Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Weraaaa weraaaa lini anaenda mfukuza?
majibu yake ni kwamba "kama ningeamua kuuza ningeuza juu kwa juu sababu documents zote ninazo,sema sina ushamba wa kwamba tumeachana eti ndio nimfukuze kwenye nyumba,pale anakaa na wanangu nawapenda sana,akae siku akichoka atasema bwana ee naondoka nyumba yako hiiyo hapo" alisema Mond
 
Kama mnajeuri nendeni mkamtoe zari south tuone, Yule sio cheap bitch kama hamisa wenu , kujidai kazaa na staa hata kodi ya nyumba Hana , Tatizo nini ? C muende south mkachukue nyumba muone🀣
Aisee,wadau hatuna kazi za kufanya kwakeeli
 
Wazuri balaaaa.mpaka analia lia redio. Cheki midomo yummmyyy. Auze banaaa asibabaishweeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…