Siri nzito inanitafuna. Nifanye nini?


Hii haiwezi kuwa siri tena!!
Hii mitandao haina siri, maadam umeipost hapa vyombo vya usalama vinaingia kazini!!
Kwa kuwa huyo Mama alisema kapotelewa na mtoto ni dhahiri pia aliripoti kwenye kituo cha polisi, hivyo upelelezi ulikuwa umaendelea basi kupitia uzi huu, ambao ni ushahidi tosha huyo Mama anaenda kutiwa mbaroni na ukweli wote utajulikana nini kilitokea!
Kwa id yako unayotumia bila shaka ndiyo jina lako halisi Zamda Issa..!?
Hii code rahisi sana kuifungua!!
 


Hayo maumivu atakayoishi nayo huyo mwanaume ni magumu sana, na hana dhambi yeyote...

Hemu fikiri mtoto wako anapotea mpaka unakufa hujui alienda wapi, Mwambie huyo jamaa.

Ingekuwa jamaa hapati maumivu ni sawa, ila kwa nimi asiye na makosa ndo apate maumivu?

Hemu nipe codes mimi nikalibumbulue haraka sana na mapema kabisa.
 
Dunia haina siri, ipo siku tu ukweli utajulikana
 
Mkuu nyumba ya nne alipotoka huyo mama njian kote hakukuwa na watu
Zingatia muda 05:15 alfajiri zipo sehemu muda huo ndiyo watu hujifunika vizuri na huanza kuamka saa 06:00 siyo huku kwetu au huko kwenu tunapoamka kuwahi ratiba za usafiri.

Mwenyewe amebainisha aliamshwa kwa dharura za kuku kupiga kelele.
 
Mtonye mume kwa njia nyingine tu nenda internet cafe type maandishi mchane mume usiache ufe kwa ushuhuda huo
 
Tengeneza mazingira ya kumjuza mumewe bila yeye kukujua. Navyowajua hawa viumbe na udhaifu wao, akipewa kibano kisawasawa, anasema tu
 
Hata mimi ningejuta kushuhudia tukio zito kama hilo!

Kunyamaza na siri ya uovu napo dhambi achilia mbali ukweli kwamba tukio hilo limekuathiri kisaikolojia milele!

Tafta namna ujumbe umfikie mumewe.. mume ambane mke aseme ukweli.. utakuwa umejiokoa na mengi
 
Siri ikikushinda jiuwe tu uishi nayo.
 
Umesema ilikua sa 5 asubuh then mwishon unasema ukumuona huyo baba vizuri sababu ilikua alfajiri🙄 ila naona hakuna hatari hapo as long as mama mwenye mtoto anajua alipompeleka mwanae
 
Kuna vitu nliviona kipindi hiko nkiwa mdogo nlikaa kimya mpaka leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…