Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Siri Nyumba ya Diamond South Africa

Kwa jicho la kisheria na jicho la kidini wale watoto kwa zari watakuja kumtoa kamasi.
 
Hivi wanazengo, Nyumba kweli ingekua ya Diamond , akina Bi Sandra wangeacha kukanyaga south kweli kila siku wale?, na kama tunavyomjua domo, for all this while wakat wameachana , bila shaka angekua kashachukua nyumba zamani, coz zari Ana mamlaka mazito tu kwenye ile nyumba , ndio maana kipindi kile wakat Wanakamati walitangaza kwenda south bidada aliwachamba hataki kuchafuliwa nyumba na walikaa kimya , hata diamond hakusema kitu , kama kweli nyumba ingekua ya diamond asilimia 100 % wala zari asingekua anapost pics akiwa na mwanaume mwingine ndani ya ile nyumba . Domo angekua kashamfukuza

It's either wanashare , Ila Nina uhakika nyumba inawahusu wote wawili na wamechangia, kumbukeni tu zari she was financially stable even before she dated domo, unlike hamisa mobeto ambaye tunamuona kila siku anahangaika kodi ya nyumba.

Ila whatever the case , Zari she is a way smarter ten times kumzidi domo, zari alizaa na domo akiwa na mission yake kichwani, that woman doesn't carry pregnancy for nothing unlike akina hamisa ambae backup yake ilikua waganga na ika fail vibaya mno, zari anajielewa, na if diamond starts war kuhusu mambo ya Mali , zari she will bankrupt him dakika sifuri , coz zari she deals with documents and the most powerful advocates in SA , not bla bla, ako na jeuri coz Anajua anachokifanya.

Diamond atamnyanyasa tu mswahili mwenzie hamisa ambaye wote kichwani Sifuri, Ila sio zari , pale atachemka.

Kama alikua na jeuri ya kumuacha Ivan , ambaye is richer than diamond Na bado akaendelea kula bata, then who is diamond ? , bitches , Zari she cheats with P-square , ask diamond the list of desperate hoes he has been shagging with , then anajiita star, mxiee hata class hawana , wananuka shida tu kama yeye
CORRECTION na USHAURI: Ukishataja jina la mtu kwenye sentensi ya kiingereza huweki tena ''she'' au ''he''. Kwa mfano umeandika ''Zari she was cheats with P-square..... Hili ni kosa. Otherwise majasusi kama sisi hatukawii kujua ni nani huwa anafanya makosa kama haya kwenye account zake zenye majina ya ukweli...na tukafumbua fumbo la warumi wa JF ni fulani...
 
kikubwa tulichokijua leo ni kuwa Zari ni mdangaji na sio boss ledi kama tulivyoaminishwa!yani anagawa kama pipi adi kwa trainer 😀!mambo ya nyumba watajuana wenyewe
Mdangaji mwenye malengo sio hao wakutaka sifa mwisho wa siku kabaki mwaaa
 
Kama mnajeuri nendeni mkamtoe zari south tuone, Yule sio cheap bitch kama hamisa wenu , kujidai kazaa na staa hata kodi ya nyumba Hana , Tatizo nini ? C muende south mkachukue nyumba muone[emoji1787]
Kwahiyo ni expensive bitch right?
 
kikubwa tulichokijua leo ni kuwa Zari ni mdangaji na sio boss ledi kama tulivyoaminishwa!yani anagawa kama pipi adi kwa trainer [emoji3]!mambo ya nyumba watajuana wenyewe
Thread closed.
 
Nimegundua maisha ya zari wanayatamani watu wengi sana na wengi wanamchukia ukiwauliza sababu hawana kwanza zari mwenyewe hawajui au hata kumuona hawajawahi muona hata kwa bahati mbaya zaidi ya instagram yani kila mtu anajifanya kumjua zari kindaki ndaki kama vile shoga yake tafuteni maisha awe muhuni awe nini kivyake yenu ya kulalwa kwenye nyasi tunayajua? Nimeshangaa kuona linda anajikomentisha bibi lile limezaa kila mtoto na baba yake hana mbele wala nyuma kutwa kuuza papa linda hata kibanda huna lakini kujifanya anamchamba zari yaani maisha ya zari we linda na mange hata muuze figo au maini hamtakaa kuja kuyafikia natanguliza pole kwenu karibuni wenye mapovu nitawafurahisha, kiki ni zari kaona wanataka mtoa macho kuiba nyimbo ya wenzio kakurupuka insta kumsema zari alikua wapi siku zote au anamtaka bado kingbae anmtoa povu na badoo[emoji848]

Domo anaungua moyoni kuhusu zari lakini machoni kwa watu anajifanya yuko poa yaliyo mkuta ivan yanamnyemelea domo wanasaikolojia tafadhali msaidieni domo.
 
57366932_395433197959230_3954881120557434092_n.jpg
 
Kiki ni Zari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msilie basi mashosti.
Zari bosslday? Hebu nitajieni biashara 3 za Zari mnazozijua?

Yule ni mdangaji tu. Ila ni international level. Super classic malaya.
Kinachonishangaza ni kuwa nyie mashabiki wa zari mnamtetea zari kwa kusifia ujinga wake. Zari na mondi wote wale wale tu.
 
Back
Top Bottom