Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #21
Na hakichagui wa kwendaKifo hakina huruma...
Wafia dini bhana..wewe una nini zaidi ya ngonjera za vitabu vya historia za waarabu.Acha kuongopea watu
Laiti mmoja ,aliyekufa angerudi kutwambia kinachoendele huko tungepata majawabu ya mafumbo mengi, lakini Mlengo wa Dini ni pamoja na kuamini yote aliyoyatengeneza M/mungu Yanayoonekana na yasiyoonekanaShida inabaki pale pale ukweli au uongo kuhusu kifo hakuna ajuaye, tunafanya vizuri kujadili na kufukua sayansi na iman mbalimbali ila ukweli wa yote hakuna.
Basi tuambatene sehemu ya pili mkuuSimple as it is,
Kwan kabla hujazaliwa ulikuwa wap?
Ukishakufa unarudi ulipokuwaga kabla ya kuzaliwa
Thats it
Mi naamini ukifa umekufa Imagine kifo chako umeliwa na mamba wamekugawana vjpande vipande na kukutafuna hapo hata genes zako zinakuwa hazionekani, ..
Hapa nakubaliana na mdau mmoja hapo juu aliyechangia kuwa, binadamu ama mnyama anapokuwa yupo katika harakati za kukata roho yani kufa roho yake huwa inaruka mahala pengine mfano kwa mama mjamzito na kuanza upya, maana mungu kazi ya uumbaji alisha imaliza kilichobaki cycle system tu
Dunia nimzunguko hata binadamu pia tunazunguka unakufa unazaliwa na roho ni zile zile
Ndugu zangu yote kwa yote hakuna kitu ninachokiogopa duniani kama kifo japo naelewa kufa ni lazima nitakufa ila ile kutangulia tu naogopa sana
😅😅😅😅Ukifa umekufa inaisha ikiwa hivyo
Kukiwa na movements baada ya hapo ujue hukufa ulizimia tu
Yeyote anaye yajua mapenzi ya Mungu na aliyetenda mapenzi ya Mungu kikamilifu hapa duniani haogopi kufa.Ni wachache miongoni mwa wengi ambao hawaogopi kifo, kuna muda nilikuwa napita mtaa fulani nikamwona kichaa akikwepa na kulipisha gari lilikuwa mwendokasi
Kama ingekuwa hivyo basi dunia ingebaki na idadi ileile ya watu. Maana ingekuwa na kwenye mpira wachezaji 11 tu, hivyo akitoka mmoja anaingia mmoja.Mi naamini nikifa nitarudi duniani kama mtu mwingine tofauti.
Roho yangu ikitoka tu, bila kuchelewa inaenda kutafuta mama mjamzito ambaye kitoto kilichopo tumboni hakijaanza kuonesha uhai.
Hapo roho yangu ndiyo inaingia kwa hicho kitoto na hapo maisha mapya yanaanza.
Ila sidhani kama, nitatafuta mama wa kiafrika.
Maisha ya baadeye ninampango wa kuzaliwa kwa Putin.
Moja Kati ya nadharia za kipuuzi kuwahi kutokea duniani ,nakumbuka wakati nipo mdogo na watoto wenzangu tulikuwa tunapeana moyo kwamba tukifa hapa sisi tunazaliwa upya majuu kila mtu akawa anachagua nchi yako anayoipendea na mimi nilichagua kuzaliwa tena brazili kwa sababu ya wakina Dinho na De lima na shangaa mpk sasa kuna watu wazima wanaamini Ktk upuuzi wa reicarnation.Soul can neither created nor destroyed but i can be transformed from one body to another and that's the cycle of life.
Zingine ni ngojera za dini ili wapate waumini.
#MaendeleoHayanaChama
Idadi ya roho haiongezeki wala kupungua.Kama ingekuwa hivyo basi dunia ingebaki na idadi ileile ya watu. Maana ingekuwa na kwenye mpira wachezaji 11 tu, hivyo akitoka mmoja anaingia mmoja.
Kweli Jf inakimbikilia kuwa na idadi kubwa ya great sinker , swala hilo halijawahi kuthibitika mahali popote duniani zaidi ya kubakia kama dhana tu na vipi wewe kuzaliwa tena Russia umepata wapi uhakika unaweza kuweka uthibitisho ?Idadi ya roho haiongezeki wala kupungua.
Ila idadi ya watu ikipungua huku, inaongezeka kule.
Roho za watu waliokufa huwa zina hama na kwenda mbali kutafuta mwili mwingine.
Ila baadhi huwa zinabaki sehemu moja na kutafuta mwili mwingine hapao hapo.
Mda huu kuna roho za watu waliofia TZ zipo njiani kuelekea USA, UK CHINA, FRANCE, at the same time kuna roho za watu waliofia UK, USA, CANADA, zipo njiani kuelekea DRC, SUDAN, HAITI, MALAWI.
Idadi ya watu itapungua huku na kuongezeka kule.
Ila kuna roho huwa zina baki kizimu, hazina mpango wa kurudi kuwa binadamu kwa muda huo.
Hiyo itapelekea kuongezeka na kupungua kwa idadi ya watu duniani.
Idadi ya watu duniani itapaa kwa kasi endapo roho zitaamua kurudi dunia kwa kasi.
Mimi nikifa, nitaenda kizaliwa RUSSIA.
Hospitali: MuhimbiliWaislam someni huu uzi kimbelembele chenu cha kuzika mapema mnazika watu walio hai wengi sana. Na sio ajabu wanafufuka tena wakiwa kaburini halafu hufa kwa hofu na kukosa oxjeni siajabu hupiga kelele sana mpaka wanakata roho.
Pumba. Yaan idadi ya watu iongezeke na Roho zibaki kwa uwingi ule ule?? Roho moja yaweza tumia watu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.?Idadi ya roho haiongezeki wala kupungua.
Ila idadi ya watu ikipungua huku, inaongezeka kule.
Roho za watu waliokufa huwa zina hama na kwenda mbali kutafuta mwili mwingine.
Ila baadhi huwa zinabaki sehemu moja na kutafuta mwili mwingine hapao hapo.
Mda huu kuna roho za watu waliofia TZ zipo njiani kuelekea USA, UK CHINA, FRANCE, at the same time kuna roho za watu waliofia UK, USA, CANADA, zipo njiani kuelekea DRC, SUDAN, HAITI, MALAWI.
Idadi ya watu itapungua huku na kuongezeka kule.
Ila kuna roho huwa zina baki kizimu, hazina mpango wa kurudi kuwa binadamu kwa muda huo.
Hiyo itapelekea kuongezeka na kupungua kwa idadi ya watu duniani.
Idadi ya watu duniani itapaa kwa kasi endapo roho zitaamua kurudi dunia kwa kasi.
Mimi nikifa, nitaenda kizaliwa RUSSIA.
Soma tenaPumba. Yaan idadi ya watu iongezeke na Roho zibaki kwa uwingi ule ule?? Roho moja yaweza tumia watu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja.?
Thibitisha kama hakuna kuzaliwa tena.Kweli Jf inakimbikilia kuwa na idadi kubwa ya great sinker , swala hilo halijawahi kuthibitika mahali popote duniani zaidi ya kubakia kama dhana tu na vipi wewe kuzaliwa tena Russia umepata wapi uhakika unaweza kuweka uthibitisho ?
Nimesoma na nimeelewa labda ueditSoma tena
Tena havina hadhi ya kuitwa historical books,zile ni fiction books maana vinaelezea vitu ambavyo haviwezi thibitishwa kisayansi km kwl vilikuwepo,yaan ni wajanja walikopi sehem zingine na kuunda dini.Wafia dini bhana..wewe una nini zaidi ya ngonjera za vitabu vya historia za waarabu.
#MaendeleoHayanaChama
yani lile depo la utotoni hule,mafundisho ,kutandikwa stiki na mzee ,huku walimu tushamaliza halafu tuje tuanze upya NoMi naamini nikifa nitarudi duniani kama mtu mwingine tofauti.
Roho yangu ikitoka tu, bila kuchelewa inaenda kutafuta mama mjamzito ambaye kitoto kilichopo tumboni hakijaanza kuonesha uhai.
Hapo roho yangu ndiyo inaingia kwa hicho kitoto na hapo maisha mapya yanaanza.
Ila sidhani kama, nitatafuta mama wa kiafrika.
Maisha ya baadeye ninampango wa kuzaliwa kwa Putin.
ndoto ni memory za ubongo,ukifa ubongo umekufa so no more ndotoMfano wa kifo ni usingizi. Baada ya kutolewa roho mtu aliyekufa anakuwa anafeel kama yuko kwenye ndoto