Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hizi story mbili ile ya jana na hii zinatoa sana somo kwa vyombo vyetu vya ulinziHata baadhi ya kesi kubwa tuna ziacha Zina ning'inia mno.
👉Ina paswa iwepo team makini
Uko sahihi mkuu, sema sisi ni waoga wa kufungua ma file.Hizi story mbili ile ya jana na hii zinatoa sana somo kwa vyombo vyetu vya ulinzi
Sasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?Haya toa credit kwa source ulipo copy uka translate.
Hahahahaha...mie watu kama hao sipotezi muda kuwajibu..Sasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
Watakwambia tujisumbue yanini na mtu ameshajifia zake? 😄 Wenzetu wanatunza baadhi ya parts za marehemu kwaajili ya further studies in case of the same death coincidence happen in the future. Nawakubali sana FBI, huwa hawafungi case zilizoshindikana mpaka ipite miaka 25 ya uchunguzi.Uko sahihi mkuu, sema sisi ni waoga wa kufungua ma file.
Jomba ni Kama huwa ana kimuhe muhe, ni bingwa wa kukurupukaSasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
Hook me up kwa hiyo ya Jana, sijafanikiwa kuipitia mkuu. I might learn something through the storyHizi story mbili ile ya jana na hii zinatoa sana somo kwa vyombo vyetu vya ulinzi
Nili kuwa nafatilia jinsi wenzetu wanavyo recruit watu.Watakwambia tujisumbue yanini na mtu ameshajifia zake? 😄 Wenzetu wanatunza ya parts za marehemu kwaajili ya further studies in case of the same death coincidence happen in the future. Nawakubali sana FBI, huwa hawafungi case zilizoshindikana mpaka ipite miaka 25 ya uchunguzi.
Ngoja niku tag mkuuHook me up kwa hiyo ya Jana, sijafanikiwa kuipitia mkuu. I might learn something through the story
Hiyo itakua home work.Haya Asante kwa kuni ambia ukaeli, na kuhusu way 🙄
Utakua umefanya jambo zuriNgoja niku tag mkuu
Wenzetu ktk ku recruiting wako makini mno..maana wakikosea hapo tu ujue huko mbele kurekebisha ni ngumuNili kuwa nafatilia jinsi wenzetu wanavyo recruit watu.
👉Aisee wako ahead, sisi siasa Zime tutoa mchezoni.
Mtu ana ingia kazini, kwa kumjua mtu Tresor Mandala
Home work kwa upande wangu au wako??Hiyo itakua home work.
Maana huko ndo mna beba wabovu.Wenzetu ktk ku recruiting wako makini mno..maana wakikosea hapo tu ujue huko mbele kurekebisha ni ngumu
Hahahahaha au msaliti km olegMaana huko ndo mna beba wabovu.
👉Kuna wasaliti Kama kina Philip Hansen.
Yeah, unaeza uka msoma Phan xuan an, Jamaa ni hatariHahahahaha au msaliti km oleg
Huyu bado sijamsomaYeah, unaeza uka msoma Phan xuan an, Jamaa ni hatari
Kuuliza si ujinga mkuu, hii sentensi ina maana gani naona unaitumiaga sanaI mean no malice to nobody
Anza na hiyo, pia fatilia documentary ya gang slingers wa marekani.Huyu bado sijamsoma