Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #61
Ni personal mkuu, ila ni Absence of hate or offense towards anyone.Kuuliza si ujinga mkuu, hii sentensi ina maana gani naona unaitumiaga sana
Ila bwana wauaji wa huko mbele nao ujue wanatumi akili sana , km ile ya jana bila wale wapelelezi kuwa makini wangefeli mapema tuAnza na hiyo, pia fatilia documentary ya gang slingers wa marekani.
👉Kuna watu Wana Roho kavu
Ukiitafsiri kiswahili inasomekajeNi personal mkuu, ila ni Absence of hate or offense towards anyone.
Google is there to serve you🤒Ukiitafsiri kiswahili inasomekaje
Wewe apo.Home work kwa upande wangu au wako??
Kuna kipande kwenye gun slingers, mpelelezi kamtafuta muuaji kwa miaka Kama 10.Ila bwana wauaji wa huko mbele nao ujue wanatumi akili sana , km ile ya jana bila wale wapelelezi kuwa makini wangefeli mapema tu
Pamoja mkuuAsante
Sawa nita jaribu, ila source ya intelli zangu ni wewe😀Wewe apo.
Hahahahaha ukipata muda kidondoshe mkuu tuate kujifunzaKuna kipande kwenye gun slingers, mpelelezi kamtafuta muuaji kwa miaka Kama 10.
👉Kakodi mpaka majamnazi wa zamani, do za mwishoni ndo aka mshika
Hata baadhi ya kesi kubwa tuna ziacha Zina ning'inia mno.
👉Ina paswa iwepo team makini
Kesho nadhani jioni, nita leta nyingine.Hahahahaha ukipata muda kidondoshe mkuu tuate kujifunza
Hahahaha..hy ya kesho ni tag km kawa , mie kusoma soma hayo makitu sio mvivu kbsKesho nadhani jioni, nita leta nyingine.
👉Hiyo ya gun slingers Ni ndefu Sana bro, nili itazama kwa week 2
Sawa mkubwaHahahaha..hy ya kesho ni tag km kawa , mie kusoma soma hayo makitu sio mvivu kbs
Sawa bossSasa chalii ulitegemea habari hii tena inayohusu watu wa ugaibuni asiwe ameikopi sehemu? Mbona ni wengi tu wanaleta habari kule jamii intel za kukopi na sijawahi kuona ukisema mtu atoe credits kwa chanzo?
Let's appreciate kwa wajuzaji maana si wote wanaweza kuaccess habari kama hizo kwenye vyanzo vikubwa vya ng'ambo so vinapoletwa hapa wanahabarishwa wengi.
All rightOkay