Siri nzito itakayoamua nani awe Rais wa awamu ya sita Tanzania 2025

Siri nzito itakayoamua nani awe Rais wa awamu ya sita Tanzania 2025

ZINJANTHROPAZ

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2023
Posts
287
Reaction score
470
Habari zenu mabibi na mabwana?

Nichukue nafasi hii kukipongeza chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa kuhitimisha tukio adhimu sana katika kutekeleza ilani ya chama chao kwa kufanya uchaguzi wa haki na kumpata mwenyekiti wa chama.Hongereni sana..

Pia nichukue nafasi hii kukipongeza chama cha mapinduzi kwa kumpata mwenyekiti wa chama kwa uteuzi uliofanyika Dodoma.

Kwa pande zote mbili zinatarajiwa kutoa mgombea wa urais kwenye uchaguzi mkuu ujao sasa Basi napenda kutoa ushauri wangu kwa pande zote ama kusaidia tu ili kuweza kushinda moja kwa moja iwapo haki ya kidemokrasia itatendeka.

Mpaka Sasa asilimia kubwa ya wapiga kura hawana imani tena na chama kilichopo madarakani( sitaki tubishane kwa hili fanyeni utafiti wenyewe mana lipo wazi) pia ukweli mchungu ni kwamba baada ya kifo cha hayati JOHN POMBE MAGUFULI wananchi walio wengi hasa vijijini walitegemea rais atakaefata atapita mle mle alipopita mwendazake matokeo yake haijawa hivo ndipo sasa imani ikaporomoka kabisaaaa na hili sitaki tubishane kwa keypad za simu zama mtaani hojiana na wananzengo majibu yapo peupeeee…

Kingine kwanini CHADEMA imekuwa maarufu sana kwa kipindi hiki ni kwa sababu watu wengi waliomwamini hayatoki Magufuli ndio hao wanahisi chadema wanaweza kufiti gape lake na hasa kwa huyu mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi.

Hivo Basi kwa mgombea wa chama chochote endapo atataka kuibuka mshindi wa kweli kutoka kwa watanzania walio wengi apite na upepo wa JPM hilo
 
Watu walihama nchi kwa sababu gani wakati wa utawala wa Magufuli? Munataka tuamini kwamba waliokimbia nchi na sasa ndiyo viongozi wa Chadema watatawala kwa mtindo wa Magufuli wakishinda uchaguzi?
 
Watu walihama nchi kwa sababu gani wakati wa utawala wa Magufuli? Munataka tuamini kwamba waliokimbia nchi na sasa ndiyo viongozi wa Chadema watatawala kwa mtindo wa Magufuli wakishinda uchaguzi?
hapana sio hvyo na pia kwan wew uko nchi gani mkuu ambao hujui hata kipenzi cha watanganyika? mm cjazungumzia mambo ya upinzani na vyama nazungumzia aliekuwa kpenzi cha watanzania masikini wenda wewe ni tajiri ndo mana umewah na hoja pingamizi haraka,
KAONE!!
 
Mimi si tajiri, Si mwanasiasa. Nipo nipo tu. Najiuliza tu.
Nipo Tanganyika.
 
Habari zenu mabibi na mabwana?????
Nichukue nafasi hii kukipongeza chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa kuhitimisha tukio adhimu sana katika kutekeleza ilani ya chama chao kwa kufanya uchaguzi wa haki na kumpata mwenyekiti wa chama.Hongereni sana..
Pia nichukue nafasi hii kukipongeza chama cha mapinduzi kwa kumpata mwenyekiti wa chama kwa uteuzi uliofanyika dodoma..
Kwa pande zote mbili zinatarajiwa kutoa mgombea wa urais kwenye uchaguzi mkuu ujao sasa Basi napenda kutoa ushauri wangu kwa pande zote ama kusaidia tu ili kuweza kushinda moja kwa moja iwapo haki ya kidemokrasia itatendeka.
Mpaka Sasa asilimia kubwa ya wapiga kura hawana imani tena na chama kilichopo madarakani( sitaki tubishane kwa hili fanyeni utafiti wenyewe mana lipo wazi) pia ukweli mchungu ni kwamba baada ya kifo cha hayati JOHN POMBE MAGUFULI wananchi walio wengi hasa vijijini walitegemea rais atakaefata atapita mle mle alipopita mwendazake matokeo yake haijawa hivo ndipo sasa imani ikaporomoka kabisaaaa na hili sitaki tubishane kwa keypad za simu zama mtaani hojiana na wananzengo majibu yapo peupeeee…
Kingine kwanini chadema imekuwa maarufu sana kwa kipindi hiki ni kwa sababu watu wengi waliomwamini hayatok Magufuli ndio hao wanahisi chadema wanaweza kufiti gape lake na hasa kwa huyu mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi.
Hivo Basi kwa mgombea wa chama chochote endapo atataka kuibuka mshindi wa kweli kutoka kwa watanzania walio wengi apite na upepo wa JPM hilo
Chadema imekidhi vigezo vyote vya kitaifa na kimataifa
 
Mimi si tajiri, Si mwanasiasa. Nipo nipo tu. Najiuliza tu.
Nipo Tanganyika.
hapo umenena mkuu, ila ukiachana na yote yule mzee alipendwa kimatabaka ni kwamba .
1. viongozi fake fake na familia zao walimchukia mwamba.
2. matajiri hasa wa magendo magendo nao walimchukia mwamba.
3. wazungu nao walimchukia mwamba
4. upinzani nao ulichukia mzee.
CHUKUA MADINI HAYA VZURI UTAJIBIA MTIHANI.
sasa kuna tabaka kubwa la masikini wa tanganyika ambao ndio alokuwa anawatetea huyu mzee na ndio population kubwa kuliko hao wajuu nilio wataja then unategemea nn.
NB.kabla ya kufanya chochote kama vile kuvamia hoja kama hizi angalia kwanza namna ilvyoandka plus contents then utajua aloandka alijpanga au alikurupuka. mana tunajua hoja kama zako lazma ztokee coz mmpo ambao mnatoka kwnye kundi moja wapo nilyoyata apo juu.
ALAMSK.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Naungana na wewe mkuu!!
Ni wakati sasa wa Lissu hata kama alikosewa namna gani na serikali ya Magufuli kumsamehe na kuruhusu maisha mengine yaendelee. Ni ukweli ulio wazi kuwa watanzania wengi waliridhika sana na namna alivyokuwa anaiendesha nchi yule msukuma.

Lissu huenda kwa mara ya kwanza ukaweka historia ya kukifanya chama cha upinzani kuingia madarakani Tanzania. Watu wamechoshwa sana na wizi na ufedhuli unaofanywa na serikali ya Ccm na hasa kwa sasa ambapo nchi wameanza kuiuza vipande vipande kwa wageni.

Wito wangu kwa usalama wa taifa fanyeni vetting ya kutosha ili Chadema iweke mgombea atakayeangalia maslahi mapana ya taifa hili maana upinzani si dhambi hao ni watanzania wenzetu ambao wakipewa nafasi ya kuongoza naamini kabisa watalitendea haki taifa. Angalia Bwana John Mnyika alivyoendesha uchaguzi mzuri wa wazi na wenye uhuru na haki kubwa ambayo naamini haijawahi kufanyika tangu taifa hili lipate uhuru.

Ccm tukiwapa mitano tena wanaenda kumaliza rasilimali zetu tulizopewa na Mungu maana hii awamu hawatakuwa na chakupoteza tena. Nawaomba sana watu wanaoamua mstakabali mpana wa taifa muongozwe na uzalendo wa hali ya juu ili angalau kupitia Chadema taifa lipone.
 
hapo umenena mkuu, ila ukiachana na yote yule mzee alipendwa kimatabaka ni kwamba .
1. viongozi fake fake na familia zao walimchukia mwamba.
2. matajiri hasa wa magendo magendo nao walimchukia mwamba.
3. wazungu nao walimchukia mwamba
4. upinzani nao ulichukia mzee.
CHUKUA MADINI HAYA VZURI UTAJIBIA MTIHANI.
sasa kuna tabaka kubwa la masikini wa tanganyika ambao ndio alokuwa anawatetea huyu mzee na ndio population kubwa kuliko hao wajuu nilio wataja then unategemea nn.
NB.kabla ya kufanya chochote kama vile kuvamia hoja kama hizi angalia kwanza namna ilvyoandka plus contents then utajua aloandka alijpanga au alikurupuka. mana tunajua hoja kama zako lazma ztokee coz mmpo ambao mnatoka kwnye kundi moja wapo nilyoyata apo juu.
ALAMSK.
Umekurupuka
 
Naungana na wewe mkuu!!
Ni wakati sasa wa Lissu hata kama alikosewa namna gani na serikali ya Magufuli kumsamehe na kuruhusu maisha mengine yaendelee. Ni ukweli ulio wazi kuwa watanzania wengi waliridhika sana na namna alivyokuwa anaiendesha nchi yule msukuma.
Hakuna watanzania walioridhika labda nyie wasukuma
 
Anzia humu jf pima vzuri uone team lisu ni team nan? afu panda gari nenda kitaani af hata ukiicha dar nenda popote au hadi congo pale watakupa majibu.
Nafahamu Team Magu wamegamia wote kwa Lissu.

Magu alijiharibia mwenyewe angeweza kuwa Mtu Bora kabisa kama Lissu.
Kilichokuwa kinamsunhua ni kuona Lissu ana mu-outshine
 
  • Thanks
Reactions: apk
Muda utaongea let's wait and see
wanataka kuanika silaha kwa maadui.zao! tusubiri vumbi la kampeni na kisha fainali ni box kama kweli.......

vinginevyo porojo zikianza januari hii, sijui hiyo iktoba tutakuwa na kipi kipya.
 
Huo ndio ukweli ingawa wapumbavu hawatakuelewa kwa utashi na mapenzi yao.Narudi tena hata ikitokea wakaweka jiwe wakaliita Magufuli likawekwa kwenye ballot paper watu kibao watalipigia kura na yawezekana likashinda licha ya kutopiga kampeni
 
Huo ndio ukweli ingawa wapumbavu hawatakuelewa kwa utashi na mapenzi yao.Narudi tena hata ikitokea wakaweka jiwe wakaliita Magufuli likawekwa kwenye ballot paper watu kibao watalipigia kura na yawezekana likashinda licha ya kutopiga kampeni
Utopolo
 
Back
Top Bottom