Siri nzito Kamati Kuu ya CHADEMA ikikutana zaanza kuvuja

Siri nzito Kamati Kuu ya CHADEMA ikikutana zaanza kuvuja

Daa kweli CCM itabakia kuwa chama kiongozi siku zote maana ukisikia kamati kuu ya CCM imeitishwa na imekaa unakuta hadi nchi inatetemeka na kusimama shughuli zote za kisiasa. Ukiangalia hadhi,uzito na wasifu wa wajumbe wa kamati kuu ya CCM Unaona hadi mwili unaganda kwa heshima. ukiangalia muonekano na Taswira nzima ya kamati kuu ya CCM Unaona ni watu wenye kutoa muelekeo wa nchi na Taifa letu.

Sasa ukiangalia kamati kuu ya CHADEMA Unaona ni mkusanyiko wa watu wasaka tonge,watu waliojikatia Tamaa,watu wasioleta matumaini kwa watu,watu wasio na maono wala Dira wala muelekeo wala Hoja zenye kutoa matumaini kwa yeyote yule Ni mkusanyiko wa watu unao tafuta fursa za kulisha na kujishibisha nakujineemesha na baada ya hapo wanarudi kuanza kuwatukana na kuwakejeli watanzania waliowapigia kura,na hapa mnaweza kumbuka kejeri na matusi ya Lema kuwa kazi ya bodaboda ni kazi ya laana ,,ikiwa na maana hata wanaofanya kazi hiyo nao wamelaaniwa.
HUTEULIWI NG'O!!!!
 
Chadema ni cancer inayoua upinzani. Wabongo wangekua wajanja chama kama CDM wasingekipa hata mbunge mmoja..wachumia tumbo tu ndio wamejaa kwahilo li chama.
 
Daa kweli CCM itabakia kuwa chama kiongozi siku zote maana ukisikia kamati kuu ya CCM imeitishwa na imekaa unakuta hadi nchi inatetemeka na kusimama shughuli zote za kisiasa. Ukiangalia hadhi,uzito na wasifu wa wajumbe wa kamati kuu ya CCM Unaona hadi mwili unaganda kwa heshima. ukiangalia muonekano na Taswira nzima ya kamati kuu ya CCM Unaona ni watu wenye kutoa muelekeo wa nchi na Taifa letu.

Sasa ukiangalia kamati kuu ya CHADEMA Unaona ni mkusanyiko wa watu wasaka tonge,watu waliojikatia Tamaa,watu wasioleta matumaini kwa watu,watu wasio na maono wala Dira wala muelekeo wala Hoja zenye kutoa matumaini kwa yeyote yule Ni mkusanyiko wa watu unao tafuta fursa za kulisha na kujishibisha nakujineemesha na baada ya hapo wanarudi kuanza kuwatukana na kuwakejeli watanzania waliowapigia kura,na hapa mnaweza kumbuka kejeri na matusi ya Lema kuwa kazi ya bodaboda ni kazi ya laana ,,ikiwa na maana hata wanaofanya kazi hiyo nao wamelaaniwa.
Screenshot_2023-09-22-18-24-00-1.png
 
Screenshot_2023-09-22-18-24-00-1.png
 

Attachments

  • Screenshot_2023-09-22-18-24-03-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-03-1.png
    67.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-07-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-07-1.png
    123.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-10-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-10-1.png
    152.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-13-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-13-1.png
    142.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-18-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-18-1.png
    88.7 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-22-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-22-1.png
    131 KB · Views: 1
  • Screenshot_2023-09-22-18-24-25-1.png
    Screenshot_2023-09-22-18-24-25-1.png
    116.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom