Ile nyumba ya Diamond . Zali angepata wapi hela ya kununulia nyumba. Nyumba ni ya diamond Ila kwasababu wanaishi watoto wake atafanya nini . Hana la kufanya .
CORRECTION na USHAURI: Ukishataja jina la mtu kwenye sentensi ya kiingereza huweki tena ''she'' au ''he''. Kwa mfano umeandika ''Zari she was cheats with P-square..... Hili ni kosa. Otherwise majasusi kama sisi hatukawii kujua ni nani huwa anafanya makosa kama haya kwenye account zake zenye majina ya ukweli...na tukafumbua fumbo la warumi wa JF ni fulani...Hivi wanazengo, Nyumba kweli ingekua ya Diamond , akina Bi Sandra wangeacha kukanyaga south kweli kila siku wale?, na kama tunavyomjua domo, for all this while wakat wameachana , bila shaka angekua kashachukua nyumba zamani, coz zari Ana mamlaka mazito tu kwenye ile nyumba , ndio maana kipindi kile wakat Wanakamati walitangaza kwenda south bidada aliwachamba hataki kuchafuliwa nyumba na walikaa kimya , hata diamond hakusema kitu , kama kweli nyumba ingekua ya diamond asilimia 100 % wala zari asingekua anapost pics akiwa na mwanaume mwingine ndani ya ile nyumba . Domo angekua kashamfukuza
It's either wanashare , Ila Nina uhakika nyumba inawahusu wote wawili na wamechangia, kumbukeni tu zari she was financially stable even before she dated domo, unlike hamisa mobeto ambaye tunamuona kila siku anahangaika kodi ya nyumba.
Ila whatever the case , Zari she is a way smarter ten times kumzidi domo, zari alizaa na domo akiwa na mission yake kichwani, that woman doesn't carry pregnancy for nothing unlike akina hamisa ambae backup yake ilikua waganga na ika fail vibaya mno, zari anajielewa, na if diamond starts war kuhusu mambo ya Mali , zari she will bankrupt him dakika sifuri , coz zari she deals with documents and the most powerful advocates in SA , not bla bla, ako na jeuri coz Anajua anachokifanya.
Diamond atamnyanyasa tu mswahili mwenzie hamisa ambaye wote kichwani Sifuri, Ila sio zari , pale atachemka.
Kama alikua na jeuri ya kumuacha Ivan , ambaye is richer than diamond Na bado akaendelea kula bata, then who is diamond ? , bitches , Zari she cheats with P-square , ask diamond the list of desperate hoes he has been shagging with , then anajiita star, mxiee hata class hawana , wananuka shida tu kama yeye
Huyo alieweza mbona kaachwa mchana kweupeee!U cheat na Prince Charles au Peter ku cheat Ni kucheat tu.
Na utajiri wa Ivan alishindwa kumbunulia Zari nyumba?
Mdangaji mwenye malengo sio hao wakutaka sifa mwisho wa siku kabaki mwaaakikubwa tulichokijua leo ni kuwa Zari ni mdangaji na sio boss ledi kama tulivyoaminishwa!yani anagawa kama pipi adi kwa trainer 😀!mambo ya nyumba watajuana wenyewe
Kwahiyo ni expensive bitch right?Kama mnajeuri nendeni mkamtoe zari south tuone, Yule sio cheap bitch kama hamisa wenu , kujidai kazaa na staa hata kodi ya nyumba Hana , Tatizo nini ? C muende south mkachukue nyumba muone[emoji1787]
Thread closed.kikubwa tulichokijua leo ni kuwa Zari ni mdangaji na sio boss ledi kama tulivyoaminishwa!yani anagawa kama pipi adi kwa trainer [emoji3]!mambo ya nyumba watajuana wenyewe
Zari maji marefu
For sure, expensive bitch.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] you cant be serious.Jealousy eeh?
Ukiamua kula nguruwe na dini yako hairuhusu basi chagua aliyenonaKwahiyo ni expensive bitch right?
Zari bosslday? Hebu nitajieni biashara 3 za Zari mnazozijua?
Yule ni mdangaji tu. Ila ni international level. Super classic malaya.
Kinachonishangaza ni kuwa nyie mashabiki wa zari mnamtetea zari kwa kusifia ujinga wake. Zari na mondi wote wale wale tu.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] you cant be serious.