Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #121
Shida ya Hizi concept zoteNaungana na huyu
Ukifa unakuwa Kama umelala, na unakuwa unaota ndoto za Kama vile umepotea na uko ardhi ya mbali ambako huwezi kurudi sehemu unayo ishi, au uko porini ambako huwezi kufika eneo la mjini.
Ukifa pia unaenda kuishi maisha ya kidogo roho na watu wengine waliokufa. Mwanzo utakuwa mpweke kwa sababu utakuwa unapambana kurudi eneo lako la makazi, badae utagundua kuwa haiwezekani kuwa hivo na hiyo itapelekea uanze kuzoea maisha mapya.
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimesoma mkuu,, hebu niweke sawa kama kuna nilipoachia .Sawa
Lakini umesoma Andiko lote mkuu??
Sawa sawa mkuuKuna na hii pia May be inaweza kutuambia mengine
Luka 16:19-31
19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.
20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.
26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.
27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,
28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.
29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.
31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
WellKuna na hii pia May be inaweza kutuambia mengine
Luka 16:19-31
19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.
20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,
21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.
22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.
23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.
24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.
26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.
27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,
28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.
29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.
30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.
31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Ndio ukweliAcheni kuwaza kifo hakuna mwenye majibu hapa duniani kwani waliomezwa na ardhi hawakurudi kutuambia yaliyojir mi nadhani vile unawaza jinsi ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa kwako ndivo ilivyo baada ya kifo
Shukraani sanaHongera yako
Shukraani sana
Mkuu
😁😁😁 Kunaukweli hapo,..Mi naamini nikifa nitarudi duniani kama mtu mwingine tofauti.
Roho yangu ikitoka tu, bila kuchelewa inaenda kutafuta mama mjamzito ambaye kitoto kilichopo tumboni hakijaanza kuonesha uhai.
Hapo roho yangu ndiyo inaingia kwa hicho kitoto na hapo maisha mapya yanaanza.
Ila sidhani kama, nitatafuta mama wa kiafrika.
Maisha ya baadeye ninampango wa kuzaliwa kwa Putin.
Mi naamini nikifa nitarudi duniani kama mtu mwingine tofauti.
Roho yangu ikitoka tu, bila kuchelewa inaenda kutafuta mama mjamzito ambaye kitoto kilichopo tumboni hakijaanza kuonesha uhai.
Hapo roho yangu ndiyo inaingia kwa hicho kitoto na hapo maisha mapya yanaanza.
Ila sidhani kama, nitatafuta mama wa kiafrika.
Maisha ya baadeye ninampango wa kuzaliwa kwa Putin.
Mungu ameyafanya haya maisha ya duniani kuwa ni mtihani ili aone ni nani atakaemwamini na kumuabudu kana kwamba anamuona. Mwisho wa huu mtihani (i.e KIFO) kuna malipo makubwa kwa wale waliomwamini Mungu na kisha wakatenda mema na vilevile kuna malipo mabaya kwa wale ambao hawakumuamini Mungu.Laiti mmoja ,aliyekufa angerudi kutwambia kinachoendele huko tungepata majawabu ya mafumbo mengi, lakini Mlengo wa Dini ni pamoja na kuamini yote aliyoyatengeneza M/mungu Yanayoonekana na yasiyoonekana
Wishful thinking!! Yaani Mungu aumbe wanaadamu wote halafu ashindwe pa kutuweka? Hivi ushawaza itakuwaje siku watu wote tutakapofufuliwa kuanzia Adam mpaka mwanadamu wa mwisho kuzaliwa katika ulimwengu huu. Wote tutakusanywa sehemu moja na uwanja mmoja na bado hatutaujaza.Una mawazo kama yangu
NAMI huwa.kuwa Roho ana Nafsi ya Mtu ikitoka TU kwakel inahamia Kwa mtoto anayezaliwa...Kwa maana ukifa TU Ilala Roho Yako inakwenda kumuingia Mtoto anayezaliwa huko Amazon ama Bangladesh ama Kijijini China na Memory card Yako inaanza upya! Unakuwa Machina asijus lolote la Ilala!
Isingekuwa hivyo unadhani Roho Zote kutoka madhlani 1700 TU Mpaka Leo Zote zingeenea wapi!
Sawa sawa mkuu catchedMkuu kuna huyu mwamba anaitwa Eric Steinhart kwenye moja ya tatifi zake aliongea kitu chenyw ukakasi eti
“Bodies are 3D stages of 4D lives”
[emoji848][emoji848][emoji848] Hapo unaweza kunisaidia kidogo mkuu
Sawa sawaMungu ameyafanya haya maisha ya duniani kuwa ni mtihani ili aone ni nani atakaemwamini na kumuabudu kana kwamba anamuona. Mwisho wa huu mtihani (i.e KIFO) kuna malipo makubwa kwa wale waliomwamini Mungu na kisha wakatenda mema na vilevile kuna malipo mabaya kwa wale ambao hawakumuamini Mungu.
Kusema kuwa mbona hakuna aliyekufa na kisha kurudi kuja kutueleza nini kimejiri huko ni sawa na kusema mtu awahi kutoka ktk chumba cha mtihani kabla ya mtihani kuisha kisha arudi tena kuwatajia majibu wanafunzi wenzake. Jambo hilo haliwezekani na linaondoa maana nzima ya neno MTIHANI.
Hivyo wewe ukipenda Muamini Mungu na ukipenda usimuamini ila mwisho wake utakuja kujua kama ulifaulu mtihani wako au ulishika mkia
Mwanadamu kikawaida tu ameumbwa kwa namna ya AjabuAcheni kuwaza kifo hakuna mwenye majibu hapa duniani kwani waliomezwa na ardhi hawakurudi kutuambia yaliyojir mi nadhani vile unawaza jinsi ilivyokuwa kabla ya kuzaliwa kwako ndivo ilivyo baada ya kifo
Ni mawazo yangu, kama yesu na bible au Mudi na qur_aan.