Siri nzito itakayoamua nani awe Rais wa awamu ya sita Tanzania 2025

Siri nzito itakayoamua nani awe Rais wa awamu ya sita Tanzania 2025

hapo umenena mkuu, ila ukiachana na yote yule mzee alipendwa kimatabaka ni kwamba .
1. viongozi fake fake na familia zao walimchukia mwamba.
2. matajiri hasa wa magendo magendo nao walimchukia mwamba.
3. wazungu nao walimchukia mwamba
4. upinzani nao ulichukia mzee.
CHUKUA MADINI HAYA VZURI UTAJIBIA MTIHANI.
sasa kuna tabaka kubwa la masikini wa tanganyika ambao ndio alokuwa anawatetea huyu mzee na ndio population kubwa kuliko hao wajuu nilio wataja then unategemea nn.
NB.kabla ya kufanya chochote kama vile kuvamia hoja kama hizi angalia kwanza namna ilvyoandka plus contents then utajua aloandka alijpanga au alikurupuka. mana tunajua hoja kama zako lazma ztokee coz mmpo ambao mnatoka kwnye kundi moja wapo nilyoyata apo juu.
ALAMSK.
Mtu mzuri na mwema hawezi kuchukiwa na hao wote. Jiwe alikuwa zaidi ya Katili.
 
Back
Top Bottom