Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Nyumba kama yake angeiuza halafu kuja kusema tusubirie siku ya kurushwa live tuone.

Anatia huruma.. wivu mbaya sana. Asipobadilika atajimaliza mwenyewe.. asikchezee Zari.

1556081777952.jpg


1556081711191.jpg
 
Weraaaa weraaaa lini anaenda mfukuza?
majibu yake ni kwamba "kama ningeamua kuuza ningeuza juu kwa juu sababu documents zote ninazo,sema sina ushamba wa kwamba tumeachana eti ndio nimfukuze kwenye nyumba,pale anakaa na wanangu nawapenda sana,akae siku akichoka atasema bwana ee naondoka nyumba yako hiiyo hapo" alisema Mond
 
Kama mnajeuri nendeni mkamtoe zari south tuone, Yule sio cheap bitch kama hamisa wenu , kujidai kazaa na staa hata kodi ya nyumba Hana , Tatizo nini ? C muende south mkachukue nyumba muone๐Ÿคฃ
Aisee,wadau hatuna kazi za kufanya kwakeeli
 
Wazuri balaaaa.mpaka analia lia redio. Cheki midomo yummmyyy. Auze banaaa asibabaishweeee
56977094_533188473879271_7979768722757193879_n.jpg
majibu yake ni kwamba "kama ningeamua kuuza ningeuza juu kwa juu sababu documents zote ninazo,sema sina ushamba wa kwamba tumeachana eti ndio nimfukuze kwenye nyumba,pale anakaa na wanangu nawapenda sana,akae siku akichoka atasema bwana ee naondoka nyumba yako hiiyo hapo" alisema Mond
 
Back
Top Bottom