuhusu hiyo ya mbinguni na kuzimu, hayo yote hayapo. Amini kwamba hakuna kufa bal kuna kubadilisha mfumo tu. Sisi ni nishati, na nishati haiwezi kuharibiwa bali tu kubadilishwa.
Se tumekubalia kua sisi ni WAUDONGO, hayo mambo ya nishati sijui nini, yametokea wapi tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…