Siri nyuma ya sura nzuri

Siri nyuma ya sura nzuri

Haya toa credit kwa source ulipo copy uka translate.
Sasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
 
Sasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
Hahahahaha...mie watu kama hao sipotezi muda kuwajibu..
 
Uko sahihi mkuu, sema sisi ni waoga wa kufungua ma file.
Watakwambia tujisumbue yanini na mtu ameshajifia zake? 😄 Wenzetu wanatunza baadhi ya parts za marehemu kwaajili ya further studies in case of the same death coincidence happen in the future. Nawakubali sana FBI, huwa hawafungi case zilizoshindikana mpaka ipite miaka 25 ya uchunguzi.
 
Sasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
Jomba ni Kama huwa ana kimuhe muhe, ni bingwa wa kukurupuka
 
Watakwambia tujisumbue yanini na mtu ameshajifia zake? 😄 Wenzetu wanatunza ya parts za marehemu kwaajili ya further studies in case of the same death coincidence happen in the future. Nawakubali sana FBI, huwa hawafungi case zilizoshindikana mpaka ipite miaka 25 ya uchunguzi.
Nili kuwa nafatilia jinsi wenzetu wanavyo recruit watu.
👉Aisee wako ahead, sisi siasa Zime tutoa mchezoni.

Mtu ana ingia kazini, kwa kumjua mtu Tresor Mandala
 
Back
Top Bottom